Facts hazipo hivyo. Huyo dem na huyo jamaa aliyepigwa ni mtu na dadayakeEti wanagombania dem club
Dem akishakuwa club huyo ni biashara tu
Ova
Huko London hakupata chance ya kujifunza ngumi katika kituo Cha yonkovalle maana amepigwa Kama Malaya wa kimboka hawajui kujitetea zaidi ya kusema ni shida za duniaHuyu Julian namjua kipindi alikuwa Msolwa ni kijana smart sana mara ya mwisho kuonana nae alikuwa anajiandaa kwenda London Kimasomo
Ukisikia mtu Fala ndo kama huyo sasaHaya mambo mbona makubwa sana? Huyo Mkurugenzi naye hakutambua chumba hicho kuna kamera hadi kufanya uzinifu humo?
Siku hizi imba pambio, kuwa chawa..UVCCM unapewa kitengo.Kama ni kweli ni mtu wa idara, basi anastahili adhabu kali.
Idara imejengwa kwa jasho na damu la wazalendo wengi. Wengine mambo makubwa waliyoyafanya wamewezesha idara kuwa hapo ilipofikia.
Bahati mbaya, Leo baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu, wamelundika ndugu na jamaa zao wasio na sifa wala weledi.
Tumekosea wapi? Idara ni jicho la nchi yetu! Kama jicho likikosea inamaanisha nini? Tumeamua kuwa vipofu?
Na mwisho, samaki mmoja akioza...... nategemea sio kweli huyu ni mtu wa aina hiyo wanayoisema
Una uhakika yuko O'bay?
Mkuu ombi lako kamshahara umeliwasilisha vizuri sana, watalifanyia kaziUnagombanaje na mlevi bwana huyo derick tusimuone tena... Kwenye vilabu... Hata komoni asinywe hata gongo nachojua walevi na mapombe yao ingawa sinywi wanapendana sana
Kitu kingine usalama ni watu wa kawaida kama mimi na wewe tu kama. Mimi nmesomea udaktari yeye kasomea hivyo usalama
Ni kama mimi daktari nibake
Mambo mengine ni hulka binafsi na sio declaration kwamba Tiss wako hivi wote... Though i can't deny the fact that tiss have lots of problems with their workers and misconducts ni nyingi si kata mshahara tu
Kuna room juu kule pakusurender hizo vitu, Kwahiyo atakuwa wakati wa kuondoka alipewa/alienda kuchukua.Kabisa hicho kiwanja usalama ni mdogo ,inakuwaje waruhusu walevi waingie na mabomba(vyuma)(Mikwaju)(mguu wa kuku)?
Uko sahihi sanaTunajisahau sana kama taifa. Imagine mpuuzi mmoja aingie na granade kwenye begi pale magufuli stendi au kwenye sgr halafu wakifika porini uko anai achia remotely. Hatuombei yatokee lakini tunajisahau sana tupo hovyo sana kwenye security. Metal detectors ni za kufunga hadi makanisani na misikitini.
Tatizo kashaingiwa na ubaridi baada ya kukiona chuma,lazima ujilegeze usiendelee kupata madhara makubwa zaidiIla jamaa aliyepigwa kipondo ni mdebwedo. Kamtama kamoja eti chalii. Anagalagala kama Jenister mhagama
Umekua too political…. Siwezi kujaji wanyakyusa wote because mmoja ni mshenzi au wamasai wote simply because mmoja ni muuajiWow wow
Umesoma sheria ya TISS iliyofanyiwa mabadiliko?
Unadhani huyo kijana wa Mafwele hajui kuwa ana mbeleko ya madon na sheria?
Ali Kibao hadi leo hakuna uchunguzi wala hatua zilizochukuliwa.
Failed State
Tunatawaliwa kigaidi
Hujapewa utamu wewe, kuna kitu hujapata mpaka ukaskia nywele zinasimama!Kisa mbususu!?? Siwezi kupishana kauli na fellow man! Never ever ever
..labda awe mke wa ndoa tu na awe ameshakuzalia tayari vinginevyo...Mwanamke sio wa kumtetea popote
Ni ubatili mtupu mkuu kwa tulio wai kua ma player tuna jua.Hujapewa utamu wewe, kuna kitu hujapata mpaka ukaskia nywele zinasimama!
WAulize wanaohonga magari, nyumba na kazi, unacheza na tunda la mti wakatikati?
Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa ya 2023 kazini. Watu wa usalama wa taifa Wana Kinga ya mashtaka ya jinai!
Pascal Mayalla
Hahaha. Nimecheka kama mazuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee, Wahuni wanapokuwa na nguvu wanyonge wapo mashakani. Pole kwa wote mnaoonewa haya yote yanamwisho. Mie sahivi mtu akijichanganya ni radi au namroga anapasuka moyo. Hii haina ushahidi kila mtu ashinde mechi zake