The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Watanzania tunapenda sherehe. Kila shughuli lazima ifanywe sherehe. Ujamaa umetuathiri sana.Yaani leo ilitakiwa iwe siku ya mjadala kitaifa, lakini jasiri haachi asili ametafuta upenyo ili afanye shughuli
Bila shaka na bawacha watakuwa wamejitokezaa . Mungu mbariki raisi wetu SAMIA atuongoze hivi hiviiii. AmenRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Kilele cha Miaka Miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) katika Uwanja wa Uhuru Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2023.
Cc........? Au basiAhsante kwa taarifa na inapendeza...
Kubalini yaishe Magu hatarudi tena huu ni wivu, mlimkubali akiwa makamu, ni haki yake kikatiba kuwa Rais.Uongozi wa mirathinunachangamoto zakem
Hajiamini kila akitimiza mwakaaanafatnya sherehe.
Hivi misiba ya ndugu zenu huwa mnasikitika miaka yote?Mimi huyu mama! Sikuwahi kumwelewa saaaana marehemu ila kumbe nlikosea siku kama ya jana alilala yule baba usingizi wa milele, mama akatangaza katika sauti ambayo unaona kabisa ameguswa! Ila mbona amekuwa tofauti? Sherehe utafikiri anasema yule mshenzi tushamkomesha?
Bado mnakula unga?!Muambieni ashushe bei ya unga.
Acha dharau wewe!Uongozi wa mirathinunachangamoto zakem
Hajiamini kila akitimiza mwakaaanafatnya sherehe.
Mnakesha kubeti na kuendesha bodaboda nani alime?Muambieni ashushe bei ya unga.
umempiga teke chura.Sasa ukimhasi shoga unakuwa umefanya nini?
Labda angesema wazibwe matakoni,, maana ukimuhasi shoga ni sawa na umempiga chura teke😂😂Sasa ukimhasi shoga unakuwa umefanya nini?