BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Dj Naomba kibao Cha kijana wa Tandahimba kinachoitwa anajikosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatakiwi na nani?Mke wa Kaisari hatakiwi hata tu kutuhumiwa!
Umeshindwa vip kusummrizVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
Mie nadhan kutukomoa asingeongea na chombo chochote akapiga mute ya balaa...hapa kama anatapatapa ..ila bora "kamfunika" mkeweHuyu mwamba nimemkubali🤣🤣
Tumeumbuka kiukweliMie nadhan kutukomoa asingeongea na chombo chochote akapiga mute ya balaa...hapa kama anatapatapa ..ila bora "kamfunika" mkewe
mimi kwa kweli sijui, kama kweli anafanya basi anajiweza na atakuwa ni jasusi lililokubuhu 😀, kwa sababu mimi mwenyewe hawezi kunihudumia ipasavyo, ukiachana na hilo ni mtu wa misimamo hasa linapokujaa suala ambalo litachafua taswira yake kwa (na) mwanae, siyo mlevi, hana mashoga, hana tamaa ya vitu wala hela n.k ndio maana hata mimi niki cheat akijua balaa lake siyo la kitoto, nilisharudishwa madhabahuni.Hongera sana.
Mwenyewe kifua mbele kuwa huchapiwi.
Shida ya Masanja anapenda sifa....Yah nachojaribu kusema hapa ni kwamba anaumia. Ila njia alochukua ni sahihi kwani kutawafanya watu wanyamaze
Basi ni kuwa wapole tu maana hatuyajui ya wenzetu, na ya kwetu pia sometimes hayaeleweki.mimi kwa kweli sijui, kama kweli anafanya basi anajiweza na atakuwa ni jasusi lililokubuhu 😀, kwa sababu mimi mwenyewe hawezi kunihudumia ipasavyo, ukiachana na hilo ni mtu wa misimamo hasa linapokujaa suala ambalo litachafua taswira yake kwa (na) mwanae ndio maana hata mimi niki cheat akijua balaa lake siyo la kitoto, nilisharudishwa madhabahuni.
huna lolote umegongewa na mwanamke huzini kutokea moyoni si kama wanaume ni physical contacts tu. Mwanamke, mke wa mtu tena mke wa eti mchungaji kisha unaongea upuuzi....Video hiyo hapo
View attachment 2378508
Yaan maneno na sura plus gestures ni tofauti.. Ona mwanamke anavoangaika na mkanda wa skirt yake.Bora angenyamaza tu. Ni kama yupo defensive, body language inamkataa anachosema.
Sa mbona umekasirika mkuu?huna lolote umegongewa na mwanamke huzini kutokea moyoni si kama wanaume ni physical contacts tu. Mwanamke, mke wa mtu tena mke wa eti mchungaji kisha unaongea upuuzi....
ingekuwa mkewe amebakwa ndipo angeongea upuuzi huu
Kwamba analiwa na wengi? Acheni roho mbaya basi ya kukuza mamboPole yao kwakweli.Wanapitia kipindi kigumu sana.Hali ya ksnisani jumapili ijayo,itakua na tofauti kubwa na hali ya jumapili nyingine.Litakavyomalizika ndivyo litakavyotoa muelekeo wa ndoa yao,nikimaanisha wale waliokua wanammendea na hata kumla mke wa Masanja,wako makini kuangalia kinachojiri kwa wawili hao(Yaani Masanja na mkewe).
Endapo suala litaisha kwa wao wanaommendea mke wa Masanja au kumla kabisa kwa kuona hakuna hatua siriasi iliyochukuliwa,watajiaminisha kua kumbe TUENDELEE TU na michakato ya kumla au kummendea,na endapo itakua SIRIASI,WATAJITOA kwenye mchakato wa kummendea au kumnyandua.Mwisho mwema.
Video hiyo hapo
View attachment 2378508
Masanja sio msukuma.Wasukuma (mtanisamehe maana nimeishi nao ni wenzangu) huwa ni very very weak kwa wanawake especially akiwa mweupe humwambii lolote! Sishangai haya ya Masanja