mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Maafisa mi niulize swali tu make naona mjadala mkali
Mimi huwa napata mkanganyiko hapa " Tanzania ni muungano wa nchi mbili ie Tanganyika na Zanzibar sasa rais wa Zanzibar ni Hussein mwinyi je rais wa Tanganyika ni yupi? Dr Samia suluhu ni wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania .
Mimi huwa napata mkanganyiko hapa " Tanzania ni muungano wa nchi mbili ie Tanganyika na Zanzibar sasa rais wa Zanzibar ni Hussein mwinyi je rais wa Tanganyika ni yupi? Dr Samia suluhu ni wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania .