Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Mimi nilijua tu ipo siku hawa majijembe sijui nani watazua balaa. Kwani, hizi manispaa hazina akili nyingine mpaka kulazimisha mapato kwa visheria vya kipuuzi?
Yaani siku hizi kuwa na gari ni kero, utatozwa weeeeee, maana mpk kufungulia redio kwenye gari lako sasa itakuwa fine.
Yaani siku hizi kuwa na gari ni kero, utatozwa weeeeee, maana mpk kufungulia redio kwenye gari lako sasa itakuwa fine.