Marufuku Mtanzania kujiunga Jeshi la nchi nyingine

Marufuku Mtanzania kujiunga Jeshi la nchi nyingine

Sheria gani imevunjwa nikijiunga na jeshi la nchi nyingine.
Mbona sijawahi kuona wakikataza au kukemea yale matangazo ya barozi ya marekani wanatoaga kukaribisha vijana wanaotaka kujiunga na jeshi la Marekani kwa mkataba?
 
Yani nikiomba kujiunga na jeshi la hapa nakosa nafasi alafu inakuja nafasi ya kujiunga na jeshi huko nchi za mbali eti nikose kwenda eti kisa nitavunja Sheria za nchi?, na iwe hivyo tuu sitokua wa kwanza Wala wa mwisho kuvunja hizo Sheria, tena na uraia naukana hadharani kabisaaaaa hauna dili lolote mjini
Jkt ipo wazi
 
Unaowaona insta wameukana uraia wa tz kabla ya kujiunga kwao. Maana jeshi la marekani lenyewe linalazimu uchukue uraia wa nchi hiyo kwanza

Ooh! Ila naona siri yao maana nakumbuka walihojiwa wakasema wao ni raia wa tz
 
KUNA TOFAUTI YA KUWA MWANAJESHI WA NCHI NYINGINE
NA KUWA ASKARI WA MAMLUKI(MECENARIES),AMBAYO SAHIVI WENGI WA HAYO MAKAMPUNI, WANAO WARECRUIT MECENARIES WANAPENDA KUJIITA
SECURITY CONTRACTORS
sasa utamzuia vp mtu asiende kujoin
Hayo makundi maana huko yeye anaenda kupigana kwa malipo!
Akipona akifa ni juu yake

ova
 
Huyu bi mkubwa anaongea ushubwada kabisa. Shenzi taipu!

Eti nipewe nafasi ya kujiunga na Jeshi la Marekani, Uingereza, Urusi, Uchina halafu nikatae kwa sababu ya visheria vyenu vya madafu? Mbwaaaaaaa! Yani immediately siwazi mara mbili mimi huyoooooo naenda kuvaa gwanda, to hell with your https://jamii.app/JFUserGuide#ng laws!
Bi mkubwa miyeyusho sana, vijana wamepigika yeye analeta ushubwada,
awakataze wanae wanaoishi vizuri Masaki,
Huku vijana wamevurugwa ajira ngumu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Wagner ni magaidi
Hiyo ni ajira kama ajira nyingine. Yaani nikae jobless nasubiria wazee wapambane, wakati nafasi za kujiunga Wagner zipo!? Nitakuwa mpumbavu.
 
Back
Top Bottom