Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Hivi CCM imefikia huku?
Nikikumbuka CCM kipindi chetu chini ya Mwalimu nabaki nashangaa sana!
Who is Chatanda?......nani anamsikiliza kiumbe kama huyu?
Anajua hata watu wanacholilia kwenye mkataba ule?
Inachekesha sana.
Unamdogosha komredi Mary Chatanda?!!!

CCM ni imani....kwani komredi Butiku ni muumini pekee wa imani nzito ya CCM kutushinda wote tuliopikwa humo ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi shule tunakwenda kusomea uliberali wa kusuka nywele watoto wa kiume?!![emoji1787]
 
Weka ushahidi hapa, binafsi pia napinga vipengele...vile vipengele ni sawa na mwanamke anayejirahisi sana kwa mwanaume, hawezi kupata stahiki zake zote!.
Unataka 50% kutoka kwa mwekezaji ?!!!

Mbona hushangai ile 3% dividend kutoka sekta ya Madini ambayo hayati JPM alipambana kote na hivi sasa kufikia 22% ?!!
 
Hivi CCM imefikia huku?
Nikikumbuka CCM kipindi chetu chini ya Mwalimu nabaki nashangaa sana!
Who is Chatanda?......nani anamsikiliza kiumbe kama huyu?
Anajua hata watu wanacholilia kwenye mkataba ule?
Inachekesha sana.
Kuna shida mahali kuna cheo ukishika kama mjumbe wa kamati kubweka tu hovyohovyo hakufai akiambiwa alete ushahidi wa Butiku kuhongwa anao?

Ajikite kwenye vipengele vya mkataba kuwa kipengele hiki kinasema hivi je ni kizuri kwa nchi au la aende kimoja baada ya kingine

Asiongee tu kama kasuku
 
Kama wanaopinga wamehongwa basi uwe na uhakika wanaoutetea nao wamehongwa.
 
Hapa ndio tunashindwa kuelewa kati ya butiku na yeye nani kahongwa.
 
Unamdogosha komredi Mary Chatanda?!!!

CCM ni imani....kwani komredi Butiku ni muumini pekee wa imani nzito ya CCM kutushinda wote tuliopikwa humo ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi shule tunakwenda kusomea uliberali wa kusuka nywele watoto wa kiume?!![emoji1787]
Sipo hapa kubishana.
Hunijui, Sikujui.
Kwa heri.
 
Kuna shida mahali kuna cheo ukishika kama mjumbe wa kamati kubweka tu hovyohovyo hakufai akiambiwa alete ushahidi wa Butiku kuhongwa anao?

Ajikite kwenye vipengele vya mkataba kuwa kipengele hiki kinasema hivi je ni kizuri kwa nchi au la aende kimoja baada ya kingine

Asiongee tu kama kasuku
Exactly [emoji817]
 
Wewe huu ndo msimamo wako na wengine..
Lakini wapo wanaopinga kabisa uwekezaji..
Hawapo , wote tunapinga vipengele , ndo mana ya neno kuuzwa linaibuka , ni kutokana na vipengele , na mwekezaji ni mzuri Tu na kaz zake zinajulikana tatizo viongozi wetu tunashindwa kuelewa inakuwaje wanaaprove vipengele vibovu kama hvyo , hapa ndo tunaanza kutiliana mashaka kuhusu Utanzania wa viongozi wetu , huenda wenzetu Wana agenda zingine
 
Mary chatanda ndio mdudu gani? Tuanzie hapo kwanza.
 
Labda wewe huwasikikizi vizuri..
Shivji anataka serikali iendeshe Bandari...
Pengo kauliza kwanini hatuwezi endesha wenyewe Bandari...
Tibaijuka kasema Dubai ni mpinzani wetu wa blah blah gani sijui..
Mwambukusi kasema Bandari ni mpaka hatuwezi wapa wawekezaji mpaka....the list goes on...
Sikiliza vizuri uwaelewe...
Sio wote wanaosema vipengele virekebishwe..
Mkuu leo naona umekuwa mpole, hata mimi nakataa sababu za kubinafsi bandari zetu za kiwaki.
 
Baadaye alifanyiwa upasuaji wa kichwa baada ya kupigwa tofali na Aden Rage , kwa sasa anaendelea vizuri
Hadi leo bado hayupo sawa, anaitwa Arnold swai. Kuna kipindi michango ilifanyika kumsaidia
 
CCM chama changu.
Tulikupenda ila mwisho umekupenda zaidi.
Hakuna wajengaji wa hoja tena zaidi ya kushambulia watu binafsi.
Na hii shida imeanzia pale mlipoamua kugawana madaraka kwakurithishana.
UVCCM mpo wapi?
 
Kama ni Mbowe tu ni kwanini mnamshambulia kila mtu? Kwanini kila anayetofautiana na Mkataba mnamuona kahongwa?
Akina nani wanamshambulia kila mtu....

Binafsi yangu simshambulii yoyote bali natoa hoja kinzani dhidi ya hoja dhaifu za baadhi ya wapingaji uwekezaji huu....
 
Back
Top Bottom