Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

sio mie hili ni lenu na vichechede vyenu vya kuvaa shanga shingomi n hereni 😎😂
Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
 
Video hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."

"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."

"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."

"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."

"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."



Ila kugongewa uisikie tu kwa mwenzio. Huyu mwamba is doing what we call ‘damage control’ ili kanisa lisiumie ila ndani ya nyumba pamoto.

Naamini mpaka sasa toka amerudi, hajachakata ngozi kwa hasira. Wivu wa mwanaume ni mbaya kuliko wa mwanamke asikuambie mtu, tena hawa kila siku wanakesha mitandaoni!

Give them TIME!
 
Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
afu wewe 😂😂😂
sikuelewwi ujuee mboni kama upo unaingia afu unatoka.. hukai sawa kwenye mstar👌😎
 
Tatizo ukweli unaujua lakini ubishi tu umekujaa, ili mradi tu ubishe...tuongee uhalisia
ukweli upi unaoujua weyee nisoujua mie mkongwe👌😎
DM please😎😙
 
Mimi kwa video hii NIMEHITIMISHA kitu kibaya zaidi ya mke kuwa mchepukaji
Which ni scary zaidi.
Enewei
 
Back
Top Bottom