Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Nakumbuka mwaka 2008, tulienda kwa mzee, alikuwa na tutoto tuwili kakike na kiume vina tofauti ya mwaka mmoja tu.
Ilikuwa taabu. Vinapanda Hadi mabegani, chakula vinafunua funua, vinabeba kurudisha jikoni. Ilikuwa taabu na wazazi hawakatazi.

Wanaona sawa kabisa
 
Huwezi kukurupuka kuchukua hatua kwa mtoto au familia isiyokuhusu!

Nilifanya hivyo sababu nawajua vyema na wananijua vyema kifupi nawamudu!!

Hata hivyo kabla ya kuchukua hatua nilishauliza mbona analialia sana? Wakajibu anadeka, nikawaambia wazi ngoja nimnyooshe kidogo apunguze ujinga!!

Alipokosea mtoto kujichanganya kwangu na kilio bila kujua plan iliyopo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Sipendi watoto watundu watundu, kuna siku nipo hosp. Kuna mtoto kama miaka 6 hivi akaja kavamia Mkoba anataka kuufungua nikamshika mkono kwa upole, nikauminya ule mkono huku namwongelesha nikimkazia macho, “Unaitwa nani? Ninachapaaaaa! Kakae pale utulie, nilimminya kweli kweli na hakurudi tena kwangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo kwenye chupi hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sitasahau nilipigwa na charger kichwani fasta fasta kama mara 3 hivi pa paa paaa nakuja shtuka kameinua mkono kanataka weka chuma cha nne iliuma vibaya mno ila sikuwa na cha kufanya ni mtoto wa rafiki yangu aliniomba wafikie kwangu kuna mkoa walikuwa wanaenda ah.. kile kitoto ni cha kike ila mishemishe zake acheni tu
 
Tabia ya kuwaachia simu watoto nimekoma.. kuna kamoja kaliniomba eti anko naomba nicheze gem.. nikakawekea ...baadae kuja kushtuka nakuta kameenda kwenye app ya betpawa..kamebet bet upuuzi tu stake yote ikaishia palepale ...yaani dk chache tu 10k yangu chalii.....eti kameweka mci-ars correct score (9-9)
 
MIMI HUWA NAKAMATA STICK ZINAFUATA, TENA MWAMBIA KABISA NAANZA NA TATU UKIRUDIA 4, 5, 6,7 NA KUENDELEA ZITAFUATA
 
Sitasahau nilipigwa na charger kichwani fasta fasta km mara 3 hv pa paa paaa nakuja shtuka kameinua mkono kanataka weka chuma cha nne iliuma vbaya mno ila sikuwa na cha kufanya ni mtoto wa rafiki yng aliniomba wafikie kwangu kuna mkoa walikuwa wanaenda ah..kile kitoto ni cha kike ila mishemishe zake acheni tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Nimekumbuka mtoto wa sister alikuwa ana miaka ya kutembea na baby walker yaan alikuwa atulii na kapita huku katokea huku na sister alikuwa hamchapi basi kerooo

Sasa siku hiyo kaletwa nyumbani tulikuwa na paka mbabe hatari jike tulimpachika jina mama rashidi

Dogo akaanza vurugu zake kupita huku kashika paka mkia na kuuvuta basi paka aka mama rashidi aliubana mkono wake kwa kucha za miguu na mikono akampa mn'gato huku kaubana mkono ndo nashtuka dogo anapiga yowe huku anatuangalia wajomba zake tutoe msaada

Paka Mama rashdi alivyofanya uhalifu akakakimbia spidi kuondoka eneo la tukio yaan hapo dogo utundu ukamuisha akalia sana mpaka akanyamaza hakuna aliembembeleza

Sasa baadae nimejisahau naona dogo kapiga yowe zito nashtuka kuna nini kumbe kamuona paka anarudi zake ndani
 
Sitasahau nilipigwa na charger kichwani fasta fasta kama mara 3 hivi pa paa paaa nakuja shtuka kameinua mkono kanataka weka chuma cha nne iliuma vibaya mno ila sikuwa na cha kufanya ni mtoto wa rafiki yangu aliniomba wafikie kwangu kuna mkoa walikuwa wanaenda ah.. kile kitoto ni cha kike ila mishemishe zake acheni tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana mkuu
 
Sipendi watoto watundu watundu, kuna siku nipo hosp. Kuna mtoto kama miaka 6 hivi akaja kavamia Mkoba anataka kuufungua nikamshika mkono kwa upole, nikauminya ule mkono huku namwongelesha nikimkazia macho, “Unaitwa nani? Ninachapaaaaa! Kakae pale utulie, nilimminya kweli kweli na hakurudi tena kwangu.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣aisee nina hako katabia pia huwa nadeal nao ki silencer na huwa hawasogei tena na hapo ndio utajua watoto wana akili sana ila huwa wanakujaribu kwanza kutest mitambo wakiona unawachekea wanaongeza utundu
 
Back
Top Bottom