Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Huyo polisi anastahili kusimamishwa kazi.

Ndo mambo gani sasa hayo ya kufyatua risasi hewani kama siyo kutishia watu?

Ingekuwa ni juu yangu ningemfukuzia mbali kabisa maana hafai huyo....he is too trigger happy!
Wewe kama nani? Amiri Jeshi Mkuu wake yupo "content" nao hawa MAPORISI. Hukusikia akiwapa baraka za ki-mwendo kasi, wakikamata gari wachomoe matairi, au wapokee rushwa in the name of "kubrashia viatu"? Wacha tuisome namba.
Magu hoyeeee!
Tukutane 2020
 
Ndiyo maana huweze kua mkubwa wake.
Utaishia kupiga kelele JF
Sawa. Mungu hakunileta duniani nikiwa na akili ndogo za kuweza kuwa polisi. Hizo akili nimezipita kwa mbali mnoo. Silalamiki kwa kutamani kutamani kazi yao, bali kulaani ujinga wao.
 
Tuheshimu mamlaka na mamlaka ituheshimu.
Tusizoweshwe milio ya silaha tunaweza izoea.
Wrong Parking ni kosa linalozungumzika.
Majembe na Yono mambo mengine tumieni busara.

Maeneo mengine Dar hii vibao vya No Parking kwanza hakuna na kama vipo 800M kibao kimoja.
 
Wewe kama nani? Amiri Jeshi Mkuu wake yupo "content" nao hawa MAPORISI. Hukusikia akiwapa baraka za ki-mwendo kasi, wakikamata gari wachomoe matairi, au wapokee rushwa in the name of "kubrashia viatu"? Wacha tuisome namba.
Magu hoyeeee!
Tukutane 2020
Hata hujaelewa nilichokiandika!!
 
Hujaelewa kabisa. Gari iliyopaki na dereva akiwa ndani
Hivi wewe ukienda nje ya ukuta wa ikulu ambapo pameandikwa no parking , ukapaki na kubakia kwenye gari utakuwa umetenda kosa au utakuwa hujatenda kosa
 
Polisi anajitapa eti kala kiapo na anaiheshimu serikali, kweli elimu ina ufunguo.
 
Hujaelewa kabisa. Gari iliyopaki na dereva akiwa ndani
Yan haelewi Kama hata Kama alipaki katikati ya barabara suluhu sio Kama hiyo aliyoifanya huyu dogo, kwani si kuna sheria zake.
 
serikali ikakoki bunduki ikapiga risas juu[emoji23][emoji23][emoji23]
ccm hoyee!
 
Kwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi hewani.

Kwa sababu, naona maelezo hapo yanasema wananchi walikuwa Karibu kujichukulia sheria mikononi.

Hivyo, polisi kuokoa maisha ya aliyedhaniwa ni jambazi ili asitolewe roho.

Au mi nimeelewa tofauti!?

Mkuu, umeangalia clip gani ambayo imeonyesha wananchi walitaka kujichukulia sheria mkononi? maana kwenye hizo clip, wananchi walikuwa so peaceful...... Yaani nyie hata mkipewa ushahidi wa wazi, hamwachagi kusema uongo?
 
Sawa. Mungu hakunileta duniani nikiwa na akili ndogo za kuweza kuwa polisi. Hizo akili nimezipita kwa mbali mnoo. Silalamiki kwa kutamani kutamani kazi yao, bali kulaani ujinga wao.
FB_IMG_1489394038334.jpg
 
Jamaa yupo kwenye black book ya Sizonje anasubiri kufutwa uanachama, halafu na risasi tena zinamsogelea!!!?
Mzee wake yalimkuta haya haya, mbona watu hawasomi alama za nyakati wakatulia! Pesa za serikali waibe wao alafu serikali imekutema anajifanya mjanja, it's totally sad!
 
Mkuu, umeangalia clip gani ambayo imeonyesha wananchi walitaka kujichukulia sheria mkononi? maana kwenye hizo clip, wananchi walikuwa so peaceful...... Yaani nyie hata mkipewa ushahidi wa wazi, hamwachagi kusema uongo?
Well said!
 
Hata hujaelewa nilichokiandika!!
Hata nawe huelewa "nilichokiandika"...
Nafikiri nilimaanisha kuwa hii kibri ya baadhi ya watumishi ni continuity trend ya walioko "juu". Unakumbuka mambo ya Pale St.Peter's kwa bwana Nape? Haina tofauti na hii.
 
Back
Top Bottom