Marufuku kumhusisha Rais Samia na Mahakama, hana mamlaka nayo

Marufuku kumhusisha Rais Samia na Mahakama, hana mamlaka nayo

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Waswahili walimenya kwamba mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Huu ndiyo ukweli wenyewe kwamba Mama anajitahidi tu kusimamia kua katika utawala wake haki inatendeka.

Ikitokea wewe umetuhumiwa kufanya tukio flani hiyo ni juu yako wewe, serikali inachosimamia ni kusisitiza haki itendeke kwa kila mtu ila haiwezi kamwe kuingilia uamuzi wa mahakama ambayo ni mhimili mwingine kabisa. Kama ulitenda kosa utahukumiwa kwa stahiki yake, kama hukutenda basi utahukumiwa hivyo hivyo. Serikali kazi yake ni kusisitiza utawala bora na wa sheria.

Mambo ya kusema kua Rais ametia mkono wake kuhusu kukamatwa kwa flani flani eti kwa sababu alikua kiongozi ni maneno yaliyokosa staha kwa kiongozi wa nchi. Kama ulikosa wewe basi hiyo ni juu yako na mzigo wako, kamwe serikali haiwezi kuhusika na wewe. Haki yako iko mahakamani kama inavyoelekeza katiba ya nchi.

Kuhusu Mama kuhojiwa na BBC Kisha kutoa majibu kuhusu shauri la Mhe Mbowe na wenzake, alivyojibu ndiyo anavyojua yeye,ndizo taarifa alizopewa na vyombo husika, kama vyombo havikumpa ukweli basi mahakama itathibisha. Pia kuhusu suala la Sabaya serikali inahusikaje na matendo yake ya kinyume na sheria? Mnataka imbebe mtu anayevunja sheria? Kila mtu atabeba mzigo wake na atahukumiwa nao yeye. Hujaridhika basi kata rufaa bado utapata stahiki yako.

Tusimlaumu Mhe Rais bure kuhusu maamuzi ya mahakama, kama watakosea polisi hiyo ni wao wenyewe na makosa yao, kama atakosa DPP huyu ni yeye na weledi wake, kama itakosa mahakama basi ni yenyewe na mapungufu yake. Rais hana mamlaka na kutoa maamuzi ya kesi ya mtuhumiwa yeyote, anayo mamlaka ya kutoa vibali vya kusamehe wafungue waliokwisha hukumiwa chini ya katiba ya nchi kupitia bosi ya PAROLE.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Uzi wa kijinga Sana huu...
Mbona akitoa hela zetu wananchi mnasimamia ukucha kusema Rais katoa bilion fyuuu kujenga mbuzi na kondoo...

Na bwana yule nae was kuokota vichwa vya treni baharini mbona hukusema..
 
Waswahili walimenya kwamba mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Huu ndiyo ukweli wenyewe kwamba Mama anajitahidi tu kusimamia kua katika utawala wake haki inatendeka.

Ikitokea wewe umetuhumiwa kufanya tukio flani hiyo ni juu yako wewe, serikali inachosimamia ni kusisitiza haki itendeke kwa kila mtu ila haiwezi kamwe kuingilia uamuzi wa mahakama ambayo ni mhimili mwingine kabisa. Kama ulitenda kosa utahukumiwa kwa stahiki yake, kama hukutenda basi utahukumiwa hivyo hivyo. Serikali kazi yake ni kusisitiza utawala bora na wa sheria.

Mambo ya kusema kua Rais ametia mkono wake kuhusu kukamatwa kwa flani flani eti kwa sababu alikua kiongozi ni maneno yaliyokosa staha kwa kiongozi wa nchi. Kama ulikosa wewe basi hiyo ni juu yako na mzigo wako, kamwe serikali haiwezi kuhusika na wewe. Haki yako iko mahakamani kama inavyoelekeza katiba ya nchi.

Kuhusu Mama kuhojiwa na BBC Kisha kutoa majibu kuhusu shauri la Mhe Mbowe na wenzake, alivyojibu ndiyo anavyojua yeye,ndizo taarifa alizopewa na vyombo husika, kama vyombo havikumpa ukweli basi mahakama itathibisha. Pia kuhusu suala la Sabaya serikali inahusikaje na matendo yake ya kinyume na sheria? Mnataka imbebe mtu anayevunja sheria? Kila mtu atabeba mzigo wake na atahukumiwa nao yeye. Hujaridhika basi kata rufaa bado utapata stahiki yako.

Tusimlaumu Mhe Rais bure kuhusu maamuzi ya mahakama, kama watakosea polisi hiyo ni wao wenyewe na makosa yao, kama atakosa DPP huyu ni yeye na weledi wake, kama itakosa mahakama basi ni yenyewe na mapungufu yake. Rais hana mamlaka na kutoa maamuzi ya kesi ya mtuhumiwa yeyote, anayo mamlaka ya kutoa vibali vya kusamehe wafungue waliokwisha hukumiwa chini ya katiba ya nchi kupitia bosi ya PAROLE.
Nakubaliana na wewe, ila anayo mamlaka ya kuwateua watoa haki na kuwapandisha vyeo.
 
kwa maigizo yanayoendelea kwenye kesi ya mbowe nani ataamini mahakama ipo huru?
 
Mahakama hazipo huru
Mahakama ilipowatoa mashehe mkashangilia, ilipowafutia kesi kina mbowe mkashangilia, ilipomfunga Sabaya mkashangilia. Ila hapa kwa gaidi tu ndio haziko huru?
 
AIgmal.jpg
 
Waswahili walimenya kwamba mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Huu ndiyo ukweli wenyewe kwamba Mama anajitahidi tu kusimamia kua katika utawala wake haki inatendeka.

Ikitokea wewe umetuhumiwa kufanya tukio flani hiyo ni juu yako wewe, serikali inachosimamia ni kusisitiza haki itendeke kwa kila mtu ila haiwezi kamwe kuingilia uamuzi wa mahakama ambayo ni mhimili mwingine kabisa. Kama ulitenda kosa utahukumiwa kwa stahiki yake, kama hukutenda basi utahukumiwa hivyo hivyo. Serikali kazi yake ni kusisitiza utawala bora na wa sheria.

Mambo ya kusema kua Rais ametia mkono wake kuhusu kukamatwa kwa flani flani eti kwa sababu alikua kiongozi ni maneno yaliyokosa staha kwa kiongozi wa nchi. Kama ulikosa wewe basi hiyo ni juu yako na mzigo wako, kamwe serikali haiwezi kuhusika na wewe. Haki yako iko mahakamani kama inavyoelekeza katiba ya nchi.

Kuhusu Mama kuhojiwa na BBC Kisha kutoa majibu kuhusu shauri la Mhe Mbowe na wenzake, alivyojibu ndiyo anavyojua yeye,ndizo taarifa alizopewa na vyombo husika, kama vyombo havikumpa ukweli basi mahakama itathibisha. Pia kuhusu suala la Sabaya serikali inahusikaje na matendo yake ya kinyume na sheria? Mnataka imbebe mtu anayevunja sheria? Kila mtu atabeba mzigo wake na atahukumiwa nao yeye. Hujaridhika basi kata rufaa bado utapata stahiki yako.

Tusimlaumu Mhe Rais bure kuhusu maamuzi ya mahakama, kama watakosea polisi hiyo ni wao wenyewe na makosa yao, kama atakosa DPP huyu ni yeye na weledi wake, kama itakosa mahakama basi ni yenyewe na mapungufu yake. Rais hana mamlaka na kutoa maamuzi ya kesi ya mtuhumiwa yeyote, anayo mamlaka ya kutoa vibali vya kusamehe wafungue waliokwisha hukumiwa chini ya katiba ya nchi kupitia bosi ya PAROLE.
Hii ni kalne ya 21 wenye akili tunajua kuwa Samia ndiye anayeshinikiza kesi yabowe iamuliwe atakavyo yeye sababu ya uchu wake wa madaraka. Sikiliza yenye mahojiano na yule zezeta wa bbc
 
Unaweza kuwa unaema ukweli lakini hapana. Unayajua mamalaka ya rais kikatiba. Yeye yuko juu ya yote. akiniteuwa nikiboronga lawama zinakwenda kwake. Mkuu wa polisi akifanya makosa Rais ana haki ya kunfukuza kazi. Yote yanayoharibika yeye ndiye anawajibika maana hao walioharibu ndiye kawaweka. Ana maamuzi ya mwisho maana yeye hapokei Order yeye ndiye anatoa order. Huyu mama jua ni Amiri Jeshi. Si umeona amevaa magwanda. Anaweza kuingia mahali popote nchi hii na hakuna wa kumuuliza. Sema tu ni vizuri kufuata katiba ili asiharibu. Lakini kusema kwamba hawezi kuingilia mahakama si kweli. Yaani aangalie mahakama inaharibu alafu akae kimya. Sidhani.
 
Waswahili walimenya kwamba mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Huu ndiyo ukweli wenyewe kwamba Mama anajitahidi tu kusimamia kua katika utawala wake haki inatendeka.

Ikitokea wewe umetuhumiwa kufanya tukio flani hiyo ni juu yako wewe, serikali inachosimamia ni kusisitiza haki itendeke kwa kila mtu ila haiwezi kamwe kuingilia uamuzi wa mahakama ambayo ni mhimili mwingine kabisa. Kama ulitenda kosa utahukumiwa kwa stahiki yake, kama hukutenda basi utahukumiwa hivyo hivyo. Serikali kazi yake ni kusisitiza utawala bora na wa sheria.

Mambo ya kusema kua Rais ametia mkono wake kuhusu kukamatwa kwa flani flani eti kwa sababu alikua kiongozi ni maneno yaliyokosa staha kwa kiongozi wa nchi. Kama ulikosa wewe basi hiyo ni juu yako na mzigo wako, kamwe serikali haiwezi kuhusika na wewe. Haki yako iko mahakamani kama inavyoelekeza katiba ya nchi.

Kuhusu Mama kuhojiwa na BBC Kisha kutoa majibu kuhusu shauri la Mhe Mbowe na wenzake, alivyojibu ndiyo anavyojua yeye,ndizo taarifa alizopewa na vyombo husika, kama vyombo havikumpa ukweli basi mahakama itathibisha. Pia kuhusu suala la Sabaya serikali inahusikaje na matendo yake ya kinyume na sheria? Mnataka imbebe mtu anayevunja sheria? Kila mtu atabeba mzigo wake na atahukumiwa nao yeye. Hujaridhika basi kata rufaa bado utapata stahiki yako.

Tusimlaumu Mhe Rais bure kuhusu maamuzi ya mahakama, kama watakosea polisi hiyo ni wao wenyewe na makosa yao, kama atakosa DPP huyu ni yeye na weledi wake, kama itakosa mahakama basi ni yenyewe na mapungufu yake. Rais hana mamlaka na kutoa maamuzi ya kesi ya mtuhumiwa yeyote, anayo mamlaka ya kutoa vibali vya kusamehe wafungue waliokwisha hukumiwa chini ya katiba ya nchi kupitia bosi ya PAROLE.
Mleta Uzi kuna Mambo unashindwa kutofautisha na kudhibitisha,Kesi yeyote inapokuwa mahakamani hakuna MTU au chombo Ndani ya Jamhuri ya Mungano wa WA Tanzania kinaweza au anaweza kudhibitisha tuhuma ya mtu isipokuwa Mahakama Sasa Mkuu wa polisi alisema na kudhibitishia umma kuwa mboe ni gaid mama alitamka BBC kuwa mboe ni gaid ,hawakupaswa kutamka vile hadharani ndyo maana unaona watu wanalalamika ,lakini jaji anateuliwa na Nani Kwa akiri zako MTU anaekuteuwa akitoa maelekezo utashindwa kuyafuata ?
 
Back
Top Bottom