DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama ni kweli ni mtu wa idara, basi anastahili adhabu kali.

Idara imejengwa kwa jasho na damu la wazalendo wengi. Wengine mambo makubwa waliyoyafanya wamewezesha idara kuwa hapo ilipofikia.

Bahati mbaya, Leo baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu, wamelundika ndugu na jamaa zao wasio na sifa wala weledi.

Tumekosea wapi? Idara ni jicho la nchi yetu! Kama jicho likikosea inamaanisha nini? Tumeamua kuwa vipofu?

Na mwisho, samaki mmoja akioza...... nategemea sio kweli huyu ni mtu wa aina hiyo wanayoisema
 
Huyu Julian namjua kipindi alikuwa Msolwa ni kijana smart sana mara ya mwisho kuonana nae alikuwa anajiandaa kwenda London Kimasomo
Huko London hakupata chance ya kujifunza ngumi katika kituo Cha yonkovalle maana amepigwa Kama Malaya wa kimboka hawajui kujitetea zaidi ya kusema ni shida za dunia
 
Kama ni kweli ni mtu wa idara, basi anastahili adhabu kali.

Idara imejengwa kwa jasho na damu la wazalendo wengi. Wengine mambo makubwa waliyoyafanya wamewezesha idara kuwa hapo ilipofikia.

Bahati mbaya, Leo baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu, wamelundika ndugu na jamaa zao wasio na sifa wala weledi.

Tumekosea wapi? Idara ni jicho la nchi yetu! Kama jicho likikosea inamaanisha nini? Tumeamua kuwa vipofu?

Na mwisho, samaki mmoja akioza...... nategemea sio kweli huyu ni mtu wa aina hiyo wanayoisema
Siku hizi imba pambio, kuwa chawa..UVCCM unapewa kitengo.
 
Una uhakika yuko O'bay?


Unabishana na Afande Muliro? Au wewe ndio unajua kuliko Afande Muliro, acha ujuaji wa kijinga kijana mdogo ww

 
Unagombanaje na mlevi bwana huyo derick tusimuone tena... Kwenye vilabu... Hata komoni asinywe hata gongo nachojua walevi na mapombe yao ingawa sinywi wanapendana sana
Kitu kingine usalama ni watu wa kawaida kama mimi na wewe tu kama. Mimi nmesomea udaktari yeye kasomea hivyo usalama
Ni kama mimi daktari nibake
Mambo mengine ni hulka binafsi na sio declaration kwamba Tiss wako hivi wote... Though i can't deny the fact that tiss have lots of problems with their workers and misconducts ni nyingi si kata mshahara tu
Mkuu ombi lako kamshahara umeliwasilisha vizuri sana, watalifanyia kazi
 
Tunajisahau sana kama taifa. Imagine mpuuzi mmoja aingie na granade kwenye begi pale magufuli stendi au kwenye sgr halafu wakifika porini uko anai achia remotely. Hatuombei yatokee lakini tunajisahau sana tupo hovyo sana kwenye security. Metal detectors ni za kufunga hadi makanisani na misikitini.
Uko sahihi sana

Ameingiaje na silaha?
 
Wow wow
Umesoma sheria ya TISS iliyofanyiwa mabadiliko?

Unadhani huyo kijana wa Mafwele hajui kuwa ana mbeleko ya madon na sheria?

Ali Kibao hadi leo hakuna uchunguzi wala hatua zilizochukuliwa.

Failed State
Tunatawaliwa kigaidi
Umekua too political…. Siwezi kujaji wanyakyusa wote because mmoja ni mshenzi au wamasai wote simply because mmoja ni muuaji

Sheria haisemi akapigane bar au atembee na binduki

The boy is just a bad apple
 
Hujapewa utamu wewe, kuna kitu hujapata mpaka ukaskia nywele zinasimama!

WAulize wanaohonga magari, nyumba na kazi, unacheza na tunda la mti wakatikati?
Ni ubatili mtupu mkuu kwa tulio wai kua ma player tuna jua.

Kuna wanawake ukiwaangalia TU wakiwa wamevaa unakua ume wa undress unaona jinsi alivyo mpaka ndani labda kwa wageni wa mbususu/ papuchi
 
Back
Top Bottom