Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Dah
Kuazia phase 4 ni lazima uangalie series pia.
Anza na series ya Wandavision, usipoangalia hii series hutaelewa muvi ya Doctor strange, hutaelewa Captain Marvel ijayo. Usipoangalia loki ndio kabisa unabaki maana hapo ndio martiverse inazaliwa. So jitahidi angalia seriea na muvi kwa mtiririko.
Ndio maana story naona siipati kabisa kwenye.
Nimeangalia zote Black Widow, Shang Chi R, Eternals ,Spider-Man: No Way Home , Doctor Strange in the Multiverse of Madness ,Thor Love and Thunder ,Black Panther Wakanda Forever, Ant-Man and the Wasp Quantumania ila naona hazina link up ngoja nianze kucheki hizo series ulizorecommend taratibu.

Kilichonifanya niamue kuangalia movie tu za marvel bila series ni sababu i grew up watching Star war Universe na Star trek Universe na nikawa Marvel nnaangalia movie moja moja last year ndo nikaanza kuangalia kwa mfuatano kufuata release date.

Tatizo linakuja Star War Universe na Star trek Universe wana a lot of movies and series having interconnected storyline with a vast timeline wanatoa almost series 4 kila mwaka. Itabidi nijibalance niangalie taratibu MCU.
 
Dah
Ndio maana story naona siipati kabisa kwenye.
Nimeangalia zote Black Widow, Shang Chi R, Eternals ,Spider-Man: No Way Home , Doctor Strange in the Multiverse of Madness ,Thor Love and Thunder ,Black Panther Wakanda Forever, Ant-Man and the Wasp Quantumania ila naona hazina link up ngoja nianze kucheki hizo series ulizorecommend taratibu.

Kilichonifanya niamue kuangalia movie tu za marvel bila series ni sababu i grew up watching Star war Universe na Star trek Universe na nikawa Marvel nnaangalia movie moja moja last year ndo nikaanza kuangalia kwa mfuatano kufuata release date.

Tatizo linakuja Star War Universe na Star trek Universe wana a lot of movies and series having interconnected storyline with a vast timeline wanatoa almost series 4 kila mwaka. Itabidi nijibalance niangalie taratibu MCU.
Kwenye hii multiverse saga series ya muhimu mpaka Sasa NI Loki na what if ,sema uzuri wanajua Sio watuwengi wanachecki series ko matukio huwa wanaya refer ,ila ukitaka unaweza cheki recap yt
 
Shabani kaoneka umeyakanyaga, shabani kaoneka umedandia mtumbwi wa vibwengo. Yaani unathubutu kunikosoa mimi[emoji28]
Ngoja kwanza nijisifie.
[emoji117]Kwa JF hii naamini hakuna mtu anaweza kushindana nami kuhusu maswala ya Marvel Cinematic au Game if Thrones, kama unabisha nipe mkono tushindane.
Uliza chochote kuhusu Marvel na GOT nitakujibu for pages of explanation


Ipo hivi: moja ya sababu Marvel kushuka ubora ni COVID-19 Maana mwaka 2019 ndio walikua wameplan muvi na series zote za phase 4 zianze kutoka 2022. Bahati mbaya covid-19 ikazuka baadhi ya project zikiwa bado zikiwa kwenye pre production hivyo basi Covid-19 ilipoonza kupungua ikabidi wafanye haraka haraka post production ya muvi na series. Ndio maana baadhi ya project zilishuka ubora wa VFX.
Walikua wanawahi ili kwenda sambamba na timeline ya phase 4. Ndio maana kwa mara ya kwanza muvi za marvel mwaka 2021 zikatoka nne na series 4 wakati toka 2008 zilikua zinatoka 2 tu.

Kwa sababu hiyo ndio maana baadhi ya project zilizotakiwa kutoka mwaka huu kama Echo,Ironheart,Agath harkness, nk zimesogezwa mbele ili ziwe scrapped na kuongezwa ubora.

Nitarudi kueleza sababu ya pili

itabidi nikucheki kwa maelezo ya MCU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Wakuu naomba msome hii comment nikitulia kuna kitu nitakuja kuelezea. Nahisi GOTG itakua connected na muvi ya The Marvels.
Nitakuja kueleza how...

Watu wengi hawajaipenda series ya Ms.Marvel Kwamba imekaa kitoto hasa kwakua zimetoka wakati mmoja na Series ya The Boys, ukilinganisha na The boys utaaona ni ya hovyo kweli maana ipo genre ya Teen na PG 13. Binafsi mimi nimeipenda story yake kwakua hii story yake inaunganisha muvi nyingi zijazo. Eleweni kwamba kama mtu hatatazama series hii basi hataweza kuelewa Captain Marvel 2, Shang Chi 2 na series ya Secret Invasion.... Nitaelezea kadri nilivyoelewa hii series na theory yangu juu ya Muvi zijazo.
View attachment 2279241

Let's roll....
Inhumans ni specie ya Superhuman ambao makazi yao ni Mwezini/Attilan, mtu akifikisha miaka fulani hupitishwa kwenye Process fulani inaitwa Terrigenesis ambapo kijana anawekewa kitu kinaitwa Terrigen Mist .Lakini kuna Inhumans wengine wamepata nguvu bila kuwekewa hizo Terigen Mist... Hicho ndio kinatoa nguvu zao. Mfalme wa Inhumans anaitwa Blackngar Boltagon (Black Bolt) ambae sauti yake inaweza kuharibu kila kitu. Hopefully mlimuona kwenye Multiverse of madness, Ilinibidi niangalie Season ya Inhumans maana nilikua sijaitazama tofauti na Agents of shield.

Captain marvel ni kundi linaloundwa na superhero kadhaa wengi wakiwa wa kiume (kama sijasahau ) members wake ni Mar-Vell, Monica Rambeau, Genis-Vell, Phyla-Vell, Khn'nr, Noh-Varr na
Carol Danvers
. Katika kundi hili ni Monica na Carol ndio wenye asili ya duniani/Human Race waliobaki hapo Kree race. Sasa hawa superhero wengi wamepata nguvu kwa kutumia Technology za Kree au Genetic modification kutoka hukohuko Kree.


Ms Marvel...
Kama tulivyoona kwamba kundi la Captain marvel liliundwa zaidi na wanaume, bali pia kundi hili la Ms marvel ni kundi la superhero wa kike ambao walipata nguvu kupitia Tech's za Kree. Kundi hili linaundwa na Carol Danvers,Kamala Khan, Sharon Ventura na Karla Sofen.

Kamala Khan ni race ya Inhuman ambapo nguvu zake ni kurefusha baadhi ya viungo vyake kama shingo,miguu,mikono nk, anaweza kuukuza mwili wake na kuufanya uwe mdogo kama ant man au anaweza kujikondesha kama karatasi, anaweza kujibadirisha kua mtu mwingine kama Skrulls, anaweza kubadirisha umbo lake na kutengeneza umbo lolote kama vile Venom

Sasa...
Kwenye Series imeonyeshwa amevaa bracelet mkononi toka kwa bibi yake ambae anaiita Bangle ambapo inamuwezesha kuwa na uwezo huo nilioutaja hapo juu. Kamala asili yake kwenye Comics ni Inhumans ila kwenye Series hawajaonyesha kama ni inhumans...Ila kwenye Episode 2 wakati Kamala anafanya majaribu ya nguvu zake kwa kutumia ile bangel rafiki yake Bruno alimwambia kwamba inaonyesha kua nguvu zake hazitoki kwenye Bangle bali inatoka ndani ya mwili wake so hiyo inatutaarifu kua Kamala ana nguvu zake tayari ila hazitoki kwenye bangle kama nilivyosema Kamala ni Inhuman.

Wakuu natumaini mnajua kua Kamala Khan atakuwepo kwenye muvi ya Captain Marvel 2, hivi mlishswahi kujiuliza kwanini Caro Danvers alikua kwenye Post Credit ya Shang Chi wakichunguza zile rings.?? Hapo ndio kuna connection haswa... Haikutokea bahati mbaya Carol kuwepo pale .

Kwenye flashback Episode 3 miaka ya 1940s ilionyesha watu wapo kweye pango wanatafuta hiyo bangle wakaikuta kwenye mtu mwenye mkono wa Blue ambae hatukuona sura yake...Na kubwa zaidi wale watu walikua wamesimama kwenye alama/nembo kama za Bendera ya Ten Rings. Nadhani mnaifahamu.
View attachment 2279240
View attachment 2279242

Sasa inafahamika kwamba kwenye Marvel Universe viumbe wenye rangi ya blue ni Kree, so inawezekana mkono wa mtu huyo ni Kree.

Katika kundi la Captains Marvel kuna mtu anaitwa Mar-Vell , Mar-Vell jina lake halisi ni Walter Lawson ambae kwenye muvi ya Captain Marvel 2019 walimbadiri kua mwanamke na kumuita Dr. Wendy Lawson au Supreme Inteligence

Mar-Vell alikua anatumia kifaa kinachoitwa Universal Beam ambacho kilimuwezesha kua na nguvu za kukontrol usumaku, kupaa, speed nk kifaa hichoalikibadirisha na kuwa anakivaa mkononi akakiita Nega Band.

So kama kwenye series wameonyesha Bangle anayovaa Kamala ilitolewa kwenye kiumbe chenye rangi ya blue ambacho naamini ni kree basi nahisi pia hiyo Bangle ndio hiyo NegaBand aliyokua anaitumia Walter Lawson.

So kuna uhusiano mkubwa kati ya Bangle ya Kamala na Rings za Shang Chi ndio maana Carol Danvers alikueepo kwenye Post Credit scene.
View attachment 2279239
Series bado inaendelea ngoja tuone itatuonyesha nini hasa ikiisha, series haipo bomba kivile ila story yake tu inavutia coz inaunganisha na muvi zijazo so vumilieni muiangalie msiwe kama yule jamaa aliyekua anaulizia kuhusu watoto wa Wanda.
Kama sijaeleweka ulizeni wenye maswali.
I'm happy to Comply!

Cc
Dinazarde Dream Queen Marc Spector Jorge WIP Kimura_shinji thephilanthropist bravocharlie
 
This is tricky,where is he??
1684005608143.jpg
 
GALACTIC RECORD!

'Guardians Of The Galaxy Vol 3' enters the Guinness Book of Records as the film that most makeup prosthetics used, being over 22,500..

FB_IMG_16840528307194848.jpg
 
wana scrap kwasababu ya uoga. We ingia mtandaoni utaona watu wanalalmika kuhusu 'superhero fatigue'. Watu wameshazoea trope zote za muvi za superheroes na wameanza kuzichoka. Studios are not taking creative risks, they only go with what works.....

Baada ya infinty saga kuzalisha pesa nyingi, disney wameona marvel inaweza kua chanzo kikubwa cha pesa, hivo wakajitahidi watoe as many IPs as possible. Hii ikapunguza quality ya muvi, ukiongezea pia wameweka woke agendas ambazo watu wengi huko marekani wanzichukia mfano, feminism..... Pia wametengeneza series nyingi zinazo tie-in na cinema ili disney+ iingize hela kwasababu nayo inafilisika....

Phase 3 ilitumia miaka 3 ila kulikua na project 11, phase 4 imetumia kidogo zaidi ya mwaka 1, ila ina projects 18. Kusema kweli marvel wameishiwa direction ya kwenda, wakitengeneza muvi wakiitest, inachukiwa, hivo wanaiscrap kwaajili ya reshoots na kuirekebisha, ila zinafeli tu....
Phase 4 muvi kali ilikua ni ile ya spiderman no way home, tena ilifanikiwa kwasababu ya nostalgia ya wale waigizaji wa zamani....

Wametoa vitu vingi, wamekosa creative direction, wameanza kutumia material complicated kama multiversal theory, ambazo casual fans hawapendi. Maamuzi ya DC kureboot ni mazuri kwasababu wanajipa second chance, watakua na uwezo wa ku-explore vitu vingi.....
Sure mkuu haya mambo yao ya Multiversal yanachanganya sana basi tu
 
Mkuu Da'Vinci hebu nipe full details za iron man kama atakuwepo tena kwenye movies yaani yaliyopita,yaliyopo na yajayo kumhusu yeye na uigizaji wake.
Ninamkubali sana mwamba.


Nitashukuru sana.
 
Mkuu Da'Vinci hebu nipe full details za iron man kama atakuwepo tena kwenye movies yaani yaliyopita,yaliyopo na yajayo kumhusu yeye na uigizaji wake.
Ninamkubali sana mwamba.


Nitashukuru sana.
Swali lako umeliweka katika aina mbili. Nikupe details za mwigizaji Robert Dwayne Jr pia nikupe details za character Iron Man.
Kevin Feige alisema kwamba phase 5 haiatahusu maswala yaliyotokea kwenye phase 3 (endgame). Kwamba wana move on.
So habari za fallen heroes zitabaki huko. But tupo kwenye Multiverse saga, kila kitu kinaweza kutokea kwenye multiverse usishangae kumuona Nicholas Cage kama John Blaze/Ghost Rider 2008
So usishangae kumuona tena Iron man As alternate character of earth 616
 
Ok finally nimepata wasaa wa kuelezea
Kama mmeona Post credit scene ya GOT imeonyesha kundi jipya la GOTG likiwa na Rocket, Groot, Cosmo, Kraglin, Adam, Phyla.

Si mnakumbuka niliongelea kuhusu mtu mmoja anaitwa Mar-veill kwenye muvi ya captain marvel 2019 alitumia jina la Dr.Wendy Lawson. Huyu Marvel ana watoto wawili wanaitwa Genis-Veill na Phyla-veil. Huyu phyala ndio kaonekana kwenye muvi ya GOTG. Kwenye comics phyala ni member wa Guardians, hivyo basi naamini hajaonekana kwa bahati mbaya kwenye hii muvi inawezekana atakuwepo kwenye The Marvel 2023 au GOTG itakua inahusiana na The Marvels .
Ngoja tusubiri November
Wakuu naomba msome hii comment nikitulia kuna kitu nitakuja kuelezea. Nahisi GOTG itakua connected na muvi ya The Marvels.
Nitakuja kueleza how...
 
Swali lako umeliweka katika aina mbili. Nikupe details za mwigizaji Robert Dwayne Jr pia nikupe details za character Iron Man.
Kevin Feige alisema kwamba phase 5 haiatahusu maswala yaliyotokea kwenye phase 3 (endgame). Kwamba wana move on.
So habari za fallen heroes zitabaki huko. But tupo kwenye Multiverse saga, kila kitu kinaweza kutokea kwenye multiverse usishangae kumuona Nicholas Cage kama John Blaze/Ghost Rider 2008
So usishangae kumuona tena Iron man As alternate character of earth 616
Oooi! ila bado kwenye tasnia ya uigizaji yumo kwenye siku za usoni maana uhusika wake naupenda sana
 
Back
Top Bottom