wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,277
Umenena sembuse anaogopa Siri zake zitavuja ndio ameamua kukomaa n maimivuMonica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Hii ni point ya msingi.Siri nyingi za Masanja tayari Monica anazijua. Masanja kashikwa pabaya.Monica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Jamani, labda Nabii hana uwezo kuzalisaha ndio maana anakomaa na changu wakeKama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
We si unaona chapa ya Marehemu kabisa, unadhani Jamaa anaweza akakubali hata kuwapima DNA!! thubutu!!Hivi hii issue ni kweli?? Unajua mm nikawa najua ni utani eti.
Kama ni kweli basi ni issue mbaya sana
Marehemu ndio kasemaAachane naye kwa lipi,ripoti si imetoka kwamba h awakuwa na mahusiano?,hayo mengine ni wewe na wa watu wa aina yako ndo mnataka mnalazimisha iwe vile nyie mnavyoamini.Mbona maisha yana mambo mengi sana,unapata wapi ujasiri wa kumuamulia mtu mwingine jinsi ya kuyaishi maisha yake?
We mwache aendelee kupika bomuSioni hitimisho zuri kwenye familia ya masanje, ni bora kufiwa na mke kabisa ujue moja,kuliko kumwona daily na unajua alichofanya.
Pengine alimtumaSimlazimishi Ila mda utongea. Lakini pia ni uzwazwa kugongewa Hadi mkeo anazalishwa afu unajiita we mtakatifu.
Mkuu alinusaje,ebu tusimulie kidogo.Kama kutombewa kunauma hivyo je kuletewa mtoto asiye wako..duuu sipati picha maumivu yakeUjisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa🤷🏼♀️
Aha ha ha a Du umetumia maneno makali Sana nduguMkuu alinusaje,ebu tusimulie kidogo.Kama kutombewa kunauma hivyo je kuletewa mtoto asiye wako..duuu sipati picha maumivu yake
Mhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.Mwanamke,mwanamke narudia Mwanamke siku sote ana zaa na yule aliyempenda kweli kweli huoni bibie katoa pacha wa katibu ubaya alijisahau kama yupo kwenye ndoa takatifu.
Kuna mnyakyusa anaitwa mgayaNi wale wale tu hiyo Mbeya yote kuna sehemu unaweza zunguka mchana kutwa usikutane na mwanamke rangi nyeupe ambayo ni OG sasa kama yeye amekulia mazingira hayo lazima aone ugumu kumuacha.
Yaani umpangie cha kufanya.Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Ni heri uibiwe aset yote ndani ya nyumba yako kuliko mtu kuiba mke wako ni doa lisilofutika ndani ya moyo wa mwanamme aliekamilika.Masanja kwa huyo mwanamke amedandia mtumbwi wa vibwengo, Naona kila kona anakula spana tu.
Amina.Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili
1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.
Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Kama hii ishu ni kweli basi kalogwa
Wote aliwapenda mkuuMhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.
Sasa hapo alimpenda Baba yupi?? maana wote 4 alizaa nao.
Ni ansard na sio answeredKabudi alisema Bungeni na iko kwenye answered kwamba Watanzania ni Social fathers tu sio Biological