Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Is your idiot brain get fuccked by stupid!!!?

Yaani hii Series hainichoshi kabisa, umeanza S1? Leo inatoka S3Ep 6 naisubiria itoke niipakue. Butcher mshenzi sana kila mtu anamwita Cunt😅😅 uliona kimiko alivyoua watu kwa kutumia Dildo???
Hii Series tamu sana yaani hua nacheka sanaView attachment 2270328
the seven ni justice league iliyochangamka.
 
I have to say Da’Vinci ulivyosema Soldier boy kapigwa nlilifikir kile kipigo cha The boys brutal kumbe kazidiwa tu some punches

😁 nimecheka ile aliyosema Peacemaker wa DC kuwa Aquaman fucks fish... wakaamua wamuweke Deep afuck octopus

The boys kama wewe ni mkristo sana/ swala tano bora usiangalie 😅
 
Mcu itakuepo comic Con tunaweza tukapata ya teaser ya bp 2 na gotg holiday special pia maybe phase 5 projects announcement hi 2019
 
Nimeangalia A MAN FROM TORONTO.
i am going to this hivi is it me au kila alikuwepo kwenye now you see at least wale main character ni wanajua kuact vizuri? yaaan tukianza na our man bruce bunner na hao wengine wote
The talking fast guy,nimekuja gundua hili leo.

Anyway kama fan wa MCU nimeona possibility ya movie nyingi sana pale mwishoni naona madam yule handler wa MFT alikua anachagua ma man from miji kibao kwaiyo kwa sisi weye ubongo wa mcu tunaona kabisa kama wakiamua tunaweza pata stori nyingi sana tofauti na zinaweza zikamzunguka teddy(kevin hart)
 
Back
Top Bottom