DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huu ni ugaidi TU kama wa Hamas au Hezbollah, alshabab na upumbavu wa namna hiyo! Hata kama Yuko TISS ndio awe taahira namna hiyo unagombania wanawake baa, na hata hujaja nae umemkuta TU! Kama TISS Ina wapumbavu kama Hawa ndio maana nchi inaibiwa sana hii! Badala ya kulinda rasilimali zetu analala club kufanya umalaya, kenge kabisa!
TISS imejaziwa wapumbavu wasio na akili
 
Wanajeshi wanapiga watu kila siku mitaani kwa ugomvi wa kugombea wanawake wabovu kwenye vilabu vya pombe za kienyeji,uliza Kigamboni huko watu wanavyopigwa ovyo wewe unasema wana nidhamu! Nidhamu gani!
Huyo hata hakumbuki miezi michache iliopita mwanajeshi alichomwa kisu kwenye ugomvi huko Kawe? Kesi ya kubaka mande mmoja wao ni nani?
 
Hivi unawezaje kuwa na mke na watoto ukaishia club mpaka asubuhi na ukataka kubeba mwanamke uende naye na huyo mke nyumbani anafanya nini? anajuwa mume wake yuko club? najiuliza tu inawezekana vipi una family ukatoka usiku mpaka asubuhi na mke anakusubiri tu? tushukuru sisi wenye family zetu usiku ziko family mitihani kwa kweli.
 
Taasisi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi iko wapi?? Askari anaskika akisema kabisaa hiii siiachi yaani Video ya ngono na hakuishia hapo akairusha mtandaoni. Aibu sana kwa jeshi letu. Aibu sana hii.
Ndivyo anavyo wafundishwa empty headed wambura
 
Huyo jamaa nikimuangalia pamoja na bastola yake namuona kabisa haijui sanaa ya mapigano. Angeugusa muziki wa mtu kama mimi, angekiona cha moto. Sema kakutana na ASIYEJUA mwenzake akamuonea. Dah. HASIRA
 
Na kwa kukuthibitishia Hilo. Jioni ya Jana Muliro amewahi TBC jioni wakati ambao anaamini kwamba watu wote wamepumzika majumbani na kutumia chombo hicho kukanusha vikali uhusika wa jamaa na vyombo vya Dola. Kazi aliyokua anafanya Muliro Jana ni kuongea na media tu kuhusu Hilo tukio.

Jiulize na matukio mangapi yanayofnana na Hilo ambayo polisi wametumia nguvu kubwa namna hiyo kuiaminisha media kuwa watuhumiwa hawahusiki na vyombo vyao?

Kuna jambo unashindwa kujiuliza. Kwani Hawa watu wanaishi kwenye space au Dunia tofauti? Sio kwamba tunaishi nao na tunajua whereabouts zao, kazi zao na familia zao? Wana marafiki na watu wanaowafahamu ambao tunaishi nao? Inakuaje unakataa kumhudisha na kazi anayofanya kwamba ndio pamoja na nyege zitokanazo na pombe, ulimbikeni na mambo mengine Ndio driving force ya kufanya huo uhalifu? Au mesahau ya Afande kwenda kung'ang'ania demu Boardroom sinza huku akiwa amelewa na akamsindikiza kuzimu mlinzi? Imeahahulika? Au pale ilishindikana kucover up sababu ya defender na uniform ya polisi?

Hii inakua ngumu Kwa sababu ya attachment ya dogo na msaidizi wa namba Moja, Ili kulinda hadhi na heshima ya ofisi namba Moja. Utungwaji wa Sheria zinalonge kuwapemdelea watu wa aina Fulani madhara yake ni makubwa kwa jamii ya watu wengi! Dogo akidefend alikua kazini na kwamba jamaa alikua anaingilia majukumu yake na alifanya vile Ili kumpunguza kasi ya kufuatilia nani atapinga wakati Sheria imeweka wazi kwamba hawana jinai?
Fallen State
Hii ni fedheha kubwa sana kwa TISS na Jeshi la Polisi.
Unawezaje kumtetea Mtumishi mwenye tabia za hovyo Kama huyo?
Watumishi wa TISS wenye tabia hizi ndiyo wanaifanya taasisi hiyo ionekane kwa umma kuwa ni Genge la Watu waovu wenye tabia chafu na za hovyo kabisa.

Hivi unawezaje kuwa na mke na watoto ukaishia club mpaka asubuhi na ukataka kubeba mwanamke uende naye na huyo mke nyumbani anafanya nini? anajuwa mume wake yuko club? najiuliza tu inawezekana vipi una family ukatoka usiku mpaka asubuhi na mke anakusubiri tu? tushukuru sisi wenye family zetu usiku ziko family mitihani kwa kweli.
Wengi wao (i.e. Field Officers and Surveillance Officers/Agents wa Idara hiyo) huwa wanapenda Sana kushinda kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya Watu wengi Kama hayo. Kutwa kucha huwa wanapenda kuwepo kwenye maeneo ya starehe Kama vile Clubs, Restaurants, Bars or liquor stores, vijiwe vya kahawa au vijiwe vya kuuza magazeti, kwenye maeneo jirani na Mageti au malango ya kuingia kwenye maeneo maarufu Kama vile hospitalini, hotelini, guests houses and lodges, viwanja vya mipira, kwenye mabanda ya video, n.k. Hizi ndio Ofisi zao Kuu za kufanyia kazi zao, ingawaje wapo wanapatikana kwenye maeneo mengi Kama siyo yote.
 
Hivi unawezaje kuwa na mke na watoto ukaishia club mpaka asubuhi na ukataka kubeba mwanamke uende naye na huyo mke nyumbani anafanya nini? anajuwa mume wake yuko club? najiuliza tu inawezekana vipi una family ukatoka usiku mpaka asubuhi na mke anakusubiri tu? tushukuru sisi wenye family zetu usiku ziko family mitihani kwa kweli.
Changamoto ya mwanaume asiyejutambua alafu akamiliki pesa
 
Back
Top Bottom