The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
- Thread starter
-
- #41
Unachekesha kweli. Maandiko nayajua vizuri Sana adhabu ya wazinzi na wachawi ipo open sana.Kwa kugongewa mkewe, Masanja ana dhambi gani? Upendo unapimwa kwa uwezo wa kuvumilia na kusamehe.
Huenda wewe ni mpagani na hujui Biblia inasema nini.
1 Petro 4:8
[8]Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.
And above all things have fervent charity among yourselves: for charity shall cover the multitude of sins.
Yes ni suala la mda Tu. Ngoma ya watoto haikeshi.Masanja atakuja kuachana na huyo dada huko mbeleni.
Kwa sasa haiwezekani maana inaonekana alikuwa anamuambia kila kitu so dada anajua mambo mengi (plus majibu ya utata wa kifo cha katibu) yanayoweza kumuharibia.
Atamtafutia tu sababu huko mbeleni.
Tatizo ni pale unapokuwq na mke/mchumba ukajiona wewe ndiye umepata kilichobora na kuanza kuona wenzako hawajapata kama hicho,na kuwalingishia,sasa linapotokea jambo kama hilo,lazima tu utasemwa sana,japo litapita ila utakuwa umeumia sana,mapenzi ni tofauti na chombo,labda gari,ukilinunua ukasema kuwa nchi hii ni mimi tu mwenye gari kama hili, na kweli watu hawajawahi kuliona sehemu nyingine haina shida,lakini mapenzi tena haya ya kiafrika?Na ndio maana watu maarufu wanaojielewa huwa hawataki kabisa kuweka mambo yao ya kifamilia hadharani!!Kwani hakuna mada nyingine zaidi ya huyu dubwana au ndo yeye ameanzisha uzi..
Maana kila siku yeye Tumwchoka
kweli kabisa. kuna wanaomdanganya masanja eti ndoa ni uvumilivu hakuna talaka kwa wakristo. Yesu Kristo alipinga talaka lakini alisema isipokuwa kwa uzinzi. Ikiwa watoto aliozaa monica amezaa na mwanaume mwingine akiwa ameolewa na masanja, ni uzinzi, masanja ampige chini wala asijidanganye, hana hukumu katika hilo. Na atakuja kujuta sana siku za usoni.Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
jiulize angekuwa mkeo wa ndoa ingekuwajeWanaume tusimcheke masanja.mimi niliwahi kuhudumia mimba bandia miezi na miezi.
Kwa kuwa mwanamke mwenyewe sikumpenda nilipogundua nilishukuru tu Mungu.
Usiombe uzae na mwanamke usiyempenda utajuta
Masanja atakuja kuachana na huyo dada huko mbeleni.
Kwa sasa haiwezekani maana inaonekana alikuwa anamuambia kila kitu so dada anajua mambo mengi (plus majibu ya utata wa kifo cha katibu) yanayoweza kumuharibia.
Atamtafutia tu sababu huko mbeleni.
Kwanini ukimbilie kuhukumu badala ya kusamehe?Unachekesha kweli. Maandiko nayajua vizuri Sana adhabu ya wazinzi na wachawi ipo open sana.
Kasome tena Biblia au quran.
Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Mrukie Da Mange atakupa a 2 zAisee nipo nyuma mno! Hili tukio nalipata juu juu tu bado sijapata mmbea wa kunipa full details!
Atakuja kumuua kimafia kama alivyofanya kwa KatibuMasanja atakuja kuachana na huyo dada huko mbeleni.
Kwa sasa haiwezekani maana inaonekana alikuwa anamuambia kila kitu so dada anajua mambo mengi (plus majibu ya utata wa kifo cha katibu) yanayoweza kumuharibia.
Atamtafutia tu sababu huko mbeleni.
Kama ni kweli kazalishwa watoto wawili haikuwa bahati mbaya alidhamiria,na inawezekana walikubaliana mke na mume Kwa sababu maalum.Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Unaweza ukawa na nguvu za kiume halafu unatoa manii tu.Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili
1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.
Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Hukumpenda halafu ukawa unapiga kavukavu ,jina lako hilo ✓✓✓✓Wanaume tusimcheke masanja.mimi niliwahi kuhudumia mimba bandia miezi na miezi.
Kwa kuwa mwanamke mwenyewe sikumpenda nilipogundua nilishukuru tu Mungu.
Usiombe uzae na mwanamke usiyempenda utajuta
Anajitoa ufahamuUnachekesha kweli. Maandiko nayajua vizuri Sana adhabu ya wazinzi na wachawi ipo open sana.
Kasome tena Biblia au quran.