mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wajaribu pia black water mzee nao wanalipa vizuri [emoji1]Wazalisje ajira za ndani, nipo kwenye mchakato wa kujiunga Wagner PMC
Una mafunzo kdg ya kijishi lakini
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajaribu pia black water mzee nao wanalipa vizuri [emoji1]Wazalisje ajira za ndani, nipo kwenye mchakato wa kujiunga Wagner PMC
Sio lazima ata..Na lazima atakuwa raia wa marekani
Tayari huyo
Ova
Black water nao ni magaidi pia
Au [emoji1]
Ova
Nyie vijana wa jamii forum mnatuonea sana wana CCM!!!!!Matatizo yenu binafsi mnatusingizia sisi!!!!Ebu kuweni serious kidogoCCM wanajitoa ufahamu kua hawajui chanzo au sababu ya watu kujiunga na majeshi ya nchi zingine au vikundi asi?
matamko mengine ni kuonyesha tu wizara iko haiTax apiga marufuku kwa watazania kujiunga na la Jeshi la nchi nyengine. Alisema kwa mujibu wa sheria zao Mtanzania yoyote haruhusiwi kujiunga na Jeshi la nchi yoyote isipokuwa Jeshi la Tanzaia tu na kufanya hivyo kuvunja sheria za nchi.
---
SERIKALI: ‘Fuateni sheria na taratibu mkiwa nje ya nchi’
View attachment 2495178
Serikali imewataka Watanzania kuzingatia na kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi walizopo ili kulinda taswira nzuri ya nchi yao.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax kuhusu kifo cha Nemes Tarimo, Mtanzania aliyefariki dunia nchini Urusi, alisema:
“Nitoe rai kwa Watanzania kuhakikisha wanazingatia sheria kanuni na taratibu za nchi walizopo, na pia wawe mabalozi wazuri wa kulinda taswira ya Tanzania.
“Ikumbukwe kwa mujibu wa sheria zetu, Mtanzania yeyote haruhusiwi kujiunga na jeshi la nchi yoyote isipokuwa Jeshi la Tanzania na kufanya hivyo ni kuvunja sheria,” amesema Waziri huyo.
Amesema Mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa lengo la kujiunga na Chuo Kikuu cha Moscow Technological University (MIREA) kwa masomo ya Shahada ya Uzamili katika fani ya Business Informatics.
Ameongeza kuwa Mwezi Machi 2022, Mtanzania huyo alitiwa hatiani kwa kuhusika na vitendo vya uhalifu na kwa mujibu wa sheria za Urusi alihukumiwa kifungo cha miaka saba jela.
Waziri Tax ameongeza kuwa Tarimo akiwa gerezani alijiunga na kikundi cha kijeshi cha Urusi cha Wagner kwa ahadi ya kulipwa fedha na kuachiwa huru, baada ya kumaliza muda wa kutumika vita na alifikwa na umauti akiwa nchini humo.
Waziri Tax amesema kuwa mwili wa marehemu umeondoka nchini Urusi leo Januari 24, 2023 na unatarajiwa kuwasili nchini muda wowote kuanzia sasa na kuongeza kuwa Serikali imekuwa ikiwasiliana na Serikali ya Urusi, ili kuhakikisha mwili wa marehemu Tarimo unarejeshwa nchini na kukabidhiwa kwa familia yake kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Waziri ametoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na Watanzania kwa msiba huo.
Waziri Tax amewauhakikishia umma na Diaspora wa Kitanzania wakiwemo wanafunzi walioko masomoni duniani kote kuwa serikali itaendelea kuwapa ushirikiano wakati
Wajaribu pia black water mzee nao wanalipa vizuri [emoji1]
Una mafunzo kdg ya kijishi lakini
Ova
Hapo sawaUnatafuta ulipo mgambo unapiga miezi mitatu , unapata cheti mengine utajifunzia huko huko lakini idea unakua nayo au unaenda jkt kwa mujibu baadae unajikataa ndio mbinu wengi hutumia kupata mbinu za awali
Ipo wazi kwa lipiJkt ipo wazi
Wanaogopa vijana wengi wakiwa na mentality na maamuzi kama ya nemesNchi hii bhna jamaa, ni woga WA mmarekani kisa katia neni kifo cho Memes.
Hivi tutaishi kitumwa hivi mpaka lini!!
Vijana wengi hua na ndoto za kua wanajeshi na mbona hua hamuwapi izo ajira za jeshi alafu mnawazuia.
Na wengine kugikia kuandamana enzi za mwendazake wapewe ajira kama walivo ahidiwa nikiwemo[emoji848].
Ewe kijana ukiona nchii hii hujaona fursa inayokufaa na unauwezo wa kwenda nchi zingine kutafta na kukamilisha ndoto zako nenda.
Achana na Hawa wapuuzi na uwoga wao uje kukufanya uishi Nje ya future yako.
[emoji1616][emoji1616]
Kwa sababu kila Kitu Positive mnataka muwe ninyi tu.Sasa kaka CCM tumeingiaje hapo!!!! Mbona kila kitu negative ni sisi?? Hivi hatunaga mema???
Na usikute nemes kafa ila Kuna washkaji zake BDO wapo kule wanaratibu maswala ya vita hii.Kama hangekufa, nani angejua alijiunga na Jeshi? Angerudi tu na kibunda chake kinono.
Kwa kujiunga kwao Hawakani Uraia wa Nchi yetu.Mbona inaeleweka Tanzania haina due nationality. Siyo majirani zetu leo anakuwa mkuu wa majeshi ya Congo kesho anahama timu anakuwa mkuu wa majeshi Rwanda.