Marufuku kumhusisha Rais Samia na Mahakama, hana mamlaka nayo

Tanzania unafiki tumezid jpm mamlaka alikuwa NATO Ila huyu mama hana? Najielewa kweli?
 
You're shortsighted ( umpe mtu kazi halafu afanye tofauti na matakwa yako !! Yaani kama Dada wa kazi nyumbani kwako anaweza kufanya tofauti na utakavyo? )
 
Mahakama ilipowatoa mashehe mkashangilia, ilipowafutia kesi kina mbowe mkashangilia, ilipomfunga Sabaya mkashangilia. Ila hapa kwa gaidi tu ndio haziko huru?
Unajifunga mwenyewe, hoja NI KWAMBA Rais anaingilia mahakama kwa kuamuru Nani akamatwe, Nani aachiliwe, mfano masheikh walifungwa na Rais, na wakachiwa na Rais.
 
Unajifunga mwenyewe, hoja NI KWAMBA Rais anaingilia mahakama kwa kuamuru Nani akamatwe, Nani aachiliwe, mfano masheikh walifungwa na Rais, na wakachiwa na Rais.
Ulilalamika pia?
 
Lazima magaidi na majambazi wote wabanikwe
Wapo Bado wengi mtaa ule wa kijani titawafikia wote, Mungu atuongezee na baraka ya kuipata katiba mpya huenda hata wewe ukafikiwa.
 
Mahakama yetu haiwezi kuthibitisha kama alichosema Rais siyo kweli, Rais wetu kulingana na katiba yuko juu ya mahakama na ndiyo sababu anawateua na kuwaapisha wamtii yeye Rais.
Anayehusishwa na mahakama sio Samia ni Rais.
 
Tuendelee kusifia tu? Kusema kwetu kweli kuwe mwiko? ...... "Hapana".
 
Utajua hujui. Amlipaye mpiga zumari ndiye mchagua wimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…