I haven’t seen the movie yet so I’m gonna say yeah...maybNimeangalia A MAN FROM TORONTO.
i am going to this hivi is it me au kila alikuwepo kwenye now you see at least wale main character ni wanajua kuact vizuri? yaaan tukianza na our man bruce bunner na hao wengine wote
The talking fast guy,nimekuja gundua hili leo.
Anyway kama fan wa MCU nimeona possibility ya movie nyingi sana pale mwishoni naona madam yule handler wa MFT alikua anachagua ma man from miji kibao kwaiyo kwa sisi weye ubongo wa mcu tunaona kabisa kama wakiamua tunaweza pata stori nyingi sana tofauti na zinaweza zikamzunguka teddy(kevin hart)
HahahaI haven’t seen the movie yet so I’m gonna say yeah...mayb
Hahah Kwanini? Halafu cast ya supernatural ipo humo kama yule Bob singer hili jina si hata kwenye supernatural alikuwa anaitwa bob, soldier boy kuna alikuwa Dean WinchesterThe boys ni moto mwingine..wafanye wasimuue tu the soldier boy
Herogasm [emoji23]Hahah Kwanini? Halafu cast ya supernatural ipo humo kama yule Bob singer hili jina si hata kwenye supernatural alikuwa anaitwa bob, soldier boy kuna alikuwa Dean Winchester
Sema hii tv show ina weird shit kibao wewe episode unahiitaje Herogasm[emoji28]
love sausage 🤣Hahah Kwanini? Halafu cast ya supernatural ipo humo kama yule Bob singer hili jina si hata kwenye supernatural alikuwa anaitwa bob, soldier boy kuna alikuwa Dean Winchester
Sema hii tv show ina weird shit kibao wewe episode unahiitaje Herogasm😅
Hahah Franchie kila mtu akawa anamsikitikia kakosa mambo yakeHerogasm [emoji23]
Halafu wakamkumbuka Franchie angekuwepo eti he always wanted to see that shit.
Hivi huyu Soldier Boy ni kama vile akitoa nguvu zake anakua hajijui eeh,nieleweshwe hapo
love sausage🤣
Hahah Franchie kila mtu akawa anamsikitikia kakosa mambo yake
Yes, huwa anapoteza control hawez ku control ile na tukio linapotokea huwa ana blackout... ni zile majaribio walizomfanyia kule russia nahis zinamsumbua
Yule ni kama bomu linalotembea ana radiation zile yuko radioactive ndio maana kuna ile meter alioachiwa Hughie alivyokaa na soldier boy akawa anaangalia, alikuwa jamaa akikasirika zile radiation level zinapanda... jamaa ni bomu linalotembea
Yule tick tack alikuwa analia help me! Alafu Homelander kaja kumkanyaga na boot [emoji23]
Ila nikizeeka nataka niwe Stan Edgar aisee yule mzee namkubali yuko very confident, kuna ile siku kamchana Homelander akamwambia “you are just a bad product” nilivunjika mbavu [emoji23][emoji23][emoji23]
Homelander anajitahid tu ila anapata emotional damages sio za nchi hiiHapa sasa umenifumbua macho, nitairudia tena vizuri niliangalia usiku ile episode,
Kwa kweli wasimuue Soldier Boy binafsi nimemkubali hizo nguvu zake, warudie mpambano na homelander ampe kipigo cha Mbwa mwizi halafu akimbie tena [emoji1787]
Stan Edgar ana confidence sio ya Sayari hii, nimekumbuka hiyo scene alimwambia ni bad product, mshikaji aliumia ukizingatia Docta naye alimwambia you are my failure, dah
Nachoshindwa kuelewa ni kwanini soldier boy anashindwa kum-handle homelander man-to-m,an, jamaa ni walking nuclear reactor.Hahah Franchie kila mtu akawa anamsikitikia kakosa mambo yake
Yes, huwa anapoteza control hawez ku control ile na tukio linapotokea huwa ana blackout... ni zile majaribio walizomfanyia kule russia nahis zinamsumbua
Yule ni kama bomu linalotembea ana radiation zile yuko radioactive ndio maana kuna ile meter alioachiwa Hughie alivyokaa na soldier boy akawa anaangalia, alikuwa jamaa akikasirika zile radiation level zinapanda... jamaa ni bomu linalotembea
Yule tick tack alikuwa analia help me! Alafu Homelander kaja kumkanyaga na boot [emoji23]
Ila nikizeeka nataka niwe Stan Edgar aisee yule mzee namkubali yuko very confident, kuna ile siku kamchana Homelander akamwambia “you are just a bad product” nilivunjika mbavu [emoji23][emoji23][emoji23]
maeve nae alimjibu hivyo homelanderHomelander anajitahid tu ila anapata emotional damages sio za nchi hii
Speaking of emotional damage kuna na ile
Soldier boy anamwambia demu wake kuwa alimpenda Manzi anajibu “i hated you, we all did” aisee inauma ile
Ukiwa Mbabe sana watu hawakupendi bali wanakupa nidham ya uogamaeve nae alimjibu hivyo homelander
Na Soldier kingine kilimuuma kuona kipenzi chake alimtoa for free kwa wa Russia yaani bora wangempa Pesa angeona alihadaika na Pesa lakini free daaah inaumaaaHomelander anajitahid tu ila anapata emotional damages sio za nchi hii
Speaking of emotional damage kuna na ile
Soldier boy anamwambia demu wake kuwa alimpenda Manzi anajibu “i hated you, we all did” aisee inauma ile
Hughie anafuraha sana kua supe,Nachoshindwa kuelewa ni kwanini soldier boy anashindwa kum-handle homelander man-to-m,an, jamaa ni walking nuclear reactor.
Kwa sasa hamna mtu mwenye furaha kama Hughie, kwa mara ya kwanza kaweza kumdindia na kumpiga(japo blows kadhaa) bully wake wa muda mrefum, homelander.
Kumuua Homelander bado nahis itachukuwa muda, maana akifa yeye hamna la maanaHughie anafuraha sana kua supe,
Ngoja tuone next episode labda Soldier ataelewa kua Homelander ni Adui anahitaji kushughulikiwa japo sitaki wamuue Homelander nataka nimuone awe na mwisho wa kujutia makosa yake
Soldier boy akimpiga Homelander si series ingeisha mapemaNachoshindwa kuelewa ni kwanini soldier boy anashindwa kum-handle homelander man-to-m,an, jamaa ni walking nuclear reactor.
Kwa sasa hamna mtu mwenye furaha kama Hughie, kwa mara ya kwanza kaweza kumdindia na kumpiga(japo blows kadhaa) bully wake wa muda mrefum, homelander.