Ndo tatizo la vibamia yaani utawajua tu!! ...........;;sizitaki mbichi hizi'', kwanza sikia... mdada maji ya kunde si mnene kiviile si mwembamba, pua yake ndefu isiyoonyesha kamasi, inaonyesha ana kina kizuri!! Lips zake sisemi sana!
Mkia ule! unauona kajaliwa mwenzio yaani siyo riji-mtambo la kufua fungus ule! km wa mkeo! anajua kuongea vizuri kwa ma-pause!...Rangi yake tu adimu ya pekee! asa unatakaje weye??
Au inawezekana wewe ni ile jinsia pendwa ya upande wa pili...nyie bana kuoneana wivu hamjambo!! unaona km anakumalizia au atakuchukulia, kifupi nitashangaa sana km
Weye ukiwa Dume halisi! la mbegu vinginevyo dhihirisha hapa!! tutakuandika kwa kuvunja rekodi ktk Guiness' Book of record!.....Huyu Mdada ni mzuri tena sana tu usijishebedue hapa kwa wivu wako huo!
Mara nyingi wadada wa hivi wana kismart, km vyote cha kuongea cha hela, mafanikio km zote! sasa nikuulize Masanja hana Mafanikio?? huo pia ni uzuri wa mke tena kuliko wooote!