Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Nilikuwa safari nikapita kwa kaka mdogo kumsabahi, nilimkuta na familia yake yote yaan yeye, mkewe na mwanae.

Huyo mtoto ni anafujo utasema mji mzima umehamia humo ndani, kulia lia usipime!!

Akajipendekeza anga zangu, anataka maji huko akaja kulilia kwangu, nikamnyazisha kwa ukali! Nikamuuliza maji yako wapi? Huwezi kuyafikia? Kuna ulazima gani kulia?

Nikatoka nje, nikarudi na bakora! Alichezea viboko mbele ya baba na mama yake! Baada ya hapo nyumba ikawa kimyaaa!

Na hata nilipoondoka naambiwa kabadilika sana kulia hovyo hovyo ameacha na ana akili za kujiongeza sasa.
Hapo uliporudi na bakora ungejisikiaje kama wazazi wangekuzuia kumchapa? Mimi sehemu kama nimeenda siku moja tu wala sihangaiki na toto la mtu, nikiona kero zimezidi naaga naondoka kiroho safi.
 
Ni ugenini mkuu unapaswa kuficha uhalisia wako.
Imagine linakuja unazungumza linakupiga kofi la mdomo kwa kukushitukiza na linaambiwa " We Ivan jamani mbona hivyo" linaanza kulia kisa limeambiwa hivyo [emoji45]
Anafanyajeee!?? Hahahaha duh! Basi tu..

Huenda unasura fulani hivi ya upole... Jifunze telecommunication... Kuna uso au jicho huwa nilikilitupa mita 49 dogo anajua hii hapana.. na kuna lile la usifanye kitu bila kuuliza na la approval...

Nitaanza kuendesha warsha juu ya hili... Its a lost art.
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90, nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilianza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni, anatema mate kwenye kiganja chake, kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. Alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
 
Hapo uliporudi na bakora ungejisikiaje kama wazazi wangekuzuia kumchapa? Mimi sehemu kama nimeenda siku moja tu wala sihangaiki na toto la mtu, nikiona kero zimezidi naaga naondoka kiroho safi.
Huwezi kukurupuka kuchukua hatua kwa mtoto au familia isiyokuhusu!

Nilifanya hivyo sababu nawajua vyema na wananijua vyema kifupi nawamudu!!

Hata hivyo kabla ya kuchukua hatua nilishauliza mbona analialia sana? Wakajibu anadeka, nikawaambia wazi ngoja nimnyooshe kidogo apunguze ujinga!!

Alipokosea mtoto kujichanganya kwangu na kilio bila kujua plan iliyopo!!
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji. Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu
Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
[emoji16][emoji16][emoji16] umenichekesha hapo mwisho
 
Anafanyajeee!?? Hahahaha duh! Basi tu..

Huenda unasura fulani hivi ya upole... Jifunze telecommunication... Kuna uso au jicho huwa nilikilitupa mita 49 dogo anajua hii hapana.. na kuna lile la usifanye kitu bila kuuliza na la approval...

Nitaanza kuendesha warsha juu ya hili... Its a lost art.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Fanya hivyo mkuu, kuna wazazi kibao humu wa miaka hii ya 2015+ mitoto yao wanailea hivyo
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 90 ,nilienda kwa baba mdogo. Kuna mtoto mwenye umri ambao anaweza kutembea.
Kimbembe kilinza alipoanza kunyweshwa uji.

Akizingua anaambiwa tema mate tumpige mgeni. anatema mate kwenye kiganja chake ,kisha anakuja kwangu anaipiga plus kuniachia mate yake. Mara ya kwanza sikuelewa kilichotokea, nikahisi naota. alivyorudia mara ya pili nilimuachia konzi ambalo hadi leo hajawahi kulisahau na nikajiondokea zangu

Cha muhimu kila mtu akae nyumbani kwake na maujinga yake
Umenichekesha ulivyopakwa mate. Hahaha cha msingi kila mtu akae wapi na nini
 
Umenichekesha ulivyopakwa mate.Hahaha cha msingi kila mtu akae wapi na nini
Haya mambo ya watoto kwenda kusalimia nilikuta mjini
Mabush kwetu mtoto anatumwa tu chap na anapewa deadline awe amerudi
Lakini kusalimia sijui shangazi na nani sijui, kulikuwa hakuna hizo mambo
 
Back
Top Bottom