ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
We kamanda wa wapi!!?Umebaki wewe kamanda wa mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kamanda wa wapi!!?Umebaki wewe kamanda wa mitandaoni.
Manabii njaa pia mpo chadema ,kiboko ya wachawi wewe
USSR
to his home Saudi arabiaMust Go where?
You will go yourself.to his home Saudi arabia
Saudia tena? Sio vatikana?to his home Saudi arabia
Must go huku mtandaoni kiongozi.Shida ya maisha ya mtanzania ni kwamba kila mtu ni mwanamapinduzi mtandaoni ila hiyo tarehe 23 nina uhakika sura yako haitakuwa miongoni mwao.Anyway kila la kheri kiongozi23 September must go
TargetWe kamanda wa wapi!!?
Amejificha uvunguni Erythrocyte unaitwa huku Kamanda🤣🤣Wapi Erythrocyte? Sijamsoma muda
Kwa haya yanayoendelea nchini sijui uongozi wa nchi hii unataka kuwatia hofu wananchi hadi tuogope kutembea njiani au ni nini? Mbona haya matukio ya ukamataji na utekaji yanafanyika sana kwa viongozi wa vyama vya upinzani?!CHADEMA mnapenda sana uzushi na kutoa vifltaarifa kwa lengo la kuleta taharuki kwa watu.hata hivyo ni kuwa watanzania wamewachokeni na hawapo upande wenu hata mkitupwa ndani wote. Maana uvumilivu sasa basi.mmevumiliwa vya kutosha na kuachwa vya kutosha.sasa ni lazima mfundishwe kutii na kufuata sheria.hampo juu ya sheria na wala Nchi hii siyo Geto.
Matapeli wa siasa uchwara ndio mtaogopa sisi tupo tu tunapiga vinywaji kama kawaida.Kwa haya yanayoendelea nchini sijui uongozi wa nchi hii unataka kuwatia hofu wananchi hadi tuogope kutembea njiani au ni nini? Mbona haya matukio ya ukamataji na utekaji yanafanyika sana kwa viongozi wa vyama vya upinzani?!
Chadema wanakiwanda cha uongo by,JK KikweteCHADEMA mnapenda sana uzushi na kutoa vitaarifa kwa lengo la kuleta taharuki kwa watu.hata hivyo ni kuwa watanzania wamewachokeni na hawapo upande wenu hata mkitupwa ndani wote. Maana uvumilivu sasa basi.mmevumiliwa vya kutosha na kuachwa vya kutosha.sasa ni lazima mfundishwe kutii na kufuata sheria.hampo juu ya sheria na wala Nchi hii siyo Geto.
Labla polisi walikuja kama wezi wanavyofanya, wakainyakuwa simu yake na kukimbia nayo kuingia kwenye difenda lao na kuhepaWanachukuaje simu bila kumkamata sasa
Pamoja na UCHAWA wako, wakimalizwa wale utafuata wewe.CHADEMA mnapenda sana uzushi na kutoa vifltaarifa kwa lengo la kuleta taharuki kwa watu.hata hivyo ni kuwa watanzania wamewachokeni na hawapo upande wenu hata mkitupwa ndani wote. Maana uvumilivu sasa basi.mmevumiliwa vya kutosha na kuachwa vya kutosha.sasa ni lazima mfundishwe kutii na kufuata sheria.hampo juu ya sheria na wala Nchi hii siyo Geto.
Chadema wanatekana by Dk w.slaaSina maana ya kuunga mkono yanayoendelea ila Chadema wangetafuta njia nyingine ya kufanya mambo yao mana huwezi kushindana na serikali na ukashinda, walishapewa green light ya kupata Kitu 2025 ila naona wanataka kumpanda kichwa serikali.
Fuateni sheria na siyo kuleta ujuaji.Pamoja na UCHAWA wako, wakimalizwa wale utafuata wewe.