DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kweli aiseeee!
 
Ili raia wa nchi hii waweze kuondokana na madhila kama haya inahitajika kafara kubwa sana ili kukomesha upuuzi wa aina hii, bila ya hivyo waTanzania wataendelea kuumia na Mikasa ya namna hii mpaka kiama.
 
Ili raia wa nchi hii waweze kuondokana na madhila kama haya inahitajika kafara kubwa sana ili kukomesha upuuzi wa aina hii, bila ya hivyo waTanzania wataendelea kuumia na Mikasa ya namna hii mpaka kiama.
Hili ndilo la Muhimu zaidi.
Kinachotutafuna ni kwamba wenye akili na wanaoujua nini kifanyike wameingiwa na hofu na kuchagua kukaa kimya na kuwaacha wajinga wafanye watakavyo! Na kinachofanyika hapa ni wajinga wanejiinua!
 
Daaah
 
Hili la kuwa mtoto wa mzee Mkila haliniingii akilini,yule mzee ni muislam safi sana yeye na mke wake,hilo jina Derick ni la kikristo inawezekana vipi,mumuache mzee wa watu apumzike kustaafu kwake!
 
Derick hakupaniki Bure.
Kwake yeye binafsi hajakosea alichokifanya.🥱
 
Uko sahihi sana mkuu
Lakini ni lazima uangalie ni mtu wa aina gani ambaye yuko na hiyo bastola
Huyu jamaa angeuawa kwa mimi ningetafsiri kama amekufa kizembe sijui alikuwa na ulevi kiasi gani huwenda ndiyo sababu lakini kama hakuwa amelewa kiasi hicho amefanya uzembe mkubwa sana

Huyu jamaa ambaye tunaambiwa ni usalama siyo mtu makini na sijui kama ana mafunzo ya aina gani
Askari aliyefika hatua ya kumnyooshea mtuhumiwa bastola na kumpa amri huwa hakai naye karibu hata kidogo kwa sababu wana mafunzo ya kwamba kuwa karibu na mtu huyo wewe pia upo kwenye hatari zaidi

Bastola siyo ya kuogopa kiasi hiyo
Bastola ni hatari kwa sababu inaweza kufanya shambulizi mshambuliaji akiwa mbali hata mita ishirini au zaidi hiyo ni sifa kuu ya kuogopa kwa bastola
Ukiwa umeshikana na mimi au mtu yoyote na una kisu au panga hizo silaha zinaweza kuwa hatari zaidi kuliko ukiwa umeshika bastola
Huwezi kutii tii amri za chizi hujui akili zake zikoje wakati kabisa mazingira yanaruhusu kusave utakufa kwa uzembe
 
Wamiliki wengi wa silaha sahvi ni wpmbv na wjng na hawana uzoefu,mbinu za kuitumia
Naongea hivi maana nna ushahidi
Kabisa kwa nlichowahi kukiona

Ova
 
Huyo jamaa nikimuangalia pamoja na bastola yake namuona kabisa haijui sanaa ya mapigano. Angeugusa muziki wa mtu kama mimi, angekiona cha moto. Sema kakutana na ASIYEJUA mwenzake akamuonea. Dah. HASIRA
Yani huyo jamaa fala kweli kweli otakuwa ni hawa wanaume wa chips yai yani anarusha teke utadhani anacheza kwaito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…