Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Kala kichapo leo balaa..bila Butcher na Hughie angekufa. Sema hua anbeam fulani ambazo akizipiga anaua Superpower za mtu kama ilivyotokea kwa kimiko. Ile ngao yake ni nzito balaaa
😂😂😂 sijamalizia kusoma nimeishia kwa kala kichapo leo balaa... sijui ukasema nini uko mbele... Man! niko episode 1 of So3 Leo itabid nisilale
 
😂😂😂 sijamalizia kusoma nimeishia kwa kala kichapo leo balaa... sijui ukasema nini uko mbele... Man! niko episode 1 of So3 Leo itabid nisilale
Kuna kitu nimekinote kwenye series leo ikabidi nitafute comics zinazomuhusu BlackNoir. Imeonyeshwa kua Homelander ana Disassociative Identity Disorder kama Moonknight.
Kwa mujibu wa Comics, Noir ndio adui mkubwa zaidi. BlackNoir ni Clone ya Homelander ambapo alitengenezwa ili kumuua Homelander kama atenda kinyume na Vought. Hata mke wa Butcher alimbaka yeye na sio Homelander, hebu ngoja tuone kama kwenye series wataenda hivo au itakuaje.
Let enjoy the show...
 
Vi clip vya Thor vishaanza kuvuja

Kuna kimoja anajaribu kuivuta mljonir jane alikuwa ameininginiza pembeni kwenye suruali upande wa mfuko inakataa kuja

Baadala yake storm breaker kutoka nyuma yake ndio inakuja Ina float mbele yake anaichukua anazuga anajifanya kama alikuwa anaita stormbreaker

Daah [emoji174][emoji174]
 
Kuna kitu nimekinote kwenye series leo ikabidi nitafute comics zinazomuhusu BlackNoir. Imeonyeshwa kua Homelander ana Disassociative Identity Disorder kama Moonknight.
Kwa mujibu wa Comics, Noir ndio adui mkubwa zaidi. BlackNoir ni Clone ya Homelander ambapo alitengenezwa ili kumuua Homelander kama atenda kinyume na Vought. Hata mke wa Butcher alimbaka yeye na sio Homelander, hebu ngoja tuone kama kwenye series wataenda hivo au itakuaje.
Let enjoy the show...
Black Noir ni Deadly sema naona anaamuaga kuchill tu

Sema kwenye Movie hawajaichukua hiyo concept maana wangefanya hivyo ilibid Ryan awe sio mweupe tena angekua Light skin
 
Mad Max uliema hupendi kuangalia sries za MCU, unaona sasa madhara ya kutokuangalia hizi Series???😅😅
Ni sawa ukaangalie Infinity war bila kuangalia muvi zilizopita.

Anaway, wale watoto ni Billy na Tommy ambao kwenye Comics Billy anaitwa Wiccan ana uwezo kama wa wanda na Tommy anautwa Speed ana uwezo kama The Flash. Hao ni watoto halisi wa Wanda ila kwenye Series inaonyesha ni watoto aliowatengeneza kwa Illusion na hawakua halisi.

Vile walivyokua wanaanguka walikua wanasafiri kutoka multiverse moja kwenda nyingine. Hopefully unafaham concept ya multiverse. So wanda alikua anamta Chavez amuibie nguvu zake ili aende kwenye universe ambazo hao watoto wake bado wapo hai akawachukue. Angalia Series ya WandaVision ndio utaelewa hii muvi

Aliota jicho la tatu kwakua alisoma kitabu cha DarkHold sasa ili uelewa hicho kitabu kazi na madhara yake inabidi ukatazame Series ya Agent of Shield
Mkuu.. ngoja nikitulia nitakufafanulia Concept ya multiverse 😅
Darkhold kinaingilia hadi programs za robots. Kitabu cha kishenzi sana kile😂.
 
Black Noir ni Deadly sema naona anaamuaga kuchill tu

Sema kwenye Movie hawajaichukua hiyo concept maana wangefanya hivyo ilibid Ryan awe sio mweupe tena angekua Light skin
Daaah I'm so stupid and Blunt, yaani nimeshindwa kugundua kitu kidogo hicho. Ryan ni kigezo kua Homelander kweli kambaka Becky ndio Maana Ryan ni blondie pia.

Kwenye comics baada ya tukio la Herogasm kwa walioona Ep6 Homelander ubaya wake ulianikwa wazi so alichofanya akaunda kundi la Supes akaenda kupindua serikali na kumuua makamu wa rais. So tutegemee hizi episode zijazo itatokea hivyo au S4 ndio itatokea hivyo. I can't wait, I can't wait
 
Mimi homelander tu nampenda uiguzaji wake. Yaani hua nacheka sana akiongea, kama kuna pale S3ep1 baada ya Starlight kuwa Cocaptain wakawa wanapiga picha basi akawa anatabasamu. Like tabasamu lilikua linatisha balaa.
Meave ca bend metal pipe steel without using her hand[emoji28][emoji28]
View attachment 2270603


Homelander ni Ruthless hata ukimpenda bado haisaidii maana ubaya upo ndani yake. Wale watu waliokua kwenye ndege walimkosea nini sasa si hata angejaribu kuwaokoa?? Kiboko ya Homelander ni Stan Edgar tu[emoji28].

Right now nimemaliza kuitazama Ep6 yaani nimecheka sana Herogasm jamaa mmoja ana bonge la dyudyu kama anakonda. Let me spoil it for ya Cunt[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Nilikua najua SoldierBoy anaweza kumpiga Homelander asee kumbe najidanganya. SoldierBoy kapewa kichapo na Homelander Butcher akamsaidia ila bado na Hughie akaingilia ndio kidogo wakafanikiwa kumdhibiti Homelander akakimbia. Sasa Starlight kaongea uovu wote wa Homelander na ksema kajiondoa Vought. I can't wait for Next Friday [emoji39]
Ningepata mwanamke anayejua muvi Kama wewe ningeinjoi sana. [emoji124][emoji124]

Weeeh! Soldier kapigwaaaa [emoji15] uwiii itakuaje sasa maana nilijua kama sio kuchukua power za Homelander basi atamuua kabisa,

Mmh kama Starlight kamlipua na Homelander alimwambia siku akifanya hivyo ataishi maisha yake halisi yaani ataanza kuteketeza jiji moja baada ya jingine na hakuna kitu cunt yoyote atamfanya, [emoji23]
Next episode itakua fireeeeeeeee

Ngoja kesho niangalie hiyo episode
 
Black Noir ni Deadly sema naona anaamuaga kuchill tu

Sema kwenye Movie hawajaichukua hiyo concept maana wangefanya hivyo ilibid Ryan awe sio mweupe tena angekua Light skin
Yes Ryan angekua black american na sidhani kama angechukua nguvu za Homelander na angekua adui mkubwa wa Homelander
 
Weeeh! Soldier kapigwaaaa [emoji15] uwiii itakuaje sasa maana nilijua kama sio kuchukua power za Homelander basi atamuua kabisa,

Mmh kama Starlight kamlipua na Homelander alimwambia siku akifanya hivyo ataishi maisha yake halisi yaani ataanza kuteketeza jiji moja baada ya jingine na hakuna kitu cunt yoyote atamfanya, [emoji23]
Next episode itakua fireeeeeeeee

Ngoja kesho niangalie hiyo episode
SoldierBoy kapigwa hasa imebidi wamchangie watatu ndio wakaweza kumziwia. Homelander aliona ngoma nzito akakimbia.

Kifuatacho kwenye comics Homelander alipindua serikali ngoja tuone Next episode or season itakua hivyo au lah kumbuka Ana backup ya Neuman anaweza kupasua vichwa vya watu kama nyanya maji😅.
 
Daaah I'm so stupid and Blunt, yaani nimeshindwa kugundua kitu kidogo hicho. Ryan ni kigezo kua Homelander kweli kambaka Becky ndio Maana Ryan ni blondie pia.

Kwenye comics baada ya tukio la Herogasm kwa walioona Ep6 Homelander ubaya wake ulianikwa wazi so alichofanya akaunda kundi la Supes akaenda kupindua serikali na kumuua makamu wa rais. So tutegemee hizi episode zijazo itatokea hivyo au S4 ndio itatokea hivyo. I can't wait, I can't wait
Nimemkumbuka yule Supe anayekunja kiganja tu Mtu anapasuka yule aliyetoroka kule Lab akaomba lift sijui aliishia wapi,

Hivi sijaelewa Victoria kwanini alimsaliti Stan Edgar over Homelander?? Ni ile Compund V au kuna lingine?

Sema alijua kuwabutua vichwa wenzake, sikumtegemea kabisa kama na yeye angekua Supe.
 
Nimemkumbuka yule Supe anayekunja kiganja tu Mtu anapasuka yule aliyetoroka kule Lab akaomba lift sijui aliishia wapi,
Yule ni Cindy na sio Victoria Neuman. Yule wanafanana aina ya nguvu tu halafu Neuman ndio alipasua madafu /vichwa pale bungeni na sio Cindy
Hivi sijaelewa Victoria kwanini alimsaliti Stan Edgar over Homelander?? Ni ile Compund V au kuna lingine?

Sema alijua kuwabutua vichwa wenzake, sikumtegemea kabisa kama na yeye angekua Supe.
Alimsaliti Stan ajili ya kumlindi mtoto wake ndio maana baadae alimchoma V ili awe na nguvu pia ajilinde. Stan alisema kamfundisha Kuplay both sides tutegemee bada wana plan za pamoja kumuua Homelander
 
Sio mahala pake ila

Interceptor. A good movie to watch while waiting for
Operation fortune
Man from toronto
Top.gun.
 
Yule ni Cindy na sio Victoria Neuman. Yule wanafanana aina ya nguvu tu halafu Neuman ndio alipasua madafu /vichwa pale bungeni na sio Cindy

Alimsaliti Stan ajili ya kumlindi mtoto wake ndio maana baadae alimchoma V ili awe na nguvu pia ajilinde. Stan alisema kamfundisha Kuplay both sides tutegemee bada wana plan za pamoja kumuua Homelander
Huyo huyo Cindy ndo najiuliza kapotelea wapi? Haiwezekani scene yake iishe namna ile,

Eeh lets wait and see Stan na Vicky wana mikakati gani maana sio kwa betrayal ile
 
Msaada jamani waizo comic book au site za kuzipakuwa maana nimetafuta google nimeshindwa
Download hii app imetengenezwa na Marvel wenyewe utakua unalipia Tsh 30000.
Utainjoi upendavyo huko
Screenshot_20220624-234923~2.png
 
Sio mahala pake ila

Interceptor. A good movie to watch while waiting for
Operation fortune
Man from toronto
Top.gun.
Naisubiri Operation Fortune kwa hamu sana, sijaelewa kwanini wanairusha rusha kuitoa
 
Huyo huyo Cindy ndo najiuliza kapotelea wapi? Haiwezekani scene yake iishe namna ile,

Eeh lets wait and see Stan na Vicky wana mikakati gani maana sio kwa betrayal ile
Mkakati wa Vick ni kumuua Homelander ile ilikua ni zuga tu kwakua alitishiwa ila hawezi kungeuka baa yake Stan. Ngoja tuone.
FB_IMG_16561081078479114.jpg
 
Back
Top Bottom