Kwani mama lazima akuzae? Pumbavu kweli weweSamia siyo mama yangu
Na hii tabia ya kumita mama ndiyo inayowafanya mpaniki kwa kauli ya kawaida tu kama ya Mdude.
Nashauri Samia aitwe Samia acheni kumuita mama, mkimuita mama mtaona kuwa akiwa challenged kidogo basi katukanwa!
Sasa ndo umeongea kitu gani? Kama ndo mawazo eti ya kijana, basi tuna Safari ndefu mno.Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CHADEMA, mmekaa kibinafsi sana, mnatumia udhaifu wa vijana aina ya mdude kujijenga. Hata rais awe mstaarabu namna gani hawezi kuvumilia matusi, kashfa na maudhi ya mdude....
Kama hiyo story yako ni kweli, basi Lissu alikuwa sahihi kuhusu rais Samia.Anzeni kumtukana ndo mtajua kama mwanga umeonekana.
Mkoa niliopo leo asubuhi.kuna kijana mmoja katapika maneno kuwa huyu mama hafai kuwa raisi na maneno yenu yale machafu police wamepita nae kma kipanga kwa sasa yupo kuho kituoni.
Anajutia mdomo wake.
Sasa kama mnaona mwanga basi mtukaneni kama mlivyokuwa mnamtukana Magufuli.
ekzaktiiPamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.
Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.
Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Siyo lazima iwe hivyo. Lakini “precedence” ya mwendazake ilikuwa mbovu kabisa.Kwahiyo kumbe mahakama ni taasisi huru kabisa.
Sijaongea bali nimeandika. Mdude ameenda jela, je Don mbowe (mtoto wa Mbowe) amewahi kwenda jela? Watoto wa wenzao wanachuliwa kama kafara, watoto wao wanalindwa... Wapeleke watoto wao front line sio kutumia watoto wa wenzao... Unadhani wazazi wa Mdude wanapenda?Sasa ndo umeongea kitu gani? Kama ndo mawazo eti ya kijana, basi tuna Safari ndefu mno.
Ukishakula ugali wako basi imetosha kabisa wala hautaki kuishughulisha tena akili yako kuhusu mustakabali wa Taifa.
Kuna ambao “resolves” zao ni “above family level” na ugali mtamu. Usiwapangie wengine wawe kama wewe. Eti vurugu.
Don Mbowe (mtoto wa kiume wa Mbowe) tumuone frontline.Kaa tayari kwa mikutano ya hadhara muda wowote kuanzia sasa
kwani chadema ni chama cha Mbowe ?Don Mbowe (mtoto wa kiume wa Mbowe) tumuone frontline.
adakuliwe kwa kosa ganiajabu wanaomsifia mdude wanajificha nyuma ya simu zaoo
mwenzao akidakuliwa wanabaki kuandika free Mdude
kwani alikua waaapi takriban miaka karibu miwiliiadakuliwe kwa kosa gani
Ndio Chadema ni Chama Cha Mbowe kwani huu ni mwaka wa 20 Sasa jamaa ni Undisputed Chairman.kwani chadema ni chama cha Mbowe ?
Huwa mnanishangaza hukumu ikitolewa tofauti na matarajio yenu mnasema majaji wanapokea maagizo toka juu,Ila ikiwafavor ni mmeishinda serikali.Jueni kua hao majaji mnaowapigia kelele ya kupokea maagizo ya kuwaumiza toka juu pia wanaweza pokea maagizo ya kutenda haki.Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.
Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.
Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia eawakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.
Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.
Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.