Wewe umefata yako ya wenzako yaache kama ulivyoyakuta. Umeyaleta hapa ili iweje?Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5
Ndio kwaajir ya dharura na uchepukaji😂😂😂😂😂aisee niache mimi kha, kwani wanandoa wanatumia condom?
HahhahahahaSipendi watoto watundu watundu, kuna siku nipo hosp. Kuna mtoto kama miaka 6 hivi akaja kavamia Mkoba anataka kuufungua nikamshika mkono kwa upole, nikauminya ule mkono huku namwongelesha nikimkazia macho, “Unaitwa nani? Ninachapaaaaa! Kakae pale utulie, nilimminya kweli kweli na hakurudi tena kwangu.
Familia ya futuhi 😁Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5
Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambiwa siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito.
Ni ugenini mkuu unapaswa kuficha uhalisia wako.
Imagine linakuja unazungumza linakupiga kofi la mdomo kwa kukushitukiza na linaambiwa " We Ivan jamani mbona hivyo" linaanza kulia kisa limeambiwa hivyo 😟
Safi kabisaaHuwezi kukurupuka kuchukua hatua kwa mtoto au familia isiyokuhusu!
Nilifanya hivyo sababu nawajua vyema na wananijua vyema kifupi nawamudu!!
Hata hivyo kabla ya kuchukua hatua nilishauliza mbona analialia sana? Wakajibu anadeka, nikawaambia wazi ngoja nimnyooshe kidogo apunguze ujinga!!
Alipokosea mtoto kujichanganya kwangu na kilio bila kujua plan iliyopo!!
Bi Faiza kama Faiza....nilikuwa natafuta mtu wa kutofautiana na wengi hatimaye nimempata...japo hii story ya Chizi Maarifa 98% ni ya kutunga ila hata kama Ina ukweli ndani yake sio mbaya Sana maana wengi tuko na fekero...shida itakuja pale ambapo ni ya kweli na dada mtu au shemeji yupo pia Jf...haitapendeza kwa kweli maana chizi kama chizi hata kama hakuwa na ubavu wakuwakemea watoto kwa yale waliyokuwa wanayafanya basi haya makasiriko yako aliyoyaleta hapa alitakiwa ayawakilishe kwa dada yake na hata shemeji ikiwezekana...ila bado naamini hii story ni ya kutunga 98% japo Kuna familia Zina malezi ya ajabu ajabu Sana kwa watoto wao.Wewe umefata yako ya wenzako yaache kama ulivyoyakuta. Umeyaleta hapa ili iweje?
Kama makosa ni ya mama'ko ndio hajamfunda dada'ko vyema. Unamtutukanisha mzazi wako tu. Mlezi ni mama, ndio maana hata wewe hukullelewa vyema unakuja kuyaanika mambo ya kifamilia hadharani. "Like sister like brother".
Kwenye iphone yangu huo ufalme haupoWaachane watoto wadogo ufalme wa mbinguni ni wa kwao.
Sijaona tatizo la mtoto ni lipi hapo na kauliza swali valid kabisa. Si unamjibu tu ulichokifata kwao? Tatizo lamtptp liko wapi hapo? na watoto wote duniani kuongea kwao ni kwa kuuliza na kuulizwa.Bi Faiza kama Faiza....nilikuwa natafuta mtu wa kutofautiana na wengi hatimaye nimempata...japo hii story ya Chizi Maarifa 98% ni ya kutunga ila hata kama Ina ukweli ndani yake sio mbaya Sana maana wengi tuko na fekero...shida itakuja pale ambapo ni ya kweli na dada
Duuu haya bi Faiza...ila kwa kweli Mimi mtoto wa miaka minne aniulize nimeenda kufuata Nini kwao ....au mtoto wangu amuulize mgeni wangu amefuata nini kwao..???.duuu hapana aisee sitajisikia vzuri kabisa...yaani mtoto hata salamu hatoi...salamu ni swali kuwa umeenda fuata nini kwao??? Hii safari kweli itakuwa bado ni ndefu Sana kwangu...Sijaona tatizo la mtoto ni lipi hapo na kauliza swali valid kabisa. Si unamjibu tu ulichokifata kwao? Tatizo lamtptp liko wapi hapo? na watoto wote duniani kuongea kwao ni kwa kuuliza na kuulizwa.
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Kwani anakosa lipi? Kwanini usimfahamishe mapema kuwa kuna mgeni anakuja kwa sababu hii na hii. Sio tu akija mgeni, mtoto unatakiwa uwe na mawasiliano nae, hata unapotoka nyumbani unatakiwa umuage unakwenda wapi na kufanya nini.Duuu haya bi Faiza...ila kwa kweli Mimi mtoto wa miaka minne aniulize nimeenda kufuata Nini kwao ....au mtoto wangu amuulize mgeni wangu amefuata nini kwao..???.duuu hapana aisee sitajisikia vzuri kabisa...yaani mtoto hata salamu hatoi...salamu ni swali kuwa umeenda fuata nini kwao??? Hii safari kweli itakuwa bado ni ndefu Sana kwangu...