Masahihisho: Kinachosherehekewa ni Uhuru wa Tanganyika siyo Tanzania Bara. Hatutavumilia upotoshaji

Maafisa mi niulize swali tu make naona mjadala mkali

Mimi huwa napata mkanganyiko hapa " Tanzania ni muungano wa nchi mbili ie Tanganyika na Zanzibar sasa rais wa Zanzibar ni Hussein mwinyi je rais wa Tanganyika ni yupi? Dr Samia suluhu ni wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania .
 
Mumeo kasema ni uhuru wa Tanzania

View attachment 2838072
Moderator mnaporuhusu hawa wapumbavu kutukana humu jf mtasababisha umwagaji wa damu , huyu mjinga ninazo taarifa kwamba ametumwa kunichunguza na kunichokoza (mfuatilieni) , mnataka nijibu mapigo ili amani ya jf ivurugike ?

Mnachokitafuta kinakaribia sana kutimia , nimekuwa mpole sana lakini sasa uvumilivu umefika mwisho .

Sheria za jf mbona zinakataza mambo haya ?
 
Viongozi wa vyama vinavyojitambua hua ni wastaarabu mno

 
Ila mkuu umeongea kwa uchungu mno 😂
 
Kitu kilichounda kitu kingine unasema kimekufa,how? Kwanini zanzibar ipo yenyewe haijafa?Muungano ukivunjika leo kunabakia majina ya nchi gani?
 
Unalia lia nini sasa?😎
 
Tanganyika huo ubaba ilipewa na nani na kwa makubaliano yapi?
 
Nani alilifuta na kwa mantiki gani.
 
Kitu kilichounda kitu kingine unasema kimekufa,how? Kwanini zanzibar ipo yenyewe haijafa?Muungano ukivunjika leo kunabakia majina ya nchi gani?
Binti Northpole, ukiolewa, una assume jina la mumeo, jina lako la ubini linakufa!. Tanganyika imeingia kwenye ndoa ya muungano, jina la Tanganyika likafa!.
 
Tanganyika ilidumu toka Desemba 9, 1961-April 26, 1964, takriban miaka miwili na miezi 4, na kugeuka Tanzania

Kwahiyo mkuu kwa kauli hii unakiri kuwa Tanganyika iko hai ila kwa jina jipya la Tanzania au Tanzania Bara.

Yaani Tanganyika = Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwahiyo Tanganyika imevaa koti la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Je, Tanzania ilipata Uhuru wake kutoka kwa mkoloni gani ????
Nafikiri ni wakati muafaka wa kuepuka na kuacha kabisa upotoshaji.
Kama hawataki kusherekea siku ya uhuru wa Tanganyika basi waache kabisa maigizo ya Setember December.

Washerekes siku ya uhuru wa Zanzibar na birthday ya Tanzania yao. Sisi tutajua cha kuifanyaia Tanganyika yetu.
 
Tanganyika iligeuka Tanzania? Kwa hiyo Zanzibar ni jirani yake Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…