Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Hongera sana kwa kulea watoto vizuri uncle,

Kwa kweli mimi nime experience maisha ya kijesh jeshi Nilikuwa na bondwa vilivyo, ukisikia umeitwa chumban kwa wazazi ujue ni kipigo, bakora zimeninyoosha sana sitazisahau
 
Kuna watu wanajua kulea acha kabisa, kuna bro mmoja aliwahi kunialika kwake, mtoto wake wa kiume amemfundisha adabu sana, ana miaka minne hivi. Akija mgeni wa kiume kwanza anamsalimia zile salamu zetu (Maustadh) kisha anakuchum mkono wa kulia ule aliokupa kwa ajili ya salamu na yeye anakupa wake umchum, kisha anakuuliza jina lako nani na yeye anakwambia jina lake kisha anaenda zake, hakai mbele ya mgeni.

Watu wanafikiri kudekeza ndiyo kulea bali ni kuharibu. Kuna umri mtoto anahitaji mambo mawili hasa umri huo, nayo ni mapenzi na kipigo cha wastani.
 
Kaka lazima ulipekua pekua ma volume ya sociology au anthropology.
🙂
Ukiona mtoto anaiba na hakemewi.. au anaharibu vitu vya nyumbani na hakuna majibu.. basi ujue unatengeneza mtu muharibifu hata akishakua..

Akiingia Kazini atakuwa muharibifu asiyejali, Akiwa na mahusiano atakuwa muharibifu akiwa na watoto atakuwa muharibifu.

Mtoto kupenda daftari lake, kupenda anachokiandika, kupenda kufanya kila kitu chake vizuri, kwa ukamilifu na kwa usafi.. itamsaidia kuwa mtu makini sana akikua..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mitoto ya jamaa yangu ilikua umefika fomfoo haijawahi kupanda daladala. Sasa Kuna siku hawakua na dereva na mama yao nae hajui kuendesha. Basi mama yao aliwapandisha kwenye DCM la Kariakoo Mbezi halafu mkonge ulikua umekubali. Yaani yamesimama kwenye daladala Kama kuku wa nyama ukimtoa bandani
 
Mi pia kipindi nmejifungua mama mkwe wangu alikuja na mjukuu wake wa 5yrs jamani ni mjeuri' na kulilia kila kitu anachokiona kitamj kwenye fridge[emoji23]' alimkuta dada wangu wa kazi yule mtoto wa 5yrs alikua anamwonea jamani esp. Kipindi nipo hospitali adi dada wangu akakosa amani' yani ni anaweza pita jikoni akamkuta dada akampiga kibao na kumsemea uongo au akimkuta dada anakunywa juice anaimwaga' nakumbuka kuna siku niliwapa korosho wale pamoja akazitemea mate ili dada asile uuhw bibi anamtetea mjukuu wake yanni nilichoka nikatamani siku ziende mbele.
Hapo kwenye uongo ndio kwenyewe na inalelewa hivyo na bibi zao.

Lakini yakike yanakuwa si masumbufu sana kama yakiume haya yanaweza kukurukia hata machoni
 
Mfinye katikati ya mgongo huku umemkazia macho, atalia hawezi kuonyesha alipofinywa maana mikono yake mifupi mwisho unawaambia kaumwa na sungusungu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Hahahahhahaaaa,, hatari sana
 
Mwisho kumbembeleza mtoto ni miaka 2, ikizidi sana na nusu. Nje ya hapo tusilaumiane. Mtoto aajifunze kula peke yake haraka iwezekanavyo.
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.
Sio Siri Mkuu ....nilitafsiri kichwa ckha habari😆😆😆 Nikajua ulimtembelea Sr. ...Mtawa ,nikawa na shauku ya kujua huo ushetani wa Sister! Samahani!
 
Anafanyajeee!?? Hahahaha duh! Basi tu..

Huenda unasura fulani hivi ya upole... Jifunze telecommunication... Kuna uso au jicho huwa nilikilitupa mita 49 dogo anajua hii hapana.. na kuna lile la usifanye kitu bila kuuliza na la approval...

Nitaanza kuendesha warsha juu ya hili... Its a lost art.
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
Dah nimecheka sana
 
Halafu mitoto dizaini hii ndio huwa inatiana yenyewe kwa yenyewe na ku.firana..si mnakumbuka story ya yule mdau humu JF mwenye dogo wa kiume aliyekua analiwa kipira? Chanzo ni malezi ya dizaini hii.
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambia siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito

Sister ana watoto wawili mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndo Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe,wakitaka tukacheze mpira,wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume.wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena.nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa.wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa.sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu.utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nlikuwa nmeshachoka sana kukaa pale.tunakula mezani yule jr akaanza kulia.wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma.nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu.ikabidi achukuliwe akalazwe.na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe.huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu.kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life.Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. mmfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena, na hata home simwaliki kuja na watoto wake. acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake.sitaki kabisa.

Jamaa yangu unakwama wapi? Haaahaaaa...sister ana watoto wa kishua kama watoto wengine wa Mikocheni
 
Nilikuwa safari nikapita kwa kaka mdogo kumsabahi, nilimkuta na familia yake yote yaan yeye, mkewe na mwanae.

Huyo mtoto ni anafujo utasema mji mzima umehamia humo ndani, kulia lia usipime!!

Akajipendekeza anga zangu, anataka maji huko akaja kulilia kwangu, nikamnyazisha kwa ukali! Nikamuuliza maji yako wapi? Huwezi kuyafikia? Kuna ulazima gani kulia?

Nikatoka nje, nikarudi na bakora! Alichezea viboko mbele ya baba na mama yake! Baada ya hapo nyumba ikawa kimyaaa!

Na hata nilipoondoka naambiwa kabadilika sana kulia hovyo hovyo ameacha na ana akili za kujiongeza sasa.

We jamaa utakua mkax kinoma[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom