Marumo watangaza kiingilio bure mechi yao ya marudiano dhidi ya Yanga

Marumo watangaza kiingilio bure mechi yao ya marudiano dhidi ya Yanga

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
 
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
Utopolo akienda fainali tutaishi kwa tabu sana
 
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
Moro United Zamani Ndiyo Ilikuwa Inaitwa Zaragoza
 
Uwanjani wanatakiwa wachezaji 22 tu mkuu, wanaume 11 upande mmoja na 11 upande mwingine.

Mbinu, ufundi na kufanyia kazi kile walichoambiwa na walimu wao ndiyo tiketi ya kushinda mchezo kwa Kila upande.

Mashabiki hata wakija na mavuvuzela million kama timu inadai posho haiwezi kushinda asilani.

Yanga Ina nafasi ya kupata walau goli moja ugenini, ambapo itawafanya opponents wao wapoteane
 
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
hata hapa waliyokuja kimya kimya bila taarifa kama mizuka na kukataa kutumia basi tulilowapa si mlisema wameweza kupangua figisu zetu,mwisho wa game ulisoma ubao?

asa leo tena kuhusu mashabiki si ndo mwake akina mzize wanatafuta madili hapo ndipo pa kuonyesha kwamba bacca chezaji la mamelodi kama si yanga
 
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
Kama mashabiki ndiyo wanacheza mpira sawa, hawa c ndiyo bahlabhan ba ntwa tuliokuwa tunatishwa na Carrasco Putin [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ummat halaiki ya wapenda kandanda nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.

Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.

Mimi kama shabiki nguli wa Moro United nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
Aahaaaaa
 
Mimi ningempongeza Yanga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.

ANACHEZA NA WANAUME AKINA .

RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.

Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.


Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.
 
Mimi ningempongeza Yanga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.

ANACHEZA NA WANAUME AKINA .

RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.

Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.


Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.
Mkuu unateseka sana, hii comment unaipaste kwenye kila uzi wa Yanga...
 
Mimi ningempongeza Yanga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.

ANACHEZA NA WANAUME AKINA .

RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.

Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.


Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.
Now it's confirmed, Yanga is the biggest team in East Africa.
 
Back
Top Bottom