Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.Hapa kunaishu ,inawezekana masanja kammudu mbaya wake.
Hahaha haki nimechekaKatibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
A very good actor indeed.
NakaziaHakuna kitu kibaya kama maneno ya watu na hapo si kweli kama anavyoonekana kutojali ila deep in side anapitia kipindi kigumu kuliko chote iwe ni kweli aliliwa au hajaliwa,tayari maneno tuu yameshabadilisha mustakabali na peace of his or her mind. Mfano Jackline wolper alipoambiwa na Mange ananuka K hivi unafikiri hilo neno mpk leo limemtoka Jack?.kila akikumbuka lazima aumie iwe ni kweli au uongo. So nachotaka kusema ni hiki maneno yana distruct moyo wa mtu kuliko hata ugonjwa. Ngoja tuendelee kuona
[emoji1787][emoji28][emoji848][emoji849]Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.
Hamna Mchepuko wala kutongozwa.
Sio kuwa Mke NI mwaminifu hapana.
Simjui Mimi.
Kipo kikubwa zaidi ya uzinzi WA MKE na msamaha WA MUME .
Hamna mtu atafuatilia zaidi as YEYE KAMA MUME ANASEMA KASAMEHE,
Kuna spacegoat hapa.
Kuanzia masanja kuwa US kipindi cha issue mpk kurudi. Kwamba ndo amerudi.
Weeeeeeh Bana!!
Hem mi nilale
Kujibu kivipi mrembo?ya masanja na mkewe monica
Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.
Hamna Mchepuko wala kutongozwa.
Sio kuwa Mke NI mwaminifu hapana.
Simjui Mimi.
Kipo kikubwa zaidi ya uzinzi WA MKE na msamaha WA MUME .
Hamna mtu atafuatilia zaidi as YEYE KAMA MUME ANASEMA KASAMEHE,
Kuna spacegoat hapa.
Kuanzia masanja kuwa US kipindi cha issue mpk kurudi. Kwamba ndo amerudi.
Weeeeeeh Bana!!
Hem mi nilale
Mpaka aibuWatu wameumbuka jamani
Ndiyo muache vimbele mbele kwa mambo yasio wahusu[emoji3][emoji3] ona sasa!Hakika ametufunga midomo.
Nampongeza hakika
Mpaka unashangaa, utazani walimsadia kutafuta posa ha ha haWatu wana machungu sana. Hawajathibitisha ila sasa walivyokomaa utafikiri waliwashikia miguu.
AsanteWana watoto wawili
Wanajidanganya bado, tuwape muda !Bora angenyamaza tu. Ni kama yupo defensive, body language inamkataa anachosema
Haiponagi hiyo, ndio maana ikitokea case kama hiyo taraka inaruhusiwa.Haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Kuna kitu tunachelewa kekundu keusi.Masanja haonekani kuguswa na kifo cha katibu, yupo busy kumsafisha monica.....kopa limejaa
Amchambe na mkewe kwa kuvujisha mawasiliano yaleNdiyo muache vimbele mbele kwa mambo yasio wahusu[emoji3][emoji3] ona sasa!
Ni wakawaida sana, acha uzwazwa we msukumaNdo tatizo la vibamia yaani utawajua tu!! ...........;;sizitaki mbichi hizi'', kwanza sikia... mdada maji ya kunde si mnene kiviile si mwembamba, pua yake ndefu isiyoonyesha kamasi, inaonyesha ana kina kizuri!! Lips zake sisemi sana!
Mkia ule! unauona kajaliwa mwenzio yaani siyo riji-mtambo la kufua fungus ule! km wa mkeo! anajua kuongea vizuri kwa ma-pause!...Rangi yake tu adimu ya pekee! asa unatakaje weye??
Au inawezekana wewe ni ile jinsia pendwa ya upande wa pili...nyie bana kuoneana wivu hamjambo!! unaona km anakumalizia au atakuchukulia, kifupi nitashangaa sana km
Weye ukiwa Dume halisi! la mbegu vinginevyo dhihirisha hapa!! tutakuandika kwa kuvunja rekodi ktk Guiness' Book of record!.....Huyu Mdada ni mzuri tena sana tu usijishebedue hapa kwa wivu wako huo!
Mara nyingi wadada wa hivi wana kismart, km vyote cha kuongea cha hela, mafanikio km zote! sasa nikuulize Masanja hana Mafanikio?? huo pia ni uzuri wa mke tena kuliko wooote!