Martin Ngoga wa Rwanda achaguliwa Spika Bunge la Afrika Mashariki. Tanzania na Burundi wasusia uchaguzi huo

Martin Ngoga wa Rwanda achaguliwa Spika Bunge la Afrika Mashariki. Tanzania na Burundi wasusia uchaguzi huo

Waliozoea kunyonga kamwe hawawezi kuacha kunyonga,washamba sana hadi wanatia aibu
 
Nadhani tunakwenda vizuri. Kwanza ninaomba tukubaliane kwamba mambo yanaenda kama anavyotaka yeye, ile kauli kwamba hayaendi ninaomba uachane nayo, sasa kuhusu huyo waziri aliyetoa ahadi na hakujiuzulu, ndiyo hao vichwa ngumu ambaa Magufuli anawatafuta, kumbuka waziri wa Maji na umwagiliaji alipotoa ahadi kule Lindi kwamba maji yangetoka kabla ya muda flani, Magu aliwaambia wananchi yasipotoka atamuwajibisha waziri, na ndicho kilichotokea, kwa hiyo mawaziri wengine wanajua kwamba ukitoa ahadi mbele ya rais na usipotimiza utatumbuliwa, inatuma ujumbe mzito kwa mawaziri wengine.

Ninarudia kusema, hii sio njia nzuri, lakini kama kuna mawaziri wanaambiwa in private na hawasikii wala kujirekebisha, ina maana hawajiheshimu na hawawajibiki, kwahiyo kukoromewa hadharani ni sehemu ya punishment, akiendelea atafukuzwa kazi, na kama anadhani amedhalilishwa, basi ajiuzulu ili asidhalilishwe tena.

Mimi sikubaliani na Magufuli katika masuala ya demokrasia, hasa kuminya uhuru wa vyama vya siasa, lakini katika utendaji yupo vizuri sana, hana tofauti sana na Kagame, nani anapinga kwamba Kagame anafanya vizuri katika maendeleo japo wanyarwanda wanaishi kwa hofu kubwa, kuanzia Janeth Kagame hadi mwanafunzi wa chekechea hakuna asiye na hofu, ila nchi inapiga hatua za maendeleo, Japo Magufuli hajafikia huko, lakini anaelekea huko.
Mkuu huu mjadala wetu ni mzuri sana, natamani kuendelea kuandika khs hoja ulizozitoa lakini roho inanisuta kuwa tumeparamia uzi! Hivyo kuendelea kuongea hoja hii ya magufuli hapa sio ustaarabu.

Nadhani tutakutana sehemu nyingine muafaka, tukikosa basi tuanzishe uzi maalum tujadili hili!

Kwa sasa tuupe nafasi mjadala wa uspika wa EALA uendelee.
 
Mkuu huu mjadala wetu ni mzuri sana, natamani kuendelea kuandika khs hoja ulizozitoa lakini roho inanisuta kuwa tumeparamia uzi! Hivyo kuendelea kuongea hoja hii ya magufuli hapa sio ustaarabu.

Nadhani tutakutana sehemu nyingine muafaka, tukikosa basi tuanzishe uzi maalum tujadili hili!

Kwa sasa tuupe nafasi mjadala wa uspika wa EALA uendelee.
Endorsed[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Suala ni mazungumzo , bila shaka mawaziri wakikutana mambo yatakaa vizuri sana.
Bunge linatakiwa kuwa huru kama alivyosema Susan Nakawuki wa Uganda. Alipinga pendekezo lililotolewa na mawaziri la kuwaachia marais watoe muafaka.
BUNGE ni BUNGE na EXECUTIVE ni EXECUTIVE.
 
Sometimes kuna watu vichwa vyao havifanyi kazi, sababu ya Tanzania kutaka kuwa na mgombea wa kiti cha Speaker ni ipi wakati sio zamu yetu?..stupid

Walienda na kibwagizo cha ‘ safari ni ile ile mbele kwa mbeleeee’ wakasahau kuwa ni muhula mwingine wa Dr Magufuli, sheria ni msomeno.
 
Nakubaliana kabisa na wewe kuhusu wabunge wengi kufuata upepo, liwe lile la muungano au hawa wa EALA.

Lakini kwa upande wa magufuli jinsi anavyowaburuza mawaziri kwenye kadamnasi, hapo niko tofauti kidogo! Hiyo siyo style nzuri ya kuongoza! Awape makavu huko kwenye baraza la mawaziri, na ajenge mfumo mzuri.

Rais Magufuli yupo sahihi, mawaziri au viongozi wengi hapa bila kuburuzwa hawafanyi kazi bila kusukumwa. Rais Mkapa na Kikwete waliwaachia wafanyekazi bila kufuatiliwa angalia yaliyotokea, mtu mzima anaweka pesa Bank nje ya nchi na kusema ni vijisenti lakini angalia walichomfanyia. Wizi na ufisadi ulizidi mno mno. Magufuli = Mwl Nyerere, mwacheni aunde (remodel) taifa lenye maadili.
 
Back
Top Bottom