Martin Maranja Masese (MMM) apokonywa simu zake na polisi

Martin Maranja Masese (MMM) apokonywa simu zake na polisi

Hivi wanatukana au wanaikosoa serikali ya sa100?
Wanatukana mtu akimuita rais ana akili za kuku sio tusi ,chura kiziwi sio tusi ,msagaji sio tusi

Hawa kina Boni, mnyika, masese Sativa na Mdude wanatakiwa kuwa jela kabisa wanatutukania Rais wetu

USSR
 
Wenzetu wana teknolojia za kulipua pagers huko huku wananyang'anya watu simu zao!
 
IMG-20240910-WA0003.jpg
 
Unajiita Xi JinPing harafu unasema laana , unadhani Xi Huwa anacheka na kima kama wa Chadema? 😬😬
Xi Jinping hacheki na kima ila si unaona maendeleo ya kiuchumi, teknolojia, manufacturing na infrastructure yanaonekana
 
Daah Iphone 15 na S23 Ultra ndiyo basi hazirudi tena hizo ,MAKARAO wanasepa nazo.
 
CHADEMA mnapenda sana uzushi na kutoa vitaarifa kwa lengo la kuleta taharuki kwa watu.hata hivyo ni kuwa watanzania wamewachokeni na hawapo upande wenu hata mkitupwa ndani wote. Maana uvumilivu sasa basi.mmevumiliwa vya kutosha na kuachwa vya kutosha.sasa ni lazima mfundishwe kutii na kufuata sheria.hampo juu ya sheria na wala Nchi hii siyo Geto.
Sheria ipi imevunjwa, taja 2,3 hivi
 
Sina maana ya kuunga mkono yanayoendelea ila Chadema wangetafuta njia nyingine ya kufanya mambo yao mana huwezi kushindana na serikali na ukashinda, walishapewa green light ya kupata Kitu 2025 ila naona wanataka kumpanda kichwa serikali.
Nani kakudanganya mwendo ni uleule wewe ulidhani utekaji utaendelea?
 
Utaishia kuhamgaika na vi komenti miaka nenda rudi JF jengo la yule unayesema anauza Mayai, pambana na hali yako pambaf.

View attachment 3099870
Ufugaji unalipa.kwa mtanzania kuwa na mjengo wa Hivyo ni indicator ya devnt.polisi walioenda kumkamata wamepanga chumba kimoja na sebule.Ningekuwa ndiyo polisi nisingekubali huo upuuzi.
 
Hii ni taarifa ya Ntobi
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu @IAMartin_ Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain

simu zake wamezikamatia wap gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom