Masanja ni majina ya kisukuma.... ni kabila gani?Masanja sio msukuma.
Ona sasa matatizo ya kukariri jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masanja ni majina ya kisukuma.... ni kabila gani?Masanja sio msukuma.
Ona sasa matatizo ya kukariri jambo.
Masanja ni jina la kisanii.Masanja ni majina ya kisukuma.... ni kabila gani?
Then ameadapt hulka za wasukuma. All in all wasukuma na mwanamke mwepe usiseme . mahali yake huwa kubwa mara 10 kuliko mwanamke mweusiANGALIZO: MASANJA SIO MSUKUMA.
NI MTU WA MBEYA, RUJEWA, MBARALI, UBARUKU KWA WALIMA MPUNGA!.
MASANJA NI JINA LA MAIGIZO YEYE NI EMMANUEL MGAYA.
LINDENI HESHIMA YA WASUKUMA!.
Basi ame adapt hulka za kisukuma! yaliyompaata ilikuwa kunyamaza, akifanya kama alivyofanya anayatibuaMasanja ni jina la kisanii.
Anaitwa Emmanuel Mgaya
Kutoka wapi?😀Basi ame adapt hulka za kisukuma!
Wasukuma (mtanisamehe maana nimeishi nao ni wenzangu) huwa ni very very weak kwa wanawake especially akiwa mweupe humwambii lolote! Sishangai haya ya Masanja
inawezekana kweli jamaa ana shida mahali mwanaume rijali aliye balanced hawezi kuwa anamtangaza mke namna hiyo au issue za uzazi jamaa ni shida, katibu ndiye aliyefanya kweli. sasa hayupo kuziba soo na madai ya matunda ya illicit relationshipKuna mambo kadhaa ambayo ndo kweli kabisa na haipingwi!! Moja jamaa anaona kama aibu kuvunja ndoa kutokana italeta taswira mbaya hasa kwa dini yake ni process ndefu na yeye ni mchungaji.
Kingine jamaa tuna wasiwasi nae sio kwa kumpamba kule mkewe ilihali katibu ana msaidia kula mande,inawezekana jamaa ana matatizo na demu anamvumilia hakuna mtu anampost mkewe kama yeye kwamba yeye anampenda sana ila demu upendo hakuna huku nyuma katibu anakula ...
masanja ni label tu siyo msukuma. kama si mhehe ni mngoni au mbena.Wasukuma (mtanisamehe maana nimeishi nao ni wenzangu) huwa ni very very weak kwa wanawake especially akiwa mweupe humwambii lolote! Sishangai haya ya Masanja
wameumbuka vipi? huyu anajifariji tu! Lisemwalo ..........Watu wameumbuka jamani
na muke ameshakula utamu wake na utamu umeondokaWatu wameumbuka jamani
jaribu wewe kujiwuwa uone kama ni rahisi. huyo katibu alishanogewa na hako kabint kakwareKatibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
Akivunja ndoa hapo itakuwa aibu kubwa na hapo mwanamke ndo anaendesha mahusianoinawezekana kweli jamaa ana shida mahali mwanaume rijali aliye balanced hawezi kuwa anamtangaza mke namna hiyo au issue za uzazi jamaa ni shida, katibu ndiye aliyefanya kweli. sasa hayupo kuziba soo na madai ya matunda ya illicit relationship
kiufupi umetafuniwa mkeo mkware na sababu kuu ni ileile wanaume wa Dar ndo mana mke kamfunulia katibu wakoVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
Basi anyamaze aache kumpamba mzinzi, hako kamama kanajua udhaifu wake akifanya masikhara katamfanya kitu kibaya zaidi ya hichoAkivunja ndoa hapo itakuwa aibu kubwa na hapo mwanamke ndo anaendesha mahusiano