Sio angefyatua, ingefyatuka! Mana Jamaa Mungu amempigania Kwa kiwango Cha juu sana! Itakua ilimwagikiwa K, vant iliyompandisha nyege akaona njia rahisi ya kuondoka na demu ni kutoa gun na kumterminate mtu! Malezi ni changamoto sana! From the movie to the Field!Na hapo angeifyatua humo ndani
Watu wangetafutana....usicheze na risasi 😄
Ova
Ilitakiwa raia wamchakaze achakae! Kuna kazi ukifanya unamaintain status yako muda wote to earn respect! Pombe na zinaa imewaangusha wengi! Madaraka na fedha imewangamiza wengi!Huu ni ugaidi TU kama wa Hamas au Hezbollah, alshabab na upumbavu wa namna hiyo! Hata kama Yuko TISS ndio awe taahira namna hiyo unagombania wanawake baa, na hata hujaja nae umemkuta TU! Kama TISS Ina wapumbavu kama Hawa ndio maana nchi inaibiwa sana hii! Badala ya kulinda rasilimali zetu analala club kufanya umalaya, kenge kabisa!
Fala sana huyo,silaha itumie kwa kujilinda,ukivamiwa nkSio angefyatua, ingefyatuka! Mana Jamaa Mungu amempigania Kwa kiwango Cha juu sana! Itakua ilimwagikiwa K, vant iliyompandisha nyege akaona njia rahisi ya kuondoka na demu ni kutoa gun na kumterminate mtu! Malezi ni changamoto sana! From the movie to the Field!
Hii namna ya uwasilishaji mara nyingi Huwa ni ya akina mama wa mipasho! Napata wasi wasi! You might be more than a trash itself!Wewee!! Em tulia hukoo!🚮🚮
By the way recognition imekua ngumu! Na askari wapuuzi walitaka shift of paradigm Ili kwamba kama alivyosema yule mama kule Dodoma kwamba hiyo baa ni ya wahuni tu, waanze kusaka manager kwa kupiga Tako ofisini! Bahati mbaya imeshidikanaHahahah hakujua ipo siku michezo yake itaonekana live bila chenga kwa watanzania😆 sema kikubwa amegonga pisi kali ya kimanga
hayo mazingira mbona yanaonyesha palikuwa na uwezekano anyang'anywe pisto, imagine mtu angekuwa nyuma yake hapo akamtandika mkono idondoke au akampa ngumi ya shingo kuokoa maisha ya huyo jamaa. wabongo akiwa na silaha huwa anaamini yeye tu ndio anayo. nenda nchi kama south, wewe unayo ila masela waliokuzunguka kama 5 hivi kila mtu ana ya kwake.Huyo Derrick huyo. Sema alikutana na mlevi. Angejua hajui.
Mkuu connection ya mmiliki wa club ipo ?! Msaada tugawane dhambikKwamba derick anachukiwa au mmiliki wa bar aliepiga tako tatu au au uyo mwamba aliyenusurika kuuawa?
au ni chuki dhidi ya jeshi letu pendwa la mapongo?
Uko sahihi sana
Ameingiaje na silaha?
Hizo siku ndio tunazihitaji
Baada yake hatujawahi kukosa hizo drama
Wewe ni mwehu!Chuki bonafsi
Mkuu naomba niuzie radi...Nina kazi nayo week hiiAisee, Wahuni wanapokuwa na nguvu wanyonge wapo mashakani. Pole kwa wote mnaoonewa haya yote yanamwisho. Mie sahivi mtu akijichanganya ni radi au namroga anapasuka moyo. Hii haina ushahidi kila mtu ashinde mechi zake
Mpaka nimeshangaaKalegeaaa 😄 kama ni kweli basi tuna zidi kudhihirisha jamaa wanawaajiri mafala
Ova
Wewe ni mwehu!
of course yule usalama alivyopiga zile ngumi, utafikiri ni mwanamke, anapiga ngumi kama makonzi na anarusha mikono. hawa watoto wa geti kali tuwe tunawapeleka walau kwa bibi kijijini wakabebe kuni. si wanasema babake alikuwa naibi gavana BOT.Mbona wote walaini ivo ivi usalama hawanaga mafunzo ya Kijeshi,huyu mwingine naweza Sema ni mwanaume wa Dar. Asa Usalama nae mbona anangumi kama ya Gigg money 🤣🤣🤣🤣.
Binafsi huyo usalama angechakaa,napiga teke la tumbooo puuuuu...nampaa ndondii ya Puaaa,namaliza na mkono umesambaa🖐️🖐🏿usoniii! Hapo namwachaa anaona Waiingereza tupuu.
Julian was already shit🤣!!! Ila ingemkuta mtoto wa mmbwa hio huyo fala angeita maji mma🤣! Yani unapiga kama unaua nyoka vile!I wish one day a nigga would…..
Yaani uninyooshee bastola yako halafu risasi zigome kufyatuka halafu nikuache tu urudi kwa mkeo bila hata nundu?
If I were Julian I would beat the shit out of him.
Scenario unayoongelea ni ya matukio kama ya ujambazi. Ila kwa hili tukio hapana. Kama unaweza pambana pambana. Mabina mbona wananchi walimuua na bastola yake, yes aliuwa mmojawapo ila naye alikufa. Usitishe watu wewe. Kwani ana bastola isiyoishiwa risasi? Mbona kuna wengine washakula makofi na bastola zao kwenye mabaa? Haikupi uungu inakupa tuu advantage ya muda mfupi.Acheni kudanganyana, nimeona komenti nyingi watu humu wakitamba kuwa wangekuwa wao wangemdhibiti huyo jamaa aliyejihami na silaha ( bastola) wangemdhibiti kwa mapigo ya ngumi.
Hiyo siyo movie ni uhalisia mbele ya macho ya wengi, mtu anapojihami na silaha kanuni zifuatazo zifuate Ili uwe Salama:-
1. Kuwa mtulivu na nyanyua mikono juu kuashiria kuwa hauna Nia ya kupigana naye.
2. Epuka kuongea maneno yenye kumfanya aamue kukushambulia kwa silaha.
3. Muombe idhini ya kuondoka kwa unyenyekevu Ili unusuru uhai wako,
4. Kubaliana na matakwa yake wakati huo ( kama mnagombania mwanamke, pesa n.k)
5. Usijaribu kuonesha Nia ya kupigana naye:
MUHIMU: kujaribu kupambana na mtu anayejihami na silaha kama huna ujuzi wa SILAHA ni kuweka dau la kucheza kamari maisha Yako.
Mtu mwenye ujuzi wa SILAHA anatambua aina ya bunduki, uwezo wake, muda ambao silaha imewekwa tayari kwa mapigo na pia ni rahisi kujua kuwa silaha si halisi ( fake)
Ni muhimu kutambua kuwa kumdhibiti mtu mwenye silaha katika umbali mfupi ( close range) inahitaji mafunzo maalumu ya Hali ya juu yanayokupa uhakika wa haraka wa kutekeleza matendo kusudiwa.
Mafunzo hayo asilimia kubwa hutolewa kwa askari wa vikosi maalumu vya kijeshi ( komandoo).
Msijaribu hata siku moja kumvamia mtu aliyejihami na silaha bila kuwa na sanaa za kimapigano, mtakufa kirahisi sana.
"Play safe, a muzzle plays death games"