Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAMTanzania ipo upande upi? WA ukraine au Russia?
Asituzengue kama vipi aajiri watu wote ,waTZ wapo hadi US Army.
Mbona kibao tu wapo jeshi la Uingereza, USA, nk. Wao wameshindwa kuajiri vijana nchini wanavuka boda yeye atulie hayo ni maneno yake hayamzuii tembo kunywa maji.
Hakuna mtu wa kuacha fursa.
Exactly!Hivi kiukweli kijana anawekwa jela huku na kuambiwa tunakuachia lakini ukapigane kwenye vita atachagua lipi? Na inawezekana kalazimishwa. Badala ya kufanya kazi viongozi wetu wanaweka lawama kwa vijana ambao hata hatujui wameingiaje jela huko Russia
Huyo hakujiunga kwa hiyari yake bali kwa kulazimishwa, Serikali ilitakiwa kutoa tamko kuilaani Urusi kwa inachokifanya hasa kwa wageni maana ni kinyume na haki za binadamu.
Kwani wale Wagner ni jeshi la nchi nyingine au ni “mercenaries”?!
atueleze balozi zetu zinafanya Nini pale watanzania wanapopata matatizo wakiwa nje ya nchi.
Wanahakikisha wanapata mawakili pia wanapata muda wa kuwatembelea ni wazi Kuna uzembe kwenye wizara yake.
Good observation , Kama waziri ingekuwa vyema angetaja kabisa hiyo Sheria na kifungu husika.
Mimi mwenyewe ndio mara ya kwanza
Nimejiuliza piaHakuna Sheria aliyoqoute Kwa hiyo maneno yake siyo Sheria. Go man
labda uwe mtoto wa kigogoOkay basi fanya unataka ujiunge na Jeshi la Tanzania
Uone kama utapata hio nafasi
Kijana wa ovyo 😂 unautamani mshangazi wa kisukuma.Mama ana macho mazuri[emoji39]
Acha uongoMama ana macho mazuri[emoji39]
Aisee!Yani nikiomba kujiunga na jeshi la hapa nakosa nafasi alafu inakuja nafasi ya kujiunga na jeshi huko nchi za mbali eti nikose kwenda eti kisa nitavunja Sheria za nchi?, na iwe hivyo tuu sitokua wa kwanza Wala wa mwisho kuvunja hizo Sheria, tena na uraia naukana hadharani kabisaaaaa hauna dili lolote mjini
Kama hangekufa, nani angejua alijiunga na Jeshi? Angerudi tu na somo hapo ni kwamba ishi wewe usiishi kimkumbo au kisheria zao big up mwamba R.I.P 🤔
Nzuri sana hii changamoto kipengele cha kuogelea. Wabongo wengi hawajui.Hata ufaransa wana French legion
Vijana changamkieni fursa
Aisee ametoa kauli nyepesi sana!Aache maneno yake ya kijinga, mwangalie kwanza kama chizi.