Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Sherehe ya kuzaliwa ni ile siku mtoto amezaliwa, hivyo siku ya uhuru wa Tanganyika ni ile siku ya kupata uhuru.Habari P,
Tenga kati ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako na adhimisho la kuzaliwa kwako.
Tanzania bara imetokea wapi?Haja hii nimeiendeshea darasa humu, Darsa: Maadhimisho ya Leo, ni ya Uhuru wa Tanzania, yaani, Tanzania National Day, ila Kumbukumbu Ndio ya Uhuru wa Tanganyika!
Kwa vile hakuna tena Tanganyika, is dead and buried long ago, kilichopo sasa ni Tanzania, then maadhimisho ni uhuru wa Tanzania ila kumbukumbu ndio ya uhuru wa Tanganyika.
Kuna vitu viwili, maadhimisho na kumbukumbu!.
P
Better late than neverndiyo mumeamka leo baada ya miaka 60 ya usingizi?
Mkuu huu uongo wako unaouandika humu ni kwa manufaa ya nani ?Sherehe ya kuzaliwa ni ile siku mtoto amezaliwa, hivyo siku ya uhuru wa Tanganyika ni ile siku ya kupata uhuru.
Tanganyika ilidumu toka Desemba 9, 1961-April 26, 1964, takriban miaka miwili na miezi 4, na kugeuka Tanzania, hivyo maadhimisho yote ya uhuru toka hiyo 1964 ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania na sio Tanganyika. Uhuru ni wa Tanganyika na maadhimisho ni ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika, ila yanaadhimishwa na Tanzania, hivyo it's Tanzanian national day!.
P
Kuna tatizo kubwa sana, Watanzania hawaijui katiba yao!. Karibu mitaa hii, Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?Tanzania bara imetokea wapi?
Nani aliunda hilo jina Tanzania bara?
Kwanini wanaogopa kutamka neno Tanganyika?
Hii ya kuita watu waongo, haijakaa poa!.Mkuu huu uongo wako unaouandika humu ni kwa manufaa ya nani ?
Sasa unataka tukuiteje kwenye upotoshaji huu ? hata Msekwa amekushangaa !Hii ya kuita watu waongo, haijakaa poa!.
P
Mkuu Paskali angalia kwenye mashindano ya CECAFA under 18 Tanzania imecheza na Zanzibari. Sasa huku tunakoelekea sio kuzuri sababu upande mmoja haukaripiwi umeachwa ufanye mambo yake wakati upande mwingine huu wa bara umejaa wanafiki na wachumia tumboKuna tatizo kubwa sana, Watanzania hawaijui katiba yao!. Karibu mitaa hii, Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
P
Zanzibar ni NchiMkuu Paskali angalia kwenye mashindano ya CECAFA under 18 Tanzania imecheza na Zanzibari. Sasa huku tunakoelekea sio kuzuri sababu upande mmoja haukaripiwi umeachwa ufanye mambo yake wakati upande mwingine huu wa bara umejaa wanafiki na wachumia tumbo
Tanganyika iko haiUko sahihi. Kabla ya 1964 hakukuwa na nchi inayoitwa Tanzania.
Nadhani neno Uhuru wa Tanzania Bara linakuja kutokana na kutokuwepo kwa hiyo Tanganyika kwa Sasa.
Tanganyika ilikufa kibudu 1964 baada ya kuungana na Zanzibar.
Yaani nchi mbili huru zinaungana, moja inakufa moja inaendelea kuexist, haya nayo ni maajabu.
Mtikila aliangushwa na watanzania wote. Tusinyoosheane vidole.Ilitakiwa mumsapoti sana hayati Mchungaji Mtikila anapopambania upatikanaji wa Tanganyika. Badala yake mkampora UKAWA na kabla ya hapo mlimfukuza uanachama mwaka 1997 alipogombea ubunge Ludewa/Makete.
Alipokua anasema saa ya ukombozi ni sasa, mnasema tulishakombolewa zamani. Alikuwa anapambania uwepo wa Tanganyika kwa faida ya watanganyika na sio kwa faida yake au ya chama. Hakua muumini wa vyama vya siasa.
Majuto ni mjukuu.
Watu wameamka baada ya kuona mama wa kambo anahamishia kila kitu kwa wajomba zake.ndiyo mumeamka leo baada ya miaka 60 ya usingizi?
Ukiona watu wanasema mtu hawezi kuwa mkubwa kuliko chama cha siasa basi ujue hapo upo mahali pasipo sahihi.Mtikila aliangushwa na watanzania wote. Tusinyoosheane vidole.
Duh!!Hii ni kwa sababu Mwl Nyerere na viongozi wa TANU walikuwa Watanganyika na waliikomboa Tanganyika na wala si nchi nyingine yoyote ile.
Nasikia usipoweka blue hapo Mafia inasombwa na ufito wote kutoka Tanga mpaka bondeniNaipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika. Waseme siku ile iliposhushwa Union Jack ni bendera ipi ilipandishwa kama siyo hii hapa????View attachment 2837314View attachment 2837315View attachment 2837316View attachment 2837317View attachment 2837318View attachment 2837319
Tanganyika a.k.a Tanzania Bara. The United Kingdom a.k.a Britain. Wapi tatizo?Hii ni kwa sababu Mwl Nyerere na viongozi wa TANU walikuwa Watanganyika na waliikomboa Tanganyika na wala si nchi nyingine yoyote ile.
Watanganyika hampaswi kuvumilia uongo wowote ule hata kama anayeuongea ni kiongozi mzito, kataeni hadharani ili mheshimike.
View attachment 2837078
Hakuna kitu kama hicho. Hiyo ramani haitambuliki .Nasikia usipoweka blue hapo Mafia inasombwa na ufito wote kutoka Tanga mpaka bondeni