Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Mi pia kipindi nmejifungua mama mkwe wangu alikuja na mjukuu wake wa 5yrs jamani ni mjeuri' na kulilia kila kitu anachokiona kitamj kwenye fridge[emoji23]' alimkuta dada wangu wa kazi yule mtoto wa 5yrs alikua anamwonea jamani esp. Kipindi nipo hospitali adi dada wangu akakosa amani' yani ni anaweza pita jikoni akamkuta dada akampiga kibao na kumsemea uongo au akimkuta dada anakunywa juice anaimwaga' nakumbuka kuna siku niliwapa korosho wale pamoja akazitemea mate ili dada asile uuhw bibi anamtetea mjukuu wake yanni nilichoka nikatamani siku ziende mbele.
Ahuahuahuahua! Umenikumbusha jambo Sir, nilienda mahala kwa Shangazi yangu ambaye kidogo umri umemuenda anaishi mjukuu wake mmoja aliyepatikana baada ya toto lake kukandwa huko na halijaolewa.

Jinsi anavyomlea unaweza kuanza kulia, ni mgomvi plus msumbufu anapomuona babu na bibi yake wapo around anaweza kumwaga maji makusudi chini, akabeba chakula cha wageni chote, akachana biblia, akalilia simu na hapa ndo komesha analia kama kaumwa dondola.

Anafanya vimbwanga vyote hivi akiambiwa acha na bibi au babu yake basi anazidi kumbe ndivyo wanavyomlea na akipiga watoto wenzake anarudishiwa makonde na ngumi heavy asipokuwepo bibi au babu yake halii ila wakiwepo hicho kilio ni cha siku nzima.

Hivyo mkuu hasira ulizokuwa ukizipata mimi nilizipata mara dufu na unakuwa huna la kufanya maana anadekezwa na kila mtu hata yai lina nafuu unajaa hasira ila huwezi kufanya kitu.
 
Huyu bibi anamfundisha mtoto uchawi, fuatilieni vizuri. Hako katoto katakuwa na mapepo, katakuwa kachawi.

Mi pia kipindi nmejifungua mama mkwe wangu alikuja na mjukuu wake wa 5yrs jamani ni mjeuri' na kulilia kila kitu anachokiona kitamj kwenye fridge[emoji23]' alimkuta dada wangu wa kazi yule mtoto wa 5yrs alikua anamwonea jamani esp. Kipindi nipo hospitali adi dada wangu akakosa amani' yani ni anaweza pita jikoni akamkuta dada akampiga kibao na kumsemea uongo au akimkuta dada anakunywa juice anaimwaga' nakumbuka kuna siku niliwapa korosho wale pamoja akazitemea mate ili dada asile uuhw bibi anamtetea mjukuu wake yanni nilichoka nikatamani siku ziende mbele
 
😂😂😂
Si kwa ulezi huo Jamani..wallah Mimi uvumilivu ungenishinda..khaa!!..
Namuhurumia Dada wa kazi.
 
Kulea watoto kidhungu wakati wewe umelelewa mwaneromango ndiyo faida yake hii!!

Toto linamuuliza Mgeni... are u eating here?? Are u sleeping here....' but all rooms are occupied in the main house..so what would u do?
Why u come with bodaboda .? U don't have a car?

I dont like ur shoes and your socks are kind of smelling fish fish ...or something!!

Wakati huo wazazi wake wanaliambia wee Junior mwache ankoo...!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] unacheka...waleeni watoto wenu kwa akili la sivyo mtatutengenezea taifa la ajabu sana
Mungu Atusaidie.. Hawa wanaoamini lazima wapewe..wakitaka.. mmh! Mbona Tutajuta uzeeni
 
Kuna mzee naheshimiana nae kuna siku aliniambia nimsaidie kuwapeleka na kuwarudisha watoto zake wadogo wawili na dada wa kazi Mbweni kuna sherehe Kwa dada yake. Dogo wa miaka 6 alikuwa msumbufu mara akae mbele, awashe redio, apite katikati ya siti ya abiria na dereva kwenda nyuma. Mitaa ya Mbezi Tangi Bovu kulikuwa na foleni kumbe kabonyeza button ya reserve tank na hilo tank halina kitu.

Gari ikawa inamiss kama inazima baada ya hatua, mara akaanza umeharibu gari ya Dady na vurugu kibao. Ikabidi nipaki pembeni nifungue bonet nichek nini tatizo nipo mbele mara mtoto kafungua mlango wa kulia mtu wa daladala akaukosa na kuanza kutukana. Ikabidi niende fasta alipo nikakaminya kakatoa macho na kukaambia hapo bado adhabu yako. Dogo tangu hapo akawa mpole na siti yake ikawa ni nyuma kwa utulivu wa hali ya juu.

Dada yao wa kazi akaniambia huyu hasikii si Kwa mama wala Baba yake, hata dereva wa shuleni kwao analeta kesi
 
Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa?

Kuna kitu nimeelewa kumbe ndio maana Mama ilikuwa wakija wageni alikuwa anasema twende tukacheze nje, kuna ile kadhia labda mtoto ni mchafu kumdandia dandia mgeni na kumchafua, labda ametoka kula ana shombo atamtia kinyaa mgeni, kuna ile kuongea ujinga mathalani mtoto kumwambia mgeni "leo hauli kwetu"....vitu kama hivyo...ila sisi tulichapwa sana ile tabia ya kumwomba hela mgeni...na hiyo ilifanya mama asiruhusu kabisa kuwasogelea wageni...
 
Yani kipindi nipo hospital mashtaka nilikua naletewa hukohuko dada kapiga flan' siku moja nikawambia mbona humumleti aje kunisalimia' siku inayofuata wakamleta dada amenywea nikamwita nikamuuliza upo sawa akaniambia ndio ila mm nilimsoma nikajua hana furaha tena' na kipindi hawajaja nilipomwambia tu wanakuja qlifurahi kweli ili apate company maana mm nilikua naenda kazn na alikua bado mgenimgeni' niliporud nyumbn nilikaa nae kdg nikaona mtoto wa watu asipate shida nikamrudisha nikawambia wanitafutie wao bs akaja dada mwingine' mqanzo dogo alikua anamwoneaonea nikamwambia akikukosea mchape kidogo atakuheshimu' basi yule dada akawa serious dogo akamwogopa' looh ila cha moto nilikiona.

Kuna wakati unakuta nmekesha na mtt ss kumekucha nasema ngoja nipumzike anakuja kunigongea nikamwekee cd bs naamka naenda kumwekea' baada ya muda m ndo nmepata kausingiz anakuna tena kugonga cd imesisha katoe' eeeish. Nilichoka kwakweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Si kwa ulezi huo Jamani..wallah Mimi uvumilivu ungenishinda..khaa!!..
Namuhurumia Dada wa kazi.
 
Hamna hata uchawi ni malezi anadekeza sana sana wajukuu' na sio kwangu tu ameonekana mjeuri hata kwa ndg wengine nmeshasikia wanalalamika dogo mjeuri'
Huyu bibi anamfundisha mtoto uchawi.fuatilieni vizuri. Hako katoto katakuwa na mapepo, katakuwa kachawi.
 
Yani kipindi nipo hospital mashtaka nilikua naletewa hukohuko dada kapiga flan' siku moja nikawambia mbona humumleti aje kunisalimia' siku inayofuata wakamleta dada amenywea nikamwita nikamuuliza upo sawa akaniambia ndio ila mm nilimsoma nikajua hana furaha tena' na kipindi hawajaja nilipomwambia tu wanakuja qlifurahi kweli ili apate company maana mm nilikua naenda kazn na alikua bado mgenimgeni' niliporud nyumbn nilikaa nae kdg nikaona mtoto wa watu asipate shida nikamrudisha nikawambia wanitafutie wao bs akaja dada mwingine' mqanzo dogo alikua anamwoneaonea nikamwambia akikukosea mchape kidogo atakuheshimu' basi yule dada akawa serious dogo akamwogopa' looh ila cha moto nilikiona.
Kuna wakati unakuta nmekesha na mtt ss kumekucha nasema ngoja nipumzike anakuja kunigongea nikamwekee cd bs naamka naenda kumwekea' baada ya muda m ndo nmepata kausingiz anakuna tena kugonga cd imesisha katoe' eeeish. Nilichoka kwakweli.
😂😂 Khaaa!!
Pole Jamani
Watoto Hawa..tuishie tu kusema kuzaa kuzuri tusikufuru.
 
Yani akiingia chumbani ni atafungua makabati, atafungua pochi akikuta kitu kigeni anaenda kumwambia bb yake' eeh yaani
Huyu bibi anamfundisha mtoto uchawi.fuatilieni vizuri. Hako katoto katakuwa na mapepo, katakuwa kachawi.
 
Nimecheka Sana Kama mazuri haya. Mkuu pole Sana, Ila dada YAKO Kama unampenda, mwambie, waokoe uncles wako mkuu
 
Mimi kwa kweli, huwa siaangalii ni mtoto wa nani, natoa kifinyo havi, kile cha Kung'ang'ania kama siafu. Na kama akijifanya ni mgumu kuomba msamaha atashangaa naondoka na kipande cha ngozi. Huwa sipigi kwa fimbo mimi...!!!
 
Back
Top Bottom