Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

ANGALIZO: MASANJA SIO MSUKUMA.

NI MTU WA MBEYA, RUJEWA, MBARALI, UBARUKU KWA WALIMA MPUNGA!.

MASANJA NI JINA LA MAIGIZO YEYE NI EMMANUEL MGAYA.

LINDENI HESHIMA YA WASUKUMA!.
Wabeja namhala πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Labda ana kibamiya
 
Na kwa maneno hayo ndipo uchunguzi utakopoanzia.
 
This was uncalled for.

Masanja anaita watu "wanangu" 🀣 akili kumkichwa mtu wangu 🀣 🀣 🀣
 
Kuna vitu ndani ya ndoa havivumiliki.Kimojawapo ni Uchepukaji.Mwanamke anayechepuka ni rahisi kurubuniwa na michepuko yake ili akudhuru wewe njia kuu. Masanja anachukulia poa ila ajiandae na yajayo
Or vise versa ....(lakini kama "amehusika")
 
Lakin kumbuka kuna mtu amejiua walitakiwa wakae kimya na kutoa pole kwa msiba angebalance sasa wanafurahi utafikiri kawaida tu wakati mtu kajiua kwaajili ya mkeo
Halafu kwa maneno haya "....naangalia je huyu jamaa nammudu..........." haya maneno amejikoki mwenyewe.
Bora angekaa kimya tu kwa sasa.
 
Roho Mtakatifu huweka Ulinzi kwa walio wake Bwana wetu Yesu Kristo

Itoshe tu kusema ukiona Mama Mchungaji ameanguka Kwenye dhambi ya uzinzi ujue Tatizo siyo mama mchungaji Bali ni mchungaji mwenyewe

Alhamis Ubarikiwe sana!
 
sio mwanaume huyu Wala MCHUNGAJI
Kwa ufupi Kuna jamaa la mtaani tu.

hata kama anampenda hivyo kulopoka namna hii ni ishara kuwa hazipo SAWA kichwani siku mwanamke shetani amuingilie ndo atajua hajui
 
Na mimi nawaza anao huo ujasiri!!
 
Unaweza ukasahau changamoto nyengine nyingi tu, lakini hii yakuchapiwa na ni mke umpendae kwa dhati huwa haitoki moyoji. Huwa tunajitutumua tu ili kuituliza jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…