Mary Chatanda: Sheria kali itungwe kupambana na Ushoga, ikiwezekana wahasiwe

Mary Chatanda: Sheria kali itungwe kupambana na Ushoga, ikiwezekana wahasiwe

Muambieni ashushe bei ya unga.
Umeambiwa ana duka la kuuza unga! Mlizowea kuwanyonya wakulima mnasubiri wao walime halafu nyie ndio mpange bei ya mahindi, safari hii waacheni wauze na wao wapate pesa.
 
Sema hiyo hoja ya kuhasiwa sio nzuri maana ndio itaongeza mashoga kwa sababu atakayehasiwa itabidi akitaka burudani apigwe miti yeye.
 
Kwahiyo watahasi hao mashoga au mabasha? Ila wanawake sijui wanatuonaje wanaume. Wanakimbilia kuhasi Tu Tena huko kwake Tanga wakihasi wanaofira hata kwake anaweza kushtukia bwanaake amehasiwa.
 
Lakini kilo yaunga ilikuwa sh1000
Hata wale wa kagera walipewa misaada mbalimbali lkn akabeba rambirambi yote!! Bora kupanda kwa unga wa ugali au bora kuiba rambirambi za waathirika??
 

Attachments

  • 20230319_161143.png
    20230319_161143.png
    116.2 KB · Views: 4
Ma Janamke ya CCM sio Mabunifu kabisa.

Sherehe ya Miaka Miwili ya Uongozi ndio nini sasa.

Yaani yameona hii ndio best Counterattack Kwa Kongamano la BAWACHA kwenye siku ya WANAWAKE Duniani
Kila Mkuu wa mkoa amefanya hilo jambo!
 
Muambieni ashushe bei ya unga.
Mama hashughuliki watanzania wa hali ya chini,yeye wenzie ni CHadema viongozi,na machawa wake walio karibu yake....Swala la chakula kushuka mzee tutafte namna ya kumtoa.
Unga mtaani kwetu 2400/kg.yeye yupo kimya anafanya kazi yakuudhulia tu mialiko.
 
Back
Top Bottom