The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Watanzania tunapenda sherehe. Kila shughuli lazima ifanywe sherehe. Ujamaa umetuathiri sana.Yaani leo ilitakiwa iwe siku ya mjadala kitaifa, lakini jasiri haachi asili ametafuta upenyo ili afanye shughuli
Hela nyingi inatumika... Namna nyingine ya upigaji. Kuna mtu anatumia hii shughuli kula kwa urefu wa kamba yake.