Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

mtoto mwenye vibe lisilo na ukosefu wa adabu anafurahisha jamani.
yaani utakuta kila mtu anampenda,kimbembe ni hawa waliozaliwa na wadada sio kina mama.

ila tuache ukweli uwe ukweli,hawa watoto wanaoshinda shule za school bus wengi ni vipele,mimi nakutana nao hata wakija eneo langu la kazi na wazazi wao,yaani ni vichomi.unaweza mzima konzi la mwezi ukapata msala.

na kingine katika familia,mlezi mkuu ni mama,chunguza familia ambazo mama wa familia hacheki na ujinga utakubaliana na mimi.
changamoto ni wadada nao siku hizi wako busy na kazi,watoto wanashinda shuleni,mkija kugongana nao nyinyi watu baki,hakuna rangi mtaacha kuziona.
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
sisi tuna watoto wadog wadog zaid ya hao m8aka 2, wengine 4 wengine 5 8 ni amri moja.asubuj wakiaamka jiko lipo maji yalishatengwa wanachota wanaenda nayo bafu wanapoza wanaoga. wakileta za kuleta wanakula makofi heavy.
hakuna hizo za kushika simu ya mtu wala kujitia kulia lia wakat wa kula.ni makofi na bakora
adabu imesimamana nyumba ina watoto zaid ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sisi tuna watoto wadog wadog zaid ya hao m8aka 2, wengine 4 wengine 5 8 ni amri moja.asubuj wakiaamka jiko lipo maji yalishatengwa wanachota wanaenda nayo bafu wanapoza wanaoga. wakileta za kuleta wanakula makofi heavy.
hakuna hizo za kushika simu ya mtu wala kujitia kulia lia wakat wa kula.ni makofi na bakora
adabu imesimamana nyumba ina watoto zaid ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi kabisa.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni ugenini mkuu unapaswa kuficha uhalisia wako.
Imagine linakuja unazungumza linakupiga kofi la mdomo kwa kukushitukiza na linaambiwa " We Ivan jamani mbona hivyo" linaanza kulia kisa limeambiwa hivyo [emoji45]
Kofi la mdomo [emoji23][emoji23]
 
Mfinye katikati ya mgongo huku umemkazia macho, atalia hawezi kuonyesha alipofinywa maana mikono yake mifupi mwisho unawaambia kaumwa na sungusungu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Daaah[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah mkuu nimecheka sana eti nikamwachia konzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kwa kweli, huwa siaangalii ni mtoto wa nani, natoa kifinyo havi, kile cha Kung'ang'ania kama siafu. Na kama akijifanya ni mgumu kuomba msamaha atashangaa naondoka na kipande cha ngozi. Huwa sipigi kwa fimbo mimi...!!!
 
Hiyo paragraph ya mwisho umenimaliza maarifa😂😂😂😂😂
 
"Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Da! huu uzi unachekesha na kuelimisha
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wakwangu mimi nanyooshaaga tena ni miaka 4 na 6 staki mwanangu awe hivyo kabisa last year nikawapeleka kwa bibi yao likizo hee wanerudi wanasema hawataki kura matembele basiii nikawaambia mwezi huu si nunui nyama wala samaki ni matembele michicha na kabichi mwezi mzima yalinyooka sasa yananidhamu kila msosi twendeee
 
Back
Top Bottom