Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Kwan yeye ndo analima? Tetemeko tu lilitokea raia wakahitaji msaada wakaambiwa yeye hajaleta tetemeko!!!Muambieni ashushe bei ya unga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan yeye ndo analima? Tetemeko tu lilitokea raia wakahitaji msaada wakaambiwa yeye hajaleta tetemeko!!!Muambieni ashushe bei ya unga.
hana uwezo huoMuambieni ashushe bei ya unga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Kilele cha Miaka Miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) katika Uwanja wa Uhuru Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2023.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary Chatanda amesema wamefanya sherehe hii ili kumpongeza Rais wa kuifanya nchi ipige hatua kubwa kiuchumi na kisiasa katika kipindi cha miaka 2 aliyoongoza.
Amemshukuru Hayati Magufuli kwa kuwaamini wanawake kwenye fursa nyingi za kisiasa pamoja na kumpa nafasi Rais Samia kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na 2020.
View attachment 2557746
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary ChatandaAmemshukuru Rais kwa kuhudhuria kongamano la Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), tendo linaloonesha kuwa siasa sio uadui. Pia, kukubali kuikwamua katiba mpya pamoja na kushiriki kwenye maridhiano ni mambo yanayoonesha uongozi mzuri wa Rais Samia.
Aidha, amesema UWT ipo kwenye hatua za mwisho za kuleta ripoti ya uchunguzi wa Ukatili wa kijinsia na watoto uliofanyika kwenye vituo vya polisi ili hatua kali zichukuliwe kwa wahusika. Pamoja na hilo, amesema mipango endelevu ya kukemea mapenzi ya jinsia moja (Ushoga) iwepo, sheria kali zitungwe kuwadhibu wahusika kwa kuwa ni kinyume cha utamaduni wa kitanzania.
“Hapa, Serikali ifanye marekebisho ya sheria hizi, na kuleta sheria kali kabisa Mhe. Rais, ikiwezekana hawa watu wakipatikana Wahasiwe, maana kuendelea kuwaacha hivihivi hawa, wataendelea kuliharibu taifa letu”
RAIS SAMIAAmesema wakati wanapewa Madaraka alibezwa sana. Jambo hili lilimpa ujasiri wa kupuuza maneno hayo na kumpa nguvu na ujasiri wa kuchapa kazi na kusonga mbele. Hadi sasa, hakuna mradi uliosimama kutekelezwa.
View attachment 2557773
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaAmewashukuru BAWACHA kwa kuandaa kongamano kubwa na zuri kwenye kilele cha Siku ya Mwanamke Duniani. Amevitaka vyama vingine vya siasa kuiga mfano huo, ikiwezekana waandae pia miaka ijayo na yeye atakubali kushirikiana nao.
Toa maana ya kauli Yako.Acha dharau wewe!
Haya ndio matatizo ya kubebana kwenye nafasi nyeti kama hizo.Hahaha kweli unamuhasi shoga? ,au alitaja kusema kuhasi mabasha.
Umesahau wanawake wanavyopenda sherehe? Kwa hili jiandaeni tu.Uongozi wa mirathinunachangamoto zakem
Hajiamini kila akitimiza mwakaaanafatnya sherehe.
Hakuna keki hapo??Umesahau wanawake wanavyopenda sherehe? Kwa hili jiandaeni tu.
Wakati unaenda kupiga kura 2020 hukumuona pembeni!?? Na Kama hangekuwepo Magufuli hazingeruhusiwa kugombea hivyo uliwachagua wote kwa pamojaToa maana ya kauli Yako.
Kusema kuwa karithi ni dharau??
Ni lini tulimpigia kura kwa nafasi yake??
Hata hiyo 2025 itakuwa kwa kulazimisha tu.
Kwani alichukua fomu akapitishwa na Nec na Chama??Wakati unaenda kupiga kura 2020 hukumuona pembeni!?? Na Kama hangekuwepo Magufuli hazingeruhusiwa kugombea hivyo uliwachagua wote kwa pamoja
alichukua fomu akapitishwa na Nec na Chama??
Si Magufuli alimteua kuwa mwenza??
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Kilele cha Miaka Miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) katika Uwanja wa Uhuru Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2023.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary Chatanda amesema wamefanya sherehe hii ili kumpongeza Rais wa kuifanya nchi ipige hatua kubwa kiuchumi na kisiasa katika kipindi cha miaka 2 aliyoongoza.
Amemshukuru Hayati Magufuli kwa kuwaamini wanawake kwenye fursa nyingi za kisiasa pamoja na kumpa nafasi Rais Samia kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na 2020.
View attachment 2557746
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary ChatandaAmemshukuru Rais kwa kuhudhuria kongamano la Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), tendo linaloonesha kuwa siasa sio uadui. Pia, kukubali kuikwamua katiba mpya pamoja na kushiriki kwenye maridhiano ni mambo yanayoonesha uongozi mzuri wa Rais Samia.
Aidha, amesema UWT ipo kwenye hatua za mwisho za kuleta ripoti ya uchunguzi wa Ukatili wa kijinsia na watoto uliofanyika kwenye vituo vya polisi ili hatua kali zichukuliwe kwa wahusika. Pamoja na hilo, amesema mipango endelevu ya kukemea mapenzi ya jinsia moja (Ushoga) iwepo, sheria kali zitungwe kuwadhibu wahusika kwa kuwa ni kinyume cha utamaduni wa kitanzania.
“Hapa, Serikali ifanye marekebisho ya sheria hizi, na kuleta sheria kali kabisa Mhe. Rais, ikiwezekana hawa watu wakipatikana Wahasiwe, maana kuendelea kuwaacha hivihivi hawa, wataendelea kuliharibu taifa letu”
RAIS SAMIAAmesema wakati wanapewa Madaraka alibezwa sana. Jambo hili lilimpa ujasiri wa kupuuza maneno hayo na kumpa nguvu na ujasiri wa kuchapa kazi na kusonga mbele. Hadi sasa, hakuna mradi uliosimama kutekelezwa.
View attachment 2557773
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaAmewashukuru BAWACHA kwa kuandaa kongamano kubwa na zuri kwenye kilele cha Siku ya Mwanamke Duniani. Amevitaka vyama vingine vya siasa kuiga mfano huo, ikiwezekana waandae pia miaka ijayo na yeye atakubali kushirikiana nao.
Amewapongeza Simba na Yanga kwa kutumia vizuri fursa aliyowapa ya kununua kila goli kwa Milioni 5. Kwa hesabu alizonazo, Simba wamelamba milioni 35 siku ya jana baada ya kuishinda Horoya FC. Amesema aliona utani Mtandaoni akimpigia Msigwa kuwa amwambie refa amalize mpira kuwa pesa haipo, sio kweli. “Wekeni mpira kwenye wavu, pesa bado zipo”
Amewataka wanawake kushiriki kikamilifu kwenye kupiganja fursa mbalimbali pasipo kusubiria wasemewe na wanaume.
Kuhusu Utawala bora na Demokrasia, Rais samia ameendelea kusisitiza kuwa yupo tayari kubadili Katiba ya Nchi kama ambavyo watu wengi wanataka. “Sifa ya mwanamke ni kujiamini, nami kama mwanamke wa CCM najiamini”. Yupo tayari kujadiliana na watu wa vyama vingine ili mambo yaende sawa.
Na wasagaji je?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Kilele cha Miaka Miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) katika Uwanja wa Uhuru Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2023.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary Chatanda amesema wamefanya sherehe hii ili kumpongeza Rais wa kuifanya nchi ipige hatua kubwa kiuchumi na kisiasa katika kipindi cha miaka 2 aliyoongoza.
Amemshukuru Hayati Magufuli kwa kuwaamini wanawake kwenye fursa nyingi za kisiasa pamoja na kumpa nafasi Rais Samia kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na 2020.
View attachment 2557746
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT), Mary ChatandaAmemshukuru Rais kwa kuhudhuria kongamano la Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), tendo linaloonesha kuwa siasa sio uadui. Pia, kukubali kuikwamua katiba mpya pamoja na kushiriki kwenye maridhiano ni mambo yanayoonesha uongozi mzuri wa Rais Samia.
Aidha, amesema UWT ipo kwenye hatua za mwisho za kuleta ripoti ya uchunguzi wa Ukatili wa kijinsia na watoto uliofanyika kwenye vituo vya polisi ili hatua kali zichukuliwe kwa wahusika. Pamoja na hilo, amesema mipango endelevu ya kukemea mapenzi ya jinsia moja (Ushoga) iwepo, sheria kali zitungwe kuwadhibu wahusika kwa kuwa ni kinyume cha utamaduni wa kitanzania.
“Hapa, Serikali ifanye marekebisho ya sheria hizi, na kuleta sheria kali kabisa Mhe. Rais, ikiwezekana hawa watu wakipatikana Wahasiwe, maana kuendelea kuwaacha hivihivi hawa, wataendelea kuliharibu taifa letu”
RAIS SAMIAAmesema wakati wanapewa Madaraka alibezwa sana. Jambo hili lilimpa ujasiri wa kupuuza maneno hayo na kumpa nguvu na ujasiri wa kuchapa kazi na kusonga mbele. Hadi sasa, hakuna mradi uliosimama kutekelezwa.
View attachment 2557773
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaAmewashukuru BAWACHA kwa kuandaa kongamano kubwa na zuri kwenye kilele cha Siku ya Mwanamke Duniani. Amevitaka vyama vingine vya siasa kuiga mfano huo, ikiwezekana waandae pia miaka ijayo na yeye atakubali kushirikiana nao.
Amewapongeza Simba na Yanga kwa kutumia vizuri fursa aliyowapa ya kununua kila goli kwa Milioni 5. Kwa hesabu alizonazo, Simba wamelamba milioni 35 siku ya jana baada ya kuishinda Horoya FC. Amesema aliona utani Mtandaoni akimpigia Msigwa kuwa amwambie refa amalize mpira kuwa pesa haipo, sio kweli. “Wekeni mpira kwenye wavu, pesa bado zipo”
Amewataka wanawake kushiriki kikamilifu kwenye kupiganja fursa mbalimbali pasipo kusubiria wasemewe na wanaume.
Kuhusu Utawala bora na Demokrasia, Rais samia ameendelea kusisitiza kuwa yupo tayari kubadili Katiba ya Nchi kama ambavyo watu wengi wanataka. “Sifa ya mwanamke ni kujiamini, nami kama mwanamke wa CCM najiamini”. Yupo tayari kujadiliana na watu wa vyama vingine ili mambo yaende sawa.