Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Huyo polisi anastahili kusimamishwa kazi.

Ndo mambo gani sasa hayo ya kufyatua risasi hewani kama siyo kutishia watu?

Ingekuwa ni juu yangu ningemfukuzia mbali kabisa maana hafai huyo....he is too trigger happy!

Tena hafai hata kidogo, ,,hana kabisa sifa ya kuwa askari,,,,,ni wakufukuziliwa mbali
 
Utasikia shitaka lake sasa
 
Kwa kweli sijaona ulazima wa huyo askari kutumia bunduki katika hilo tukio, ni ushamba na ubabe ulipitiliza, IGP amuwajibishe mara moja, kama wanaweza kudhalilisha watu waliowahi kuwa viongozi katika hii nchi itakuaje kwa sisi raia wa kawaida!
 
We bwana mdogo hivi unajua kuwa askari akishika siraha ya moto haruhusiwi kubishana na raia au kuonesha jazba za waziwazi namna ile
Hii ni kwa mujibu wa kitabu gani cha sheria mkuu? Kwa hiyo ukiwa na silaha inatakiwa uwe kama bubu.
 
Yani sijui hata Kama alipitia mafunzo huyu polisi, enzi zileeee kulikuwa na somo pale polisi la jinsi ya kuzuia hasira, na huyu zingekuwa zama zile tayari kazi alikuwa Hana kwa makosa kadhaa niliyoyabaini hapo.....
Inasikitisha sana
 
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.
 
Samahani ndugu hivi majembe ndio nini mnaniacha njia panda
 
Mh.Malima akibishana na Polisi kisa inadaiwa eti "Wrong Parking" kama kweli wrong parking na silaha juu ???
 
Nimependa hiyo
 
Umeeleza kishabiki, dhidi ya polisi. Jaribu kuwa mkweli.Polisi waliwatisha wananchi waliozunguka gari au walimtisha Malima ?
 
Watumishi wazamani msome alama za nyakati , kwenye serikali hiii watu wajifunze interest zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…