Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndugu umeoa?haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu umeoa?haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Sisi wasukuma uwe mweupe tu hakuna haja ya Limbwata.Nje ya mada kidogo
Kuna mjamaa mmoja ni mtumishi wa halmashauri huko Lindi.
Basi aliwekewa limbwata na mke wake. Ilikuwa ukimwambia mabaya ya mke wake anaenda kumwambia mke wake " watu hawapendi ndoa yetu, watu wabaya"
yani wasukuma na binti weupe ni balaa wanadata jumlaaSisi wasukuma uwe mweupe tu hakuna haja ya Limbwata.
Kapachikwa utambi, mtu huwezi kujitoa uhai hivi hivi kwa kukataliwa, dogo alishaonja tamu mbona ujumbe wake alioacha upo wazi?Ubaya au uzuri hakuna ushahidi wa utambi kupachikwa
nimeoa ndugu, kwenye ndoa miaka 5 sasaNdugu umeoa?
Ana ki mnduku kizuriVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
Hongera sana.nimeoa ndugu, kwenye ndoa miaka 5 sasa
Maisha ya hivi lazima mmoja ajitoe ufahamuVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
Ni kweli unayosema lakini ni afadhali anajaribu kuwa positive na kutosikiliza watu wanataka achukue hatua gani. Ameenda against na matarajio ya wengi na hilo litamfanya apone haraka.Hakuna kitu kibaya kama maneno ya watu na hapo si kweli kama anavyoonekana kutojali ila deep in side anapitia kipindi kigumu kuliko chote iwe ni kweli aliliwa au hajaliwa,tayari maneno tuu yameshabadilisha mustakabali na peace of his or her mind. Mfano Jackline wolper alipoambiwa na Mange ananuka K hivi unafikiri hilo neno mpk leo limemtoka Jack?.kila akikumbuka lazima aumie iwe ni kweli au uongo. So nachotaka kusema ni hiki maneno yana distruct moyo wa mtu kuliko hata ugonjwa. Ngoja tuendelee kuona
Yah nachojaribu kusema hapa ni kwamba anaumia. Ila njia alochukua ni sahihi kwani kutawafanya watu wanyamazeNi kweli unayosema lakini ni afadhali anajaribu kuwa positive na kutosikiliza watu wanataka achukue hatua gani. Ameenda against na matarajio ya wengi na hilo litamfanya apone haraka.
Dada ana macho makavu. Kama sio anayeongelewa kusababisha kifo😂Video hiyo hapo
View attachment 2378508
Mama Mchungaji kemea dhambi, tumempoteza mtoto WA watu kisa kipochi manyoya cha Monica
Mke wa Kaisari hatakiwi hata tu kutuhumiwa!haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Ni kweli amekonda, wapo kwenye mfungoMonica uso umekonda jamanii.Kweli hili jaribu limewapiga kisawasawa.Haya Masanja kazi iendelee kuchapiwa siri ya ndani. Ukweli mnaujua wenyewe.
hivi Mchungaji Massanja ni msukuma kwaniSisi wasukuma uwe mweupe tu hakuna haja ya Limbwata.