JPM hakushndwa ila alikuwa anawafundisha adabu. Sasa mama alivyokuja alidhani mlikuwa mnaonewa ila nae ameujua ukweli na yeye anapita mulemule alipopita JPM
Ukweli kuwa ameugundua uongo na ulaghai wake kuwa hakuna cha 4Rs wala nini, au siyo...?........UJINGA HUO....
Ukweli kuwa, ameng'amua kuwa, kumbe anawezwa kufurushwa madarakani hivihivi mchana kweupe na CCM yake, au siyo....? ........UJINGA HUO...!!
Na kwa hiyo amegundua kuwa kumbe ili aendelee kubaki madarakani, option ni kutumia njia ya Magufuli ya kununua, kuteka, kutesa na ikibidi kuua (kumwaga) damu kabisa kwa wote walio kinyume na sera na mipango ya serikali yake na CCM, au siyo...? ..........UJINGA HUO......!!
SIKIA BWANA: Yeye aendelee tu lakini uhakika mmoja ni huu, na yeye atakufa tu tena si muda mrefu kama alivyokufa yule Magufuli aliyemrithisha ujinga huu kwa kifo cha kijinga, cha aibu na cha kikondoo kabisa pamoja na mizigo yake aliyobeba....!
KUMBUKA BWANA: Auaye kwa upanga, naye atakufa kwa upanga, Asema BWANA wa Majeshi Mungu wa miungu yote....
Kama hujui maana ya hiyo☝🏻, ni kwamba, hata Samia Suluhu Hassan yeye na watoto wake, washirika wake na anaowatumia kuteka, kutesa na kuua, vivyo hivyo na yeye atateswa hadi kufa kwa style ileile mnayotumia kuua ndugu zetu.....!
Mungu hadhihakiwi eti, shauri lenu....