DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tatizo kashaingiwa na ubaridi baada ya kukiona chuma,lazima ujilegeze usiendelee kupata madhara makubwa zaidi


Hamna aliyepigwa ni mzembe sana, yaani huyo mwenye bastola unamrukia ule mkono wa bastola na mtama mkali, na bastola unachukua na kabla hajafika jini bastola hana na ngumi za kumnyima kuona na kupumua kapata za moto sana na hatajua yuko wapi alafu unamalizia kumpeleka polisi akiwa hajielewi na silaha unakabidhi polisi
 
I wish one day a nigga would…..

Yaani uninyooshee bastola yako halafu risasi zigome kufyatuka halafu nikuache tu urudi kwa mkeo bila hata nundu?

If I were Julian I would beat the shit out of him.

Hey Julian mambo...😆😆😆😆😆
I like your new name 😂😂😂😂😂😂🤩
Julian bwana, ungeanza na kumtolea matusi ya kisukuma 😆😆😆😆
Ungeanza na hili, "muone kwanza, bastola kama ikungulyabashashi... halafu ungemalizia mwadela gawiza weeh mashikamashilongo 🤣🤣🤣🤣🤣

Ungenrushia ngumi kama alizokuwa anakurushia kisura? 😁😁😁😁

Goodnight Julian Ikungulyabashashi 😂😂😂😂.
 
Kama hiy madada poa wa kichina? Au siyo?

Halafu kondoo mwenzako, mleta mada, anasema eti aliyepigwa mmoja ni dadake hapo.
Hamna mwenye dada hapo😆 hio ligi inaonesha haikuanzia jana. Inaonesha wametafutana kwa muda mrefu ila jana ndio ikawa blockbuster 🤣
 
Hamna aliyepigwa ni mzembe sana, yaani huyo mwenye bastola unamrukia ule mkono wa bastola na mtama mkali, na bastola unachukua na kabla hajafika jini bastola hana na ngumi za kumnyima kuona na kupumua kapata za moto sana na hatajua yuko wapi alafu unamalizia kumpeleka polisi akiwa hajielewi na silaha unakabidhi polisi
Hujakutana na chuma wewee,kuongea rahisi sana mkuu,🤣🤣🤣
 
Facts hazipo hivyo. Huyo dem na huyo jamaa aliyepigwa ni mtu na dadayake

Na kwanini jamaa alimvuta aende naye? Ili akale mzigo? Unagombaniaje demu wa club? Huyo jamaa atakuwa ametokea Malinyi au machenje au uswekeni fulani hivi karibuni. Huwa hatugombanii demu bar. dar tunaachiana nafasi. leo akicheza huyu we subiri kesho
 
Umemsikia Top afande wa Dar, nimejifunza kitu!
Amemtenganisha na kazi yake wakati watuhumiwa wengine wanatajwa kazi wanaofanya
anasema kwamba jalada la uvhunguzi limekamilika na limepelekwa ofisi kuu ya mashtaka kuona kama itamfungulia mashtaka!
Ukizingatia Ile Sheria iliyobadilishwa kwa maksudi kwamba Hawa jamaa nao ni jeshi! Na Wana Kinga ya kutoshtakiwa kwa jinai ikiwa watafanya makosa wakati wa utekellezaji wa majukumu Yao, na ukizingatia kwamba ni msaidizi wa msaidizi wa namba 1. Na ukizingatia kwamba anaweza kusema alikua kazini na yule dada ilikua ni specimen ya kupata taarifa Fulani! Jamaa Yuko huru!
Hawakua wajinga kubadilisha Sheria,tulikua wajinga kushuoaza mafuvu kuona ni sahihi! Banana republic
Hichi ulichosema ndio kitakachofanyika😆 yani ni lazima jamaa a get out without attempted murder case.
 
Hamna mwenye dada hapo😆 hio ligi inaonesha haikuanzia jana. Inaonesha wametafutana kwa muda mrefu ila jana ndio ikawa blockbuster 🤣

Hakuna ligi ila upungufu wa akili kichwani. Kabisa unagombea demu Dar? It is a sign of weakness! Mbona riziki mafungu saba tena kwa standard zile zile 😂 😂 😂 😂 😂
 
Really, unatoa pistol uue sababu ya kitu ambacho hakina justification kabisa? Maana kaoa na yule sio mkewe. What point does he want to prove, zaidi ya ushamba au ujinga ujinga?
Kumbe ana mke kabisa, sasa huko home italuwaje? Au ndio wale wake mradi unampa hela yeye hana habari.
 
Eeh atapelekwa mkoani ila si kashajijenga

Kazi zenyewe majungu kila uchao. Ajiandae kukaa kwenye kabenchi kamoja hivi asubiri kuambiwa stand up..sit down. Trust me, he has exposed himself. That is not only a sin...but a crime kwenye ile tasnia. He is a liability
 
Scenario unayoongelea ni ya matukio kama ya ujambazi. Ila kwa hili tukio hapana. Kama unaweza pambana pambana. Mabina mbona wananchi walimuua na bastola yake, yes aliuwa mmojawapo ila naye alikufa. Usitishe watu wewe. Kwani ana bastola isiyoishiwa risasi? Mbona kuna wengine washakula makofi na bastola zao kwenye mabaa? Haikupi uungu inakupa tuu advantage ya muda mfupi.
pale ni club, hata hakuwa na akili kwamba nyuma yake anaweza kutokea mlevi mmoja ameshika chupa nzitonzito akamtwanga nayo kisogoni, hiyo bastola ingemsaidia nini?
 
Acheni kudanganyana, nimeona komenti nyingi watu humu wakitamba kuwa wangekuwa wao wangemdhibiti huyo jamaa aliyejihami na silaha ( bastola) wangemdhibiti kwa mapigo ya ngumi.

Hiyo siyo movie ni uhalisia mbele ya macho ya wengi, mtu anapojihami na silaha kanuni zifuatazo zifuate Ili uwe Salama:-
1. Kuwa mtulivu na nyanyua mikono juu kuashiria kuwa hauna Nia ya kupigana naye.
2. Epuka kuongea maneno yenye kumfanya aamue kukushambulia kwa silaha.

3. Muombe idhini ya kuondoka kwa unyenyekevu Ili unusuru uhai wako,

4. Kubaliana na matakwa yake wakati huo ( kama mnagombania mwanamke, pesa n.k)
5. Usijaribu kuonesha Nia ya kupigana naye:

MUHIMU: kujaribu kupambana na mtu anayejihami na silaha kama huna ujuzi wa SILAHA ni kuweka dau la kucheza kamari maisha Yako.
Mtu mwenye ujuzi wa SILAHA anatambua aina ya bunduki, uwezo wake, muda ambao silaha imewekwa tayari kwa mapigo na pia ni rahisi kujua kuwa silaha si halisi ( fake)

Ni muhimu kutambua kuwa kumdhibiti mtu mwenye silaha katika umbali mfupi ( close range) inahitaji mafunzo maalumu ya Hali ya juu yanayokupa uhakika wa haraka wa kutekeleza matendo kusudiwa.

Mafunzo hayo asilimia kubwa hutolewa kwa askari wa vikosi maalumu vya kijeshi ( komandoo).

Msijaribu hata siku moja kumvamia mtu aliyejihami na silaha bila kuwa na sanaa za kimapigano, mtakufa kirahisi sana.

"Play safe, a muzzle plays death games"
Kuna watu wameandika kirahisi sana, mimi bora nigombane na mtu mwenye silaha mzima lkn sio mlevi. Maana hata akitenda jambo na akafungwa lkn wewe unaweza usiwepo tena ktk huu ulimwengu.
 
Hujakutana na chuma wewee,kuongea rahisi sana mkuu,🤣🤣🤣

Tokea mtoto familia in silaha kibao za hunting and 2009 i owned my first Glock 19 kali sana, but huyo kijana mpuuzi hajui masharti ya kumiliki silaha, sbb hana uwezo wa kupigana ndio maana katoa silaha kitu ambacho kitamletea kesi kubwa na kufungwa, yeye angepigana ngumi wala kusingekuwa na tatizo…

Sbb alitoa silaha, sasa kuna namna ya kuchukua silaha hadi hatajua imechukuliwaje, na mafunzo hayo yapo. kisha unampa adabu
 
Acha ushamba au Ndio SGR imekuleta Dar! Kuna shida gani kwenda clubin na family members au Ndio kuhusisha club na zinaa tu! Kizazi Cha zinaa hiki Ndio mana anataka kumsindikiza kuzimu mwenzake kwa sababu ya nyege
Kama ndio ujanja huo wa dsm kwenda club na dada zenu wacha tubaki na ushamba tulokuja na sgr. Kubabake kwa mambo yanayoendeleaga usiku mnene siwezi hata siku moja
 
Kuna watu wameandika kirahisi sana, mimi bora nigombane na mtu mwenye silaha mzima lkn sio mlevi. Maana hata akitenda jambo na akafungwa lkn wewe unaweza usiwepo tena ktk huu ulimwengu.
Huyo jamaa ni mzembe tukubali!

Muda uliyotumiwa kutolewa silaha na kuanza kukokiwa na ushupavu wake aliyotumia kumfuata huyo afisa, laiti angelikuwa ni mtu wa Sanaa za mapigano huyo afisa angekuwa chini muda tu.
 
Back
Top Bottom