Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Hapa kunaishu ,inawezekana masanja kammudu mbaya wake.
Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.
Hamna Mchepuko wala kutongozwa.

Sio kuwa Mke NI mwaminifu hapana.
Simjui Mimi.
Kipo kikubwa zaidi ya uzinzi WA MKE na msamaha WA MUME .

Hamna mtu atafuatilia zaidi as YEYE KAMA MUME ANASEMA KASAMEHE,

Kuna spacegoat hapa.
Kuanzia masanja kuwa US kipindi cha issue mpk kurudi. Kwamba ndo amerudi.

Weeeeeeh Bana!!
Hem mi nilale
 
Nakazia
..na maneno ni roho...
 
[emoji1787][emoji28][emoji848][emoji849]
 

Exactly mawazo yangu [emoji2960]
 
Haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Haiponagi hiyo, ndio maana ikitokea case kama hiyo taraka inaruhusiwa.
 
Ni wakawaida sana, acha uzwazwa we msukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…