Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Akienda kukabidhi silaha sijui atatoa justification gani kwa bosi wake juu ya matumizi ya hizo risasi!
 
Akomae na nani wakati mwenzako yupo ndani muda huu? Amefunguliwa mashtaka kwa kosa la kumzuia askari asitimize wajibu wake (RB yake ipo).

Hata ikitokea akitoka huko rumande lakini atakuwa tayari amesumbuliwa bila hata sababu ya msingi.

Muda mwingine hekima ni bora kuliko jeuri. Tutambue nyakati zimebadilika kwa sasa.
 
Hata wanachi wanazo silaha, tusipo angalia itakuwa ni kuwahiana sasa! Polisi hapewi silaha ili atishie namna hiyo. Kuna situation ambapo hubidi kutumia. What I can see kuna hali ya mtafaruku kati ya raia na polisi.
Na kwa taarifa yako maaskari wanajua kabisa kuwa kuna raia wana silaha na ndio maana hizo SMG zao wanaziweka tayari muda wote.

Hata kwenye tukio hilo la Malima, huyo askari alijua kabisa kutakuwa na kuwaiana na ndio maana akafyatua za kwake ili kujihami na lolote.
 
Kwahiyo mtu akikuuliza mkuu wa masafara yuko wapi ni dharau? Hivi nyie ni nani aliewashikia akili zenu? Au ndio jinsi mlivyozaliwa?
Polisi anapiga risasi hewani halafu unasema eti alidharauliwa.
Mambo ya mkuu wa msafara yuko wapi, sio kwa mazingira Yale, maana yake wahuni wao is ha wazunguka askari, who knows nani rafiki nani adui! Wangeendeleza debate wakati huo wa hatari watu wabaya wangeweza kuwadhuru askari, ye Malima angetii amri kwanza, then angeenda hapo Oysterbay police kuwaulizia hao wakuu wa msafara, lakini sio kwa ufinyu ule wa busara aliouonyesha pale, je askari angepanic zaidi akamshoot nani angepata faida?
 
Halafu binafsi nachukia sana Askari Polisi kunyoa viduku kama rais kichaa wa North Korea!!! Ndevu hawafugi ila viduku shida sana (wanaonekana bangi bangi tu)
Una elements za kigaidi.
 
Kwahiyo mtu akikuuliza mkuu wa masafara yuko wapi ni dharau? Hivi nyie ni nani aliewashikia akili zenu? Au ndio jinsi mlivyozaliwa?
Polisi anapiga risasi hewani halafu unasema eti alidharauliwa.
Kile kitendo cha kupiga risasi hewani ndo cha hatari sana jaman.ingeweza kumdhuru mtu pale tungekua tunaongea mengine.sawa yawezekana adam malima ana makosa lkn polisi kaaminiwa ndo maana kapewa silaha.hata ongea yake tu huyo polisi inaonekana hakuwa vizuri na ni mtu wa jazba,hafai kua askari naomba kama kuna kitengo cha kulima mbogamboga huko polisi apewe huyo askari manake ni hatari kumpa silaha.upuuzi kabisa ule
 
Hata kama angetemewa mate usini huwezi piga risasi kijinga tena zihesabiwe hizo risasi akatwe kwenye mshahara wake kodi yangu haiwezi kutumika kupiga wananchi biti
Yaan kabisa zihesabiwe zile risasi alizopiga hewani alipie
 
Mkuu nimecheka na pia hii comment imenifikirisha....naona polisi wanapoelekea watawavunja miguu hadi JK na Ben Mkapa.

Ngoja tuone.
Kwa haya mambo ya kipuuzi yanayotokea nchini Ni lazima sasa tutambue adui ya watanzania ni Nani? Mwalimu ningekuwa na uwezo ningeomba ufufuke ujionee nchi uliyoijenga mawaziri wastaafu wanavyotishiwa kwa risasi. Pole Malim. Pole Nape.
 
Kavaa mkanda tu wenye bendera ya taifa kabwatuka kiasi kile, Siku akivaa ngao ya bibi na Bwana begani unafikiri itakuwaje?
Akamuulize Zombe maisha anayaonaje kwa sasa?
Kama mpaka tunappandika hapa huyo askari hajavuliwa uaskari ntashangaa sana.unapiga risasi hewani kutishia raia?wakati unalipwa mshahara kwa kodi zetu kulinda raia na mali zao.tunaomba fagio la vyeti feki lipite polisi na jeshini.na kuanzia sasa hivi polisi waajiriwe wenye diploma na degree
 

Huyo askari lazima apandishwe cheo na Magufuli.
Ana haki kabisa ya kutodharaulika
 
Na wale wa kibiti silaha zao zilikuwa full magazine na zilikuwa zipo on... teh teh

Endeleeni kutengeneza matabaka kati yenu na raia mtavuna ya kibiti
 
Umeiona video mkuu?
 
Askari anapotakiwa kuonyesha kitambulisho ni wajibu wake aonyeshe. Mavazi na virungu sio vielelezo kamili. Wanatakiwa wavivae kama wanafunzi wa jangwani au zanaki.
Mawazo ya kipuuuzi nimeanza kufahamu kwa nini raisi anasema sipangiwi ,maana akiwasikiliza ninyi roho zenu zimejaaa chuki na ushabiki usio kua na maana.Unafahamu ni sheria gani inampa mamlaka askari kutumia risasi za moto?? Au unabwabwaja tu.
 
Majembe ni Kampuni iliyosajiliwa kisheria na inafanya kazi kwa kufata taratibu na wanalipa kaodi yetu ivo siowahuni km alichukua Pesa bank kwa kuweka dhamana ya gari na sasa kavunja mkataba acha gari lichukuliwe akalipe Pesa au gali lipigwe mnada lifidie deni sana sana anachokifanya nikulifanya deni kuwa kubwa.Iyondokukopa harusi kulipa matanga.
 
Mawazo ya kipuuuzi nimeanza kufahamu kwa nini raisi anasema sipangiwi ,maana akiwasikiliza ninyi roho zenu zimejaaa chuki na ushabiki usio kua na maana.Unafahamu ni sheria gani inampa mamlaka askari kutumia risasi za moto?? Au unabwabwaja tu.
Askari anatakiwa aonyeshe kitambulisho instant anapotakiwa kufanya hivyo. Wapo wahalifu hutumia mwanya huyo.

Hata Nape naye alipodai kitambulisho alikuwa mpuuzi? We kama uliamua kuwa askari kivae kitambulisho haraka kama mwanafunzi tena kionyeshe f namba zako, kituo unachotoka, majina yako kamili na cheo chako. Usiweke namba za vyeti kujua kwako kusoma na kuandika kunatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…