Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Mi pia kipindi nmejifungua mama mkwe wangu alikuja na mjukuu wake wa 5yrs jamani ni mjeuri' na kulilia kila kitu anachokiona kitamj kwenye fridge[emoji23]' alimkuta dada wangu wa kazi yule mtoto wa 5yrs alikua anamwonea jamani esp. Kipindi nipo hospitali adi dada wangu akakosa amani' yani ni anaweza pita jikoni akamkuta dada akampiga kibao na kumsemea uongo au akimkuta dada anakunywa juice anaimwaga' nakumbuka kuna siku niliwapa korosho wale pamoja akazitemea mate ili dada asile uuhw bibi anamtetea mjukuu wake yanni nilichoka nikatamani siku ziende mbele.
Mgeni hawezi kusababisha dada wa kazi aondoke!
Yani huyu mtoto ningehakikisha hii tabia inakoma mara moja nyumbani kwangu, na kama huyo mama mkwe anapenda tabia za mjukuu wake wataendelea na utaratibu wao wakiwa kwao sio kwangu.
 
Kumbe ndio maana ilibidi ujiite chizi maana sio kwa ukichaa anaofanya sister yako
 
Kwangu Mimi sitaki mchezo,watoto hawawezi kuleta ujinga mbele yangu hata siku za mapumziko huwa hawana Raha sometimes,naweza kuwafurahisha siku moja moja Hadi wananishangaa,lakin uso wangu muda wore unaamrisha Jambo hata Kama kuna mtoto alikuwa analia akihisi uwepo wangu tu atanyamaza tu.simu yangu hii hawez shika mtoto labda ya mama yao Napo nikiwepo Mimi marufuku Sasa wenzangu mnagombania remote na watoto! My last born ana 3years lakin Hadi push up anapiga dadeeki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaaa ni noma, miaka mitatu unampigisha push up?? Lazima ajiongeze kwakweli

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Hahahahahahah jamaa umenichekesha sana, ila kuna familia zero brain. Huwezi kumlea mtoto kijinga namna hiyo then awe successful
 
mimi huwa wanaambiwa "unaleta mchezo tutakupeleka kwa mjomba wako au kwa Bamdogo wako"
hapo wanajua nidhamu lazima iwepo
sasa nina wakwangu nahitaji nao wakue kiume ingawa kuna wa kike
 
Huwezi kukurupuka kuchukua hatua kwa mtoto au familia isiyokuhusu!

Nilifanya hivyo sababu nawajua vyema na wananijua vyema kifupi nawamudu!!

Hata hivyo kabla ya kuchukua hatua nilishauliza mbona analialia sana? Wakajibu anadeka, nikawaambia wazi ngoja nimnyooshe kidogo apunguze ujinga!!

Alipokosea mtoto kujichanganya kwangu na kilio bila kujua plan iliyopo!!
Ulifanya vizuri sana maana ya Mungu mengi mwisho wa siku huyo mtoto anaweza kuwa mzigo kwako au kwa mtu mwingine malezi bora ni muhimu kwa watoto wetu maana hatujui kesho yetu
 
Kwangu Mimi sitaki mchezo,watoto hawawezi kuleta ujinga mbele yangu hata siku za mapumziko huwa hawana Raha sometimes,naweza kuwafurahisha siku moja moja Hadi wananishangaa,lakin uso wangu muda wore unaamrisha Jambo hata Kama kuna mtoto alikuwa analia akihisi uwepo wangu tu atanyamaza tu.simu yangu hii hawez shika mtoto labda ya mama yao Napo nikiwepo Mimi marufuku Sasa wenzangu mnagombania remote na watoto! My last born ana 3years lakin Hadi push up anapiga dadeeki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi simu wanashika lakini si kwa mapenzi yao ni kwa mapenzi yangu. Na hawawezi kuichezea bali huitumia vile nipendavyo.
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Hii ni hadith ya kweli.zipo familia za hiv,lkin wemgi wao ni wale waliochelewa kupta watoto.Yaani hapo kuna mabomu yanaandaliwa ya kuja kuilipua hiyo familia siku za uson
 
Hapo hapo sebuleni.
Mume wake alitakiwa kushiriki zaidi katika zoezi zima la kuwa control hao watoto vizuri zaidi bila ya kuwatisha.

Ama ameruhusu hali iwe hivyo kwa muda mrwfu kwa namnq moja au nyingine, qu hujamuelezea vizuri.

Wqtoto wqnafundishwa na wanqfundiahikq tqngu sikunya kwanzq wanapozaliwa kwamba shwria za nyumbq hii ni hizi na hizi.

Kwa watogo walioamua tu kuharibikiwq, Baba anaweza kuuliza, "Mbona maadili yote nimefundiaha watoto wangu, tqngu waklivyozaliwa, lakini watoto wanaharibikiwa?"

Lakini, 9 times out of 10, tatizo ni wazazi kutowaasa, kutowaumba, kutowajali, kutowakanya watoto, tangu wakiwa wadogo.

Huo mfano wako wa simu zinavyohqribiwq na watoto tu, kama umwutoa sawia, unaoneshq wqzazi hawana control. Watoto wanalelewa kama mayai wanaogopwa wakilia.

Mtoto anatakiwa kufundishwa tangu mdogo kwamba akilia yeye anasumbua wengine.

Mwisho wa kulia kitoto akiachiwq saana ni miaka minne.

Akifikisha miaka mitano akilia unaanza kumuambia "ungezaliwa Afghanistan ungekuwa unafanya kazi mashamba ya poppy tayari usawa huu, wewe ushakuwa mkubwa sasa hutakiwi kulia"
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
 
Back
Top Bottom