Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Mume wake alitakiwa kushiriki zaidi katika zoezi zima la kuwa control hao watoto vizuri zaidi bila ya kuwatisha.

Ama ameruhusu hali iwe hivyo kwa muda mrwfu kwa namnq moja au nyingine, qu hujamuelezea vizuri.

Wqtoto wqnafundishwa na wanqfundiahikq tqngu sikunya kwanzq wanapozaliwa kwamba shwria za nyumbq hii ni hizi na hizi.

Kwa watogo walioamua tu kuharibikiwq, Baba anaweza kuuliza, "Mbona maadili yote nimefundiaha watoto wangu, tqngu waklivyozaliwa, lakini watoto wanaharibikiwa?"

Lakini, 9 times out of 10, tatizo ni wazazi kutowaasa, kutowaumba, kutowajali, kutowakanya watoto, tangu wakiwa wadogo.

Huo mfano wako wa simu zinavyohqribiwq na watoto tu, kama umwutoa sawia, unaoneshq wqzazi hawana control. Watoto wanalelewa kama mayai wanaogopwa wakilia.

Mtoto anatakiwa kufundishwa tangu mdogo kwamba akilia yeye anasumbua wengine.

Mwisho wa kulia kitoto akiachiwq saana ni miaka minne.

Akifikisha miaka mitano akilia unaanza kumuambia "ungezaliwa Afghanistan ungekuwa unafanya kazi mashamba ya poppy tayari usawa huu, wewe ushakuwa mkubwa sasa hutakiwi kulia"
Labda Kuna mmoja alikuwa coerced kuingia ndoani!? Lack of interest.. au unakuta majibizano ni mengi mmoja wao anagiveup.. vyovyote itakavyokuwa sawa..

Tatizo tunaoana na kuanzisha familia kwa ajili yetu.. na sio watoto na future yao.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Huo wa dadaako sio ulezi/uleaji bali ni 'ufugaji!'

Hata ukifuga kuku utahakikisha wanalo banda, utawapa chakula pia utawapa chanjo na madawa ili wawe na afya.

Faida ya kufuga kuku ni utakula nyama na mayai... na faida ya 'kufuga watoto' ni majuto makubwa huko mbeleni.

Samahani labda mfano sio mzuri ila sikuwa na mfano mwingine!
 
Mume wake alitakiwa kushiriki zaidi katika zoezi zima la kuwa control hao watoto vizuri zaidi bila ya kuwatisha.

Ama ameruhusu hali iwe hivyo kwa muda mrwfu kwa namnq moja au nyingine, qu hujamuelezea vizuri.

Wqtoto wqnafundishwa na wanqfundiahikq tqngu sikunya kwanzq wanapozaliwa kwamba shwria za nyumbq hii ni hizi na hizi.

Kwa watogo walioamua tu kuharibikiwq, Baba anaweza kuuliza, "Mbona maadili yote nimefundiaha watoto wangu, tqngu waklivyozaliwa, lakini watoto wanaharibikiwa?"

Lakini, 9 times out of 10, tatizo ni wazazi kutowaasa, kutowaumba, kutowajali, kutowakanya watoto, tangu wakiwa wadogo.

Huo mfano wako wa simu zinavyohqribiwq na watoto tu, kama umwutoa sawia, unaoneshq wqzazi hawana control. Watoto wanalelewa kama mayai wanaogopwa wakilia.

Mtoto anatakiwa kufundishwa tangu mdogo kwamba akilia yeye anasumbua wengine.

Mwisho wa kulia kitoto akiachiwq saana ni miaka minne.

Akifikisha miaka mitano akilia unaanza kumuambia "ungezaliwa Afghanistan ungekuwa unafanya kazi mashamba ya poppy tayari usawa huu, wewe ushakuwa mkubwa sasa hutakiwi kulia"
Mkuu Kiranga hii komenti umeandika huku umeshikilia k-vant?
 
Kuna matoto mawili ya anko aliyazaa fasta fasta,kipind yakiwa madogo yalinifanya nisiende kwa anko,ukienda ukiwa getini linakuzuia kuingia ,ukilazimisha linaanza kukuitia mwizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.

All I got from this post ni dharau na kujiona Upo kwenye class tofauti sana na Dada yako kiasi cha kupaita Jehanum!

Ujinga na Ulimbukeni
 
Kwangu Mimi sitaki mchezo,watoto hawawezi kuleta ujinga mbele yangu hata siku za mapumziko huwa hawana Raha sometimes,naweza kuwafurahisha siku moja moja Hadi wananishangaa,lakin uso wangu muda wore unaamrisha Jambo hata Kama kuna mtoto alikuwa analia akihisi uwepo wangu tu atanyamaza tu.simu yangu hii hawez shika mtoto labda ya mama yao Napo nikiwepo Mimi marufuku Sasa wenzangu mnagombania remote na watoto! My last born ana 3years lakin Hadi push up anapiga dadeeki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Pushap dadeki [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Wanasema watoto ni malaika ila wengine ..toka wanazaliwa unajikuta unajiuliza mara mia mia huo ualaika ukoje samtaim
 
Not at all, nimeshatembelea watu wa hali ya chini, sikutaman hata kula chakula, ila hata Mtoto wangu hakujua how I felt inside!

I am not like that, tafuta wenzako!
Usiforce mfanane bro...kila mtu anajinsi ya kureact na situation anayokutana nayo...namuelewa sana jamaa coz nilishakutana na hali kama hiyo ndo maana mie kwa watu ni ngumu sana yaani mara chache mno ikibidi hii ninkuepuka kukwazika na vitu anaweza avoid.
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Pole sana,ungemwita huyo junia unajifanya unampa simu halafu ungekafisha vizuri kabisa,wala kasingerudia kukufuata fuata.......

Malezi ya kijinga kabisa hayo
 
Nilikuwa safari nikapita kwa kaka mdogo kumsabahi, nilimkuta na familia yake yote yaan yeye, mkewe na mwanae.

Huyo mtoto ni anafujo utasema mji mzima umehamia humo ndani, kulia lia usipime!!

Akajipendekeza anga zangu, anataka maji huko akaja kulilia kwangu, nikamnyazisha kwa ukali! Nikamuuliza maji yako wapi? Huwezi kuyafikia? Kuna ulazima gani kulia?

Nikatoka nje, nikarudi na bakora! Alichezea viboko mbele ya baba na mama yake! Baada ya hapo nyumba ikawa kimyaaa!

Na hata nilipoondoka naambiwa kabadilika sana kulia hovyo hovyo ameacha na ana akili za kujiongeza sasa.
Wazazi ndiyo wajinga,wanalea kijinga jinga tu
 
Not at all, nimeshatembelea watu wa hali ya chini, sikutaman hata kula chakula, ila hata Mtoto wangu hakujua how I felt inside!

I am not like that, tafuta wenzako!
Sidhani kama nimekuelewa!
I was just pointing out kwamba tunaweza tukaona kitu kimoja ila tukawa na tafsiri tofauti. Ni nature ya mwanadamu.

Mtoa mada yuko sahihi kabisa hajapenda namna dada mtu anavyomlea mwanae. Na wengi wameshare his struggle.. maana imekuwa ndio usasa wa leo... Malezi yasiyokuwa na tija.

Ila lazima tukubaliane kutofautiana. Narudia "we all see the same but differ in interpretation". Na hiyo difference ndio utashi wenyewe.. uhuru wenyewe.

Mie na vijana wangu... Na ninawatreat kama dunia itakavyowatreat. Ukikosea dunia haitakaa kimya.. itakuadhibu. Hawa watoto sio mapambo.. I was once a kid in someone's house.. leo am a father in my home..

Kesho my kids will be fathers and grand fathers. Hizi mbio za vijiti laazima tuwekane sawa kuzikabili.. na uwanja huu wa dunia its not a home for the weak of heart.. lazima watoto wajue na waheshime the balance out there..

Curious enough to try.. and smart enough to be self aware.

Kwa picha iliyo hapo kwa mtoa mada kama kuna watu walikuwa hawajui na wanafanya hayo anayoyafanya sister na mumewe... Nao they know. Purpose saved.


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom